Hao CCM wanamuogopa sana Membe......Na hii ndio hukumu halisi inayotarajiwa na kusubiriwa kwa hamu atakayopewa Membe!
NEC ya watu wa hovyo kama kina Pinda unategemea nini?Kwenye sheria ni lazima unapohitaji haki itendeke uhusishe pande zote ili uujue ukweli na ufanye uamuzi usiopendelea upande mmoja
Nimesikia kwenye kikao cha NEC ya CCM kilichomalizika siku chache zillizopita.huko Mwanza, kuwa kimeamua kuwaita akina Bernard Membe, Abdurahman Kinana na Yusufu Makamba kuwahoji kuhusu tuhuma zinazowakabili za kuvuja kwa sauti zao kwenye audio clips
Nina maswali machache ninataka kuwauliza hao wajumbe wa NEC walioazimia azimio hilo
1. Ni kwanini muwaite akina Kinana na kutaka kuwahoji wakati mmeacha kumuita Musiba, ikiwa mnatafuta haki itendeke kwa kusikiliza pande zote za mgogoro huo??
2. Hivi "privacy policy" haipo tena nchini Tanzania, ambapo mtu analindwa kisheria katika maongezi yake ya faragha??
3. Mnawezaje kuwa nyinyi NEC ya CCM kuwa ndiyo waamuzi wa kesi hiyo, wakati mnajua kabisa kuwa mnakiuka "principle" kuu ya "natural justice" inayosema "You can't be a judge in your own case"
4. Hivi kwa kitendo kilichofanywa na NEC ya CCM, siyo kinazidi kuthibitisha shutuma za wananchi walio wengi kuwa huyo Musiba anakingiwa kifua na anatumwa na mtu mzito sana ndani ya nchi hii kutoa hizo shutuma zake zisizokuwa na ushahidi??
Hili Taifa kama linafanya maamuzi yake kwa ubaguzi wa waziwazi kabisa, katika kuwashughulikia wahusika wake linalowatuhumu, kama huu tunaouona sasa tujue kama Taifa tupo hatarini kusambaratika
Naomba nijibiwe kwa hoja, wala si kwa kutoa povu
Membe aogopwe kwa lipi hasa?! Aligombea 2015, tena akibebwa na mwenyekiti wa wakati huo, alifika wapi?Hao CCM wanamuogopa sana Membe......
Hiyo yote wanazunguka, lakini lengo lao ni kumzuia Membe asigombee Urais 2020 na hivyo kumfanya Magufuli akose mpinzani
Lakini katika mazingira ya Shauri hili, ni kama uamuzi ushafikiwa tayari
Refer kauli aliyotoa Katibu Mkuu wa CCM, Dkt Bashiru Ally, hivi karibuni
Mkuu jibu swali mtoa uzi ameuliza kwanini Mwanaharakati Huru Mh.Musiba hajaitwa?CCM haiogopi watu kama chadema ,huku ukizingua unasurubiwa kama yeyete
State agent
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hilo ndilo swali langu, lakini huyo kada wa Lumumba, anazunguka zunguka tuMkuu jibu swali mtoa uzi ameuliza kwanini Mwanaharakati Huru Mh.Musiba hajaitwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mke wa mtu...Musiba ni nani kule CCM?!
Africa is shit hole all Americans tweet is vital including dole la kati4. Hivi kwa kitendo kilichofanywa na NEC ya CCM, siyo kinazidi kuthibitisha shutuma za wananchi walio wengi kuwa huyo Musiba anakingiwa kifua na anatumwa na mtu mzito sana ndani ya nchi hii kufanya huo upuuzi wake??
[emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144] Mystery,
CCM inaogopa watu sana Mbona hawamuhoji cyprian Musiba na Le mutuz kwa maneno yao ya hovyo?CCM haiogopi watu kama chadema ,huku ukizingua unasurubiwa kama yeyete
State agent
Sent using Jamii Forums mobile app
Pinda ni muonevu sana na ana wivu hataki membe apenye anahofia kwenda jela kwa ufisadi pindi membe akiingia ikuluNEC ya watu wa hovyo kama kina Pinda unategemea nini?
