Hivi ni kawaida kuombwa namba na mwanamke? 🤔

Hivi ni kawaida kuombwa namba na mwanamke? 🤔

"Wakuu nimeingiwa na hofu namba zangu zisije zikawa kwenye mikono isiyo sahihi ukute ni usalama wa taifa huko au ni mtu fulani katumwa anyway na technologia ilivyokuwa 😁😁😁"

Baada ya kufika hapa nikaacha na kusoma kabisa! 🤣🤣🤣

Acha mawenge wewe! Usalama wa taifa hawana shida na namba yako, wakijua full-name yako tu na namba yako wataipata 😊

Ndomana mliambiwa mjisajili na NIDA, ili kuwa-centralize wawa-rule vizuri

Anyways umefika mbali sana kimawazo 🤣🤣🙌🏾👍🏾
 
Usalama wa taifa wakutakie nini kutwa upo majukwaa haya ya MMU

Kama ni kweli umeombwa namba PM ukaja kuuliza jukwaani utakuwa una shida sehemu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Labda usalama wa Taifa kazi zimewaishia sasa wanaperuzi thread ya Kula tunda Kwa masihara na kuwa trace watu....,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapa point ni zile zile;

1. Poor government support,
2. Lack of enough education,
3. Lack of capital
4. The impact of Berlin conferrence

Tumvumilie mtoa mada. Si makosa yake
point malaya aisee nilikuwa nazipenda sana..
 
Usalama wa taifa wakutakie nini kutwa upo majukwaa haya ya MMU

Kama ni kweli umeombwa namba PM ukaja kuuliza jukwaani utakuwa una shida sehemu
Tena hiyo sehem yenye shida itakua kwenye pahala pake
 
Imebidi nicheke tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji38][emoji38][emoji38] Kwann!!

Eti TISS wanakufatilia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Penseli umeamua kutuchekesha hao watakuwa mawifi bana
 
Back
Top Bottom