Hivi ni kawaida kuombwa namba na mwanamke? πŸ€”

Mnapendaga sana kujua TISS ni watu gani na wanajishughulisha na nini eeh?! πŸ€”πŸ˜Š

Usalama hawana shida na namba yako, wakitaka details zako watakupata tu muda wowote... kaa ukijua system zote za nchi ziko chini yao na wanaweza kuzitembelea anytime wakitaka.

Huyo anataka aanze kuleta njaa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…