Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo Nairobi...wazuri sanaaah nasikia kuna mabinti wazuri sana umasaini bado sijabatika kuwaona mana huku mjini naona wale wamama tuh watuwazima sasa sijajua itakuwaje
hapo nairobi nashukia wapiWapo Nairobi...wazuri sana
Eeeeh hahahahah ...ila ukweli.hapo nairobi nashukia wapi
aisee misambwanda yao unaweza kuibaini licha ya kuvaa rubega mbona unanishawishi sana..hapo manyara ,munduli ivi sipati binti wa kienyeji kabisa wa kimasai mwenye msambwanda wa nguvuEeeeh hahahahah ...ila ukweli.
Sijawahi ona wasichana wazuri kama WA huku Nairobi ..ila wakala wao ndo dah kawaida labda wasomali.
Ila wadada ni wazuri jamani....alafu woote wan misambwanda...au ndo wamefanya sajari
Kwani mwanamke sio binadamu? Je Hana hisia kama sisi wanaume? Ukiona hujaelewa mawazo ya watu mpaka sasa jibu kamili unalo mwenyewe mkuu.🙂🙂🙂 Nimeshtuka tu mbona sio kawaida au ni kuchorana tu!!
Sijawahi ishi ukoaisee misambwanda yao unaweza kuibaini licha ya kuvaa rubega mbona unanishawishi sana..hapo manyara ,munduli ivi sipati binti wa kienyeji kabisa wa kimasai mwenye msambwanda wa nguvu
upo nairobi sioSijawahi ishi uko
😂😂😂Ila hiki kizazi, wanaume mmekuwa waogawaoga sana!ikitokea tena vita ya majimaji sijui itakuwaje
Ulijuaje kama ni mwanamkeZa usiku.
Nimepatwa na sintofahamu ya kuombwa namba na demu fulani hivi
Na huyo demu mwenyewe ni member kajiunga mwaka huu????.
Personally nadhani huyu ni mtu fulani hivi itakuwa ananijua na hata id zangu zote itakuwa anazifahamu.
Wakuu nimeingiwa na hofu namba zangu zisije zikawa kwenye mikono isiyo sahihi ukute ni usalama wa taifa huko au ni mtu fulani katumwa anyway na technologia ilivyokuwa 😁😁😁.
Pamoja na baadhi ya maadui niliojitengenezea humu ndani hilo sioni kama ni jambo jema namba zangu kumfikia stranger.
Swali?? Hivi wanawake nao wanaombaga namba au mimi ni mshamba kama mshamba_hachekwi maana huyu dogo ana utoto mwingi 🤣🤔
Naombeni ushauri nimpe au nisimpe??
NB: nina njaa ya mahusiano pia 😎😎
Kwani kuombwa number kuna maana gani? Sioni ubaya wowote ule pale mtu anapokuomba number yako, kuwa na mawasiliano na watu tafauti ndio njia moja kuu ya ku expend your networking. Mtu anataka number yako kwa sababu amevutiwa na vision zako au yuko impressed na michango yako hapa, sasa tatizo ni nini?Za usiku.
Nimepatwa na sintofahamu ya kuombwa namba na demu fulani hivi
Na huyo demu mwenyewe ni member kajiunga mwaka huu????.
Personally nadhani huyu ni mtu fulani hivi itakuwa ananijua na hata id zangu zote itakuwa anazifahamu.
Wakuu nimeingiwa na hofu namba zangu zisije zikawa kwenye mikono isiyo sahihi ukute ni usalama wa taifa huko au ni mtu fulani katumwa anyway na technologia ilivyokuwa 😁😁😁.
Pamoja na baadhi ya maadui niliojitengenezea humu ndani hilo sioni kama ni jambo jema namba zangu kumfikia stranger.
Swali?? Hivi wanawake nao wanaombaga namba au mimi ni mshamba kama mshamba_hachekwi maana huyu dogo ana utoto mwingi 🤣🤔
Naombeni ushauri nimpe au nisimpe??
NB: nina njaa ya mahusiano pia 😎😎
Sipendi.yanasababisha kutelezaunapenda maji eh
AnaogopaLabda kakuelewa Sasa😀😀
Ila hiki kizazi, wanaume mmekuwa waogawaoga sana!ikitokea tena vita ya majimaji sijui itakuwaje
Itoshe kusema huna akili.Za usiku.
Nimepatwa na sintofahamu ya kuombwa namba na demu fulani hivi
Na huyo demu mwenyewe ni member kajiunga mwaka huu????.
Personally nadhani huyu ni mtu fulani hivi itakuwa ananijua na hata id zangu zote itakuwa anazifahamu.
Wakuu nimeingiwa na hofu namba zangu zisije zikawa kwenye mikono isiyo sahihi ukute ni usalama wa taifa huko au ni mtu fulani katumwa anyway na technologia ilivyokuwa [emoji16][emoji16][emoji16].
Pamoja na baadhi ya maadui niliojitengenezea humu ndani hilo sioni kama ni jambo jema namba zangu kumfikia stranger.
Swali?? Hivi wanawake nao wanaombaga namba au mimi ni mshamba kama mshamba_hachekwi maana huyu dogo ana utoto mwingi [emoji1787][emoji848]
Naombeni ushauri nimpe au nisimpe??
NB: nina njaa ya mahusiano pia [emoji41][emoji41]
hata ya kunywa hutakiSipendi.yanasababisha kuteleza
Tatizo hayakimbiliki,usipoyanywa,utaoga.hata ya kunywa hutaki
usicheze koki utaloa.maji ni uhaiTatizo hayakimbiliki,usipoyanywa,utaoga.