Hivi ni kawaida kuombwa namba na mwanamke? 🤔

Hivi ni kawaida kuombwa namba na mwanamke? 🤔

YE67NBE

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2015
Posts
15,155
Reaction score
36,337
Za usiku.
Nimepatwa na sintofahamu ya kuombwa namba na demu fulani hivi

Na huyo demu mwenyewe ni member kajiunga mwaka huu?

Personally nadhani huyu ni mtu fulani hivi itakuwa ananijua na hata id zangu zote itakuwa anazifahamu.

Wakuu nimeingiwa na hofu namba zangu zisije zikawa kwenye mikono isiyo sahihi ukute ni usalama wa taifa huko au ni mtu fulani katumwa anyway na technologia ilivyokuwa 😁😁😁.

Pamoja na baadhi ya maadui niliojitengenezea humu ndani hilo sioni kama ni jambo jema namba zangu kumfikia stranger.

Swali? Hivi wanawake nao wanaombaga namba au mimi ni mshamba kama mshamba_hachekwi maana huyu dogo ana utoto mwingi 🤣🤔

Naombeni ushauri nimpe au nisimpe??

NB: nina njaa ya mahusiano pia 😎😎
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngachoka
 
Usalama wa taifa wakutakie nini kutwa upo majukwaa haya ya MMU

Kama ni kweli umeombwa namba PM ukaja kuuliza jukwaani utakuwa una shida sehemu
Hapa point ni zile zile;

1. Poor government support,
2. Lack of enough education,
3. Lack of capital
4. The impact of Berlin conferrence

Tumvumilie mtoa mada. Si makosa yake
 
Na ubaya zaidi sio mchangiaji wa jf ni kama ghost.

Kuna id zingine kuziona ni kwa bahati sana ndo huyo sasa. 😊
Si mchangiaji halafu yupo hewani 24/7, akiji impersonate kuwa ni She 😀.
Namuonea huruma sana, light angejua...
 
Back
Top Bottom