4. Hivi kwa kitendo kilichofanywa na NEC ya CCM, siyo kinazidi kuthibitisha shutuma za wananchi walio wengi kuwa huyo Musiba anakingiwa kifua na anatumwa na mtu mzito sana ndani ya nchi hii kufanya huo upuuzi wake??
[emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144] Mystery,
Kwenye sheria ni lazima unapohitaji haki itendeke uhusishe pande zote ili uujue ukweli na ufanye uamuzi usiopendelea upande mmoja
Nimesikia kwenye kikao cha NEC ya CCM kilichomalizika siku chache zillizopita.huko Mwanza, kuwa kimeamua kuwaita akina Bernard Membe, Abdurahman Kinana na Yusufu Makamba kuwahoji kuhusu tuhuma zinazowakabili za kuvuja kwa sauti zao kwenye audio clips
Nina maswali machache ninataka kuwauliza hao wajumbe wa NEC walioazimia azimio hilo
1. Ni kwanini muwaite akina Kinana na kutaka kuwahoji wakati mmeacha kumuita Musiba, ikiwa mnatafuta haki itendeke kwa kusikiliza pande zote za mgogoro huo??
2. Hivi "privacy policy" haipo tena nchini Tanzania, ambapo mtu analindwa kisheria katika maongezi yake ya faragha??
3. Mnawezaje kuwa nyinyi NEC ya CCM kuwa ndiyo waamuzi wa kesi hiyo, wakati mnajua kabisa kuwa mnakiuka "principle" kuu ya "natural justice" inayosema "You can't be a judge in your own case"
4. Hivi kwa kitendo kilichofanywa na NEC ya CCM, siyo kinazidi kuthibitisha shutuma za wananchi walio wengi kuwa huyo Musiba anakingiwa kifua na anatumwa na mtu mzito sana ndani ya nchi hii kutoa hizo shutuma zake zisizokuwa na ushahidi??
Hili Taifa kama linafanya maamuzi yake kwa ubaguzi wa waziwazi kabisa, katika kuwashughulikia wahusika wake linalowatuhumu, kama huu tunaouona sasa tujue kama Taifa tupo hatarini kusambaratika
Naomba nijibiwe kwa hoja, wala si kwa kutoa povu
Kwanini CCM
1. Inavunja katiba? Kuingilia mawasiliano ya watu binafsi.
2. Kwanini inafanya unyanyapaa kwa wanachama wake?
A) Musiba Haitwi kuhojiwa
B) wazee wanaitwa
Waitwa wote A) na B) hapo juu haki intendee.
3. Kwanini ccm hairuhusu kukosolewa?
A) kuambiwa ukweli ni kosa?
B) kushauliwa nikosa?
Mwenyekiti wa chama ni amilijeshi mkuu
Waziri wa mambo ya ndani ni kada wa ccm
Je ccm inabariki uvunjifu wa sheria ?
Je ccm inaruhusu wanachama wake kutukanwa na kuzushiwa ?
Je ccm inaruhusu wanachama wake kudhalauliwa na kudhalilishwa?
Ikiwa sheria ipo wazi kwanini waziri hawezi kumshughulikia Musiba?
Musiba yupo juu ya ccm kuliko wanachama wa ccm?
Lakini katika mazingira ya Shauri hili, ni kama uamuzi ushafikiwa tayari
Refer kauli aliyotoa Katibu Mkuu wa CCM, Dkt Bashiru Ally, hivi karibuni
Ukiona mtoto anatukana mtu mzima juwa katumwa na mtu mzima sio yeye mtoto.Tuepukane kuwadhalilisha viongozi wetu waliopita tuwaheshimu hata kama kuna jambo la utata, lawezekana kumalizwa kwa unyenyekevu bila publicity .
Mimi siko CCM wala Chademamkuu nawe ni ccm mwenzetu?
Nataka nikuunge mkono kuwatetea..
Nadhani wachadema wabaki kuuliza kwann Mbowe anakuwa mwenyekiti wa kudumu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi siko CCM wala Chadema
Kuuliza kwangu ni kwanini NEC ya CCM inawaita akina Membe na kunwacha Musiba, ni kwa kuwa naamini kuwa huyo Musiba ndiyo "root cause" wa haya yote yanayotokea
Kitendo cha CCM kufanya ubaguzi na kuwaonea baadhi ya watu, kitasababisha Taifa hil lisambaratike. OVA