Hivi ni kwanini Baraza Kuu la CCM liliwaita na kutaka kuwahoji akina Membe na kumwacha Musiba?

Hivi ni kwanini Baraza Kuu la CCM liliwaita na kutaka kuwahoji akina Membe na kumwacha Musiba?

Na hii ndio hukumu halisi inayotarajiwa na kusubiriwa kwa hamu atakayopewa Membe!
Hao CCM wanamuogopa sana Membe......

Hiyo yote wanazunguka, lakini lengo lao ni kumzuia Membe asigombee Urais 2020 na hivyo kumfanya Magufuli akose mpinzani
 
Kwenye sheria ni lazima unapohitaji haki itendeke uhusishe pande zote ili uujue ukweli na ufanye uamuzi usiopendelea upande mmoja

Nimesikia kwenye kikao cha NEC ya CCM kilichomalizika siku chache zillizopita.huko Mwanza, kuwa kimeamua kuwaita akina Bernard Membe, Abdurahman Kinana na Yusufu Makamba kuwahoji kuhusu tuhuma zinazowakabili za kuvuja kwa sauti zao kwenye audio clips

Nina maswali machache ninataka kuwauliza hao wajumbe wa NEC walioazimia azimio hilo

1. Ni kwanini muwaite akina Kinana na kutaka kuwahoji wakati mmeacha kumuita Musiba, ikiwa mnatafuta haki itendeke kwa kusikiliza pande zote za mgogoro huo??

2. Hivi "privacy policy" haipo tena nchini Tanzania, ambapo mtu analindwa kisheria katika maongezi yake ya faragha??

3. Mnawezaje kuwa nyinyi NEC ya CCM kuwa ndiyo waamuzi wa kesi hiyo, wakati mnajua kabisa kuwa mnakiuka "principle" kuu ya "natural justice" inayosema "You can't be a judge in your own case"

4. Hivi kwa kitendo kilichofanywa na NEC ya CCM, siyo kinazidi kuthibitisha shutuma za wananchi walio wengi kuwa huyo Musiba anakingiwa kifua na anatumwa na mtu mzito sana ndani ya nchi hii kutoa hizo shutuma zake zisizokuwa na ushahidi??

Hili Taifa kama linafanya maamuzi yake kwa ubaguzi wa waziwazi kabisa, katika kuwashughulikia wahusika wake linalowatuhumu, kama huu tunaouona sasa tujue kama Taifa tupo hatarini kusambaratika

Naomba nijibiwe kwa hoja, wala si kwa kutoa povu
NEC ya watu wa hovyo kama kina Pinda unategemea nini?
 
Hao CCM wanamuogopa sana Membe......

Hiyo yote wanazunguka, lakini lengo lao ni kumzuia Membe asigombee Urais 2020 na hivyo kumfanya Magufuli akose mpinzani
Membe aogopwe kwa lipi hasa?! Aligombea 2015, tena akibebwa na mwenyekiti wa wakati huo, alifika wapi?
 
4. Hivi kwa kitendo kilichofanywa na NEC ya CCM, siyo kinazidi kuthibitisha shutuma za wananchi walio wengi kuwa huyo Musiba anakingiwa kifua na anatumwa na mtu mzito sana ndani ya nchi hii kufanya huo upuuzi wake??
[emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144] Mystery,
Africa is shit hole all Americans tweet is vital including dole la kati
 
mkuu umerudi ccm ama?
4. Hivi kwa kitendo kilichofanywa na NEC ya CCM, siyo kinazidi kuthibitisha shutuma za wananchi walio wengi kuwa huyo Musiba anakingiwa kifua na anatumwa na mtu mzito sana ndani ya nchi hii kufanya huo upuuzi wake??
[emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144] Mystery,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni hazina ya CCM..
Mkuu umethibitisha kuwa CCM ina wasomi.

Nimependa hoja zako..
Kwenye sheria ni lazima unapohitaji haki itendeke uhusishe pande zote ili uujue ukweli na ufanye uamuzi usiopendelea upande mmoja

Nimesikia kwenye kikao cha NEC ya CCM kilichomalizika siku chache zillizopita.huko Mwanza, kuwa kimeamua kuwaita akina Bernard Membe, Abdurahman Kinana na Yusufu Makamba kuwahoji kuhusu tuhuma zinazowakabili za kuvuja kwa sauti zao kwenye audio clips

Nina maswali machache ninataka kuwauliza hao wajumbe wa NEC walioazimia azimio hilo

1. Ni kwanini muwaite akina Kinana na kutaka kuwahoji wakati mmeacha kumuita Musiba, ikiwa mnatafuta haki itendeke kwa kusikiliza pande zote za mgogoro huo??

2. Hivi "privacy policy" haipo tena nchini Tanzania, ambapo mtu analindwa kisheria katika maongezi yake ya faragha??

3. Mnawezaje kuwa nyinyi NEC ya CCM kuwa ndiyo waamuzi wa kesi hiyo, wakati mnajua kabisa kuwa mnakiuka "principle" kuu ya "natural justice" inayosema "You can't be a judge in your own case"

4. Hivi kwa kitendo kilichofanywa na NEC ya CCM, siyo kinazidi kuthibitisha shutuma za wananchi walio wengi kuwa huyo Musiba anakingiwa kifua na anatumwa na mtu mzito sana ndani ya nchi hii kutoa hizo shutuma zake zisizokuwa na ushahidi??

Hili Taifa kama linafanya maamuzi yake kwa ubaguzi wa waziwazi kabisa, katika kuwashughulikia wahusika wake linalowatuhumu, kama huu tunaouona sasa tujue kama Taifa tupo hatarini kusambaratika

Naomba nijibiwe kwa hoja, wala si kwa kutoa povu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wewe ni kijana machachari wa ccm..
Safi sana
Kwanini CCM
1. Inavunja katiba? Kuingilia mawasiliano ya watu binafsi.

2. Kwanini inafanya unyanyapaa kwa wanachama wake?

A) Musiba Haitwi kuhojiwa

B) wazee wanaitwa

Waitwa wote A) na B) hapo juu haki intendee.

3. Kwanini ccm hairuhusu kukosolewa?

A) kuambiwa ukweli ni kosa?

B) kushauliwa nikosa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amilijeshi kwenye kikao cha ccm
Magu hana tabia ya kuvunja katiba ila huwa mnamfundisha..
Chama ni umoja fulani na utahusika kwa mambo yanayohusu members wake.

Hayo unayoyataja ya musiba na amilijeshi ni ya serikali sio kuitwa CCM
Mwenyekiti wa chama ni amilijeshi mkuu

Waziri wa mambo ya ndani ni kada wa ccm

Je ccm inabariki uvunjifu wa sheria ?

Je ccm inaruhusu wanachama wake kutukanwa na kuzushiwa ?

Je ccm inaruhusu wanachama wake kudhalauliwa na kudhalilishwa?

Ikiwa sheria ipo wazi kwanini waziri hawezi kumshughulikia Musiba?

Musiba yupo juu ya ccm kuliko wanachama wa ccm?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiona mtoto anatukana mtu mzima juwa katumwa na mtu mzima sio yeye mtoto.Tuepukane kuwadhalilisha viongozi wetu waliopita tuwaheshimu hata kama kuna jambo la utata, lawezekana kumalizwa kwa unyenyekevu bila publicity .

highly true hypothesis
 
mkuu nawe ni ccm mwenzetu?
Nataka nikuunge mkono kuwatetea..

Nadhani wachadema wabaki kuuliza kwann Mbowe anakuwa mwenyekiti wa kudumu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi siko CCM wala Chadema

Kuuliza kwangu ni kwanini NEC ya CCM inawaita akina Membe na kunwacha Musiba, ni kwa kuwa nataka haki itendeke na naamini kuwa huyo Musiba ndiyo "root cause" wa haya yote yanayotokea

Kitendo cha CCM kufanya ubaguzi na kuwaonea baadhi ya watu, kitasababisha Taifa hil lisambaratike. OVA
 
ni chama chao na hakiendeshwi na katiba ya nchi....

Kama sio member wa ccm then kuuliza ni udaku[emoji1]

Kuna vyama hata vya kichawi.. haturuhusiwi kwanini wanafukua kaburi hili badala ya lile la zamani
Mimi siko CCM wala Chadema

Kuuliza kwangu ni kwanini NEC ya CCM inawaita akina Membe na kunwacha Musiba, ni kwa kuwa naamini kuwa huyo Musiba ndiyo "root cause" wa haya yote yanayotokea

Kitendo cha CCM kufanya ubaguzi na kuwaonea baadhi ya watu, kitasababisha Taifa hil lisambaratike. OVA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom