Hivi ni kawaida kuombwa namba na mwanamke? 🤔

Hivi ni kawaida kuombwa namba na mwanamke? 🤔

Zipo mamii ila sio za kukununulia gari

Nina za (kula, na nauli ya daladala) tu.

We unataka hela gani kwanza tuanzie hapo.

A. 100,000 - 1M
B. 1M - 10M
C.10M - 100M
D. 100M - 1B
D...
Mi narange C
 
_20230808_215547.JPG
 
Acha kulemba wewe, kama vp nicheck Pm nikupe namba yangu umtumie.
 
Hapa point ni zile zile;

1. Poor government support,
2. Lack of enough education,
3. Lack of capital
4. The impact of Berlin conferrence

Tumvumilie mtoa mada. Si makosa yake
5. Vagaries of weather.

Umenikumbusha mbali saaana mkuu.
 
Ila hiki kizazi, wanaume mmekuwa waogawaoga sana!ikitokea tena vita ya majimaji sijui itakuwaje
Lazima uogope kidogo.

We unaona ni kawaida demu kumuomba namba mwanaume how comes??
 
Za usiku.
Nimepatwa na sintofahamu ya kuombwa namba na demu fulani hivi

Na huyo demu mwenyewe ni member kajiunga mwaka huu????.

Personally nadhani huyu ni mtu fulani hivi itakuwa ananijua na hata id zangu zote itakuwa anazifahamu.

Wakuu nimeingiwa na hofu namba zangu zisije zikawa kwenye mikono isiyo sahihi ukute ni usalama wa taifa huko au ni mtu fulani katumwa anyway na technologia ilivyokuwa 😁😁😁.

Pamoja na baadhi ya maadui niliojitengenezea humu ndani hilo sioni kama ni jambo jema namba zangu kumfikia stranger.

Swali?? Hivi wanawake nao wanaombaga namba au mimi ni mshamba kama mshamba_hachekwi maana huyu dogo ana utoto mwingi 🤣🤔

Naombeni ushauri nimpe au nisimpe??

NB: nina njaa ya mahusiano pia 😎😎
Kweli hajakua anakili zakitoto
 
Back
Top Bottom