Aisee ngoja tuoneWewe ni mshamba, nimeombwa namba na
Mwanamke tumeonana siku hiyo hiyo, ila yuko busy sana. Juzi kanichatisha kidogo anakoelekea nimejiongeza ili safari iwe fupi.
Naamini tutafika. Wewe endelea kuleta uvulana wako huku.
Eeeeee jamani....Sasa nimekosea nini hapoBaai hujakidhi vigezo. Mummy endelea na ndoa yako. Tu
Eeeeee jamani....Sasa nimekosea nini hapo
Mtu aliyeolewa ndo hapewi namba....acheni hizo...Si umesema umeolewa [emoji706]
πππUsalama wa taifa wakutakie nini kutwa upo majukwaa haya ya MMU
Kama ni kweli umeombwa namba PM ukaja kuuliza jukwaani utakuwa una shida sehemu
Wewe fala una majibu ya kukatisha tamaa balaa πππUsalama wa taifa wakutakie nini kutwa upo majukwaa haya ya MMU
Mkuu πππWewe fala una majibu ya kukatisha tamaa balaa πππ
Aliye niomba namba tumesha weka appointment, ya kunipa mbususu, wavulana kama nyie sijui mtakuwa wanaume lini.Aisee ngoja tuone
Dharau ni pesa ..mimi sina pesaPunguza dharau
Ndo hvyo sasa deal nae mkuuAiseee hatari sana mkuu
π€£π€£π€£π€nikuze mama nimekupa ruksaπ
Unjkaa ya mahusiano π€£π€£π€£ kwamba kuombwa namba na Dem ndio chakula aya mpe mm Niko pale nimekaa π€£π€£π€£π€£Za usiku.
Nimepatwa na sintofahamu ya kuombwa namba na demu fulani hivi
Na huyo demu mwenyewe ni member kajiunga mwaka huu?
Personally nadhani huyu ni mtu fulani hivi itakuwa ananijua na hata id zangu zote itakuwa anazifahamu.
Wakuu nimeingiwa na hofu namba zangu zisije zikawa kwenye mikono isiyo sahihi ukute ni usalama wa taifa huko au ni mtu fulani katumwa anyway na technologia ilivyokuwa πππ.
Pamoja na baadhi ya maadui niliojitengenezea humu ndani hilo sioni kama ni jambo jema namba zangu kumfikia stranger.
Swali? Hivi wanawake nao wanaombaga namba au mimi ni mshamba kama mshamba_hachekwi maana huyu dogo ana utoto mwingi π€£π€
Naombeni ushauri nimpe au nisimpe??
NB: nina njaa ya mahusiano pia ππ