Hivi ni kwanini lakini?! Wanaume naombeni majibu

Hivi ni kwanini lakini?! Wanaume naombeni majibu

Mbu unajua nakuheshimu sana wewe

Hahahahaaaaaaaaaa! Madame Dena Amsi usidangangyike na maneno anayokwambia kidume eti haelewani na nyumba kubwa aka parokia. Wengi wenu huwa mnapenda kusikia hayo maneno ili mjue kuwa nyie nyumba ndogo ndio mnaofaa na mnao-release tensions wanaume wanazotoka nazo nyumba kubwa. We jiulize kwa nini hakuoni kama kweli unafaa, ila kila uchao anakuletea mineno hiyohiyo.

Wanaume tuna 'approaches' nyingi sana, ikishindikana hii unatumia ile, na kwa kweli mwanaume ukiwa mjuzi wa hizo njia, utawapata wengi na kweli raha utaipata toka kwa nyumba ndogo. Mwisho wa siku ukishakinai style zake, unahamia kwa mwingine, maneno ni yaleyale.
 
Hiyo ni kuruka mkojo ukakaknyaga yule mkubwa wake...wakati mwingine unafikia mahali unajiuliza ivi nimekosa nini nyumbani??

mie wa kwangu aliambiwa anataka kuolewa kabisa, akaambiwa siku zangu zinahesabika kwa hiyo ampe muda tu amalizie nyumba yake nyingine ili waishi kwa amani,kwamba mke wake siku hizi simjali hata ndugu zake siwapendi, blah blah kibao, hahaha siku waliyonikimbia bar nikasema huyu dada lazima nimtafute mpaka kieleweke, hahaha mdada alibwabwaja mbaya, aliniambia mpaka walipokuwa wanaenda kufanya matusi, siku mwanaume anarudi na mama nyamayao nyumbani kuomba msamaha nae akabwabwaja kivyake,hahaha mbona alisugua goti kulilia msamaha? kwa wanawake wote ma single, kama unadate na mume wa mtu jali wallet yake,(coz mie najua mtu anaedate na mume wa mtu ni ukwasi unamsumbua) usimsikilize blah blah zake coz ni za uongo mtupu na zinakupotezea muda wa ku chop money, hiyo kwenu ni biashara, fanyeni biashara achaneni na hadithi ndefu zisizo na maslahi, hatakuoa hata akwambie mke wake siku hizi anajikojolea kitandani na blah blah nyingine.
 
Hahahahaa nini tena mdogo wangu kipenzi?
Hivi ushapata wa Valentine maana naona KakaKiiza anakuzingua tu
siku hizi mimi na KakaKiiza tunawasiliana kwa simu na PM TU hatutaki uzushi wanga walikuwa wengi sana wanamvizia ila du ni mzinguaji kwelikweli hahahaha
 
Last edited by a moderator:
mie wa kwangu aliambiwa anataka kuolewa kabisa, akaambiwa siku zangu zinahesabika kwa hiyo ampe muda tu amalizie nyumba yake nyingine ili waishi kwa amani,kwamba mke wake siku hizi simjali hata ndugu zake siwapendi, blah blah kibao, hahaha siku waliyonikimbia bar nikasema huyu dada lazima nimtafute mpaka kieleweke, hahaha mdada alibwabwaja mbaya, aliniambia mpaka walipokuwa wanaenda kufanya matusi, siku mwanaume anarudi na mama nyamayao nyumbani kuomba msamaha nae akabwabwaja kivyake,hahaha mbona alisugua goti kulilia msamaha? kwa wanawake wote ma single, kama unadate na mume wa mtu jali wallet yake,(coz mie najua mtu anaedate na mume wa mtu ni ukwasi