recho Jr
JF-Expert Member
- Apr 26, 2023
- 214
- 434
Ndo namaliza kuchora piko ya harusi apaWe binti mbona pm zangu hujibu asee.
Au umeolewa???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo namaliza kuchora piko ya harusi apaWe binti mbona pm zangu hujibu asee.
Au umeolewa???
🤣🤣🤣tulia dawa ikukoleeNa ubaya zaidi sio mchangiaji wa jf ni kama ghost.
Kuna id zingine kuziona ni kwa bahati sana ndo huyo sasa. 😊
Si utakua mchepuko auHaya ndoa njema [emoji106][emoji6][emoji6]. Huko uolewapo.
Unialike kama ni DSM
Fuse zimekataUsalama wa taifa wakutakie nini kutwa upo majukwaa haya ya MMU
Kama ni kweli umeombwa namba PM ukaja kuuliza jukwaani utakuwa una shida sehemu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Usalama wa taifa wakutakie nini kutwa upo majukwaa haya ya MMU
Kama ni kweli umeombwa namba PM ukaja kuuliza jukwaani utakuwa una shida sehemu
Kuna matatizo ya akili, delusional disorder, inaitwa persecution complex.Usalama wa taifa wakutakie nini kutwa upo majukwaa haya ya MMU
Kama ni kweli umeombwa namba PM ukaja kuuliza jukwaani utakuwa una shida sehemu
Usijali Hela unazo[emoji1751]Wowww sawa kabisa ntakuwa mchepuko wako. Usini bluetick sasa [emoji4][emoji4].
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji3590]
Duuuh aseee Shukran ngoja niisome in deep 👍👍Kuna matatizo ya akili, delusional dosorder, inaitwa persecution complex.
Yani mtu mara zote anaona anawindwa, anaona kuna watu wanamtafuta. Kwenye simu hataki kuongea anaogooa watu wanamsikiliza. Nyumbani kwake anasema kuna sehemu serikaki imeweka vifaa vya kumnasa sauti.
![]()
Delusional Disorder: Causes, Symptoms, Types & Treatment
A delusional disorder is a type of psychotic disorder. Its main symptom is the presence of one or more delusions, which are unshakable beliefs in something untrue.my.clevelandclinic.org
Persecutory: People with this type of delusional disorder believe someone or something is mistreating, spying on or attempting to harm them (or someone close to them). People with this type of delusional disorder may make repeated complaints to legal authorities.
Nirushie hiyo namba na miye nipatwe na sintofahamuZa usiku.
Nimepatwa na sintofahamu ya kuombwa namba na demu fulani hivi
Na huyo demu mwenyewe ni member kajiunga mwaka huu????.
Personally nadhani huyu ni mtu fulani hivi itakuwa ananijua na hata id zangu zote itakuwa anazifahamu.
Wakuu nimeingiwa na hofu namba zangu zisije zikawa kwenye mikono isiyo sahihi ukute ni usalama wa taifa huko au ni mtu fulani katumwa anyway na technologia ilivyokuwa 😁😁😁.
Pamoja na baadhi ya maadui niliojitengenezea humu ndani hilo sioni kama ni jambo jema namba zangu kumfikia stranger.
Swali?? Hivi wanawake nao wanaombaga namba au mimi ni mshamba kama mshamba_hachekwi maana huyu dogo ana utoto mwingi 🤣🤔
Naombeni ushauri nimpe au nisimpe??
NB: nina njaa ya mahusiano pia 😎😎
Low wagesHapa point ni zile zile;
1. Poor government support,
2. Lack of enough education,
3. Lack of capital
4. The impact of Berlin conferrence
Tumvumilie mtoa mada. Si makosa yake