Yeah ana haki tena ukute nanii zimemjaa hadi nanii imevimba lol halafu anajifanya muaminifu kwikwikwikwiiiii atabaki kulalama tu badala ya kutafuta kaserengeti kazikamue zote na stress zake ziishe :glasses-nerdy:
Copy kwa Dena Amsi
Kuibiwa ni ongoing process
Ukitaka kuacha kuiba au kuibiwa fumaniwa- Asprin
Na ukiona unagundua unaibiwa jua mwenzio kakaribia kukuchoka, hajali tena
Dah hajagundua siri ya mafanikio aiseeshauri zake
mbona wapo kibao wakuondoa mastress na maisha yakasonga
hii ya kulia lia ilishapitwa na wakati
Ila Mamndenyi sio kila nyumba ndogo ina maufundi nyingine game moja tu hurudii tena yan unasema mazima na kila kitu unadelete.....!
HahahaaKinachokupeleka kwa vitoto ninini?
Hahahaaa kufumaniwa kuna stress aisee yan kwanza hata ukifumwa na msg ya mahaba lol utavibrate balaa
Yan full kujituma hadi wife anashangaa hahahaaa siunajua shughuli za mwanzo sio kama za baada ya miaka miwili ya ndoa sasa siku hiyo unaunga hata tatu bila mapumziko utadhani umekula super shaft heheheheeeeeeIle vibration ya kufumaniwa ndio adventure yenyewe
Unaomba msamaha huku unaliaaa weeeee
Anakusamehe kwa masharti kibao afu unampa chezo, ujue linakuwaga chezo la nguvu? Ndio raha yenyewe
(Disclaimer: Try at your own risk)
Hiyo ni kuruka mkojo ukakaknyaga yule mkubwa wake...wakati mwingine unafikia mahali unajiuliza ivi nimekosa nini nyumbani??
Yan full kujituma hadi wife anashangaa hahahaaa siunajua shughuli za mwanzo sio kama za baada ya miaka miwili ya ndoa sasa siku hiyo unaunga hata tatu bila mapumziko utadhani umekula super shaft heheheheeeeee
Mkirua ndo mjue na kupima maji
siyo kwenda juu kwa juu
unatakiwa ukienda nje ujue kweli umeamua kufanya uharibifu nyie vipi
(Hivi nani kaiba pass word yangu??)
siyo majibu yangu mimi haya.
Heheheheheee ni balaaaHe he he he, dah
Hizi ekperiensi zingekuwa zinaandikwa kwenye CV
Kuna watu wangekuwa maCEO wa microsoft hedi ofisi
Heeee hata mimi nahisi kuna mtu ana password yangu lol sio mwandiko wangu huuMkirua ndo mjue na kupima maji
siyo kwenda juu kwa juu
unatakiwa ukienda nje ujue kweli umeamua kufanya uharibifu nyie vipi
(Hivi nani kaiba pass word yangu??)
siyo majibu yangu mimi haya.
We dogo hujui kaka yako leo niko huku?hii mada imewekwa saa Today 08:26 sasa hivi ni saa 10:51 imefika page 8 kweli nyie watu mwafanya kazi saaa ngapi??????????
teh natania bwana si sijui hata hayo mambo wala sina k mieKhaaaaaaaaaaaaaa! yaani unaendelea, na umefikia kunishawishi nimsaliti baba Careen nije huko nje niangalie ladha zingine, Nakwenda kukusemea.Wakati mwenzio najitapa nimepata mwanaume :A S angry::A S angry::A S angry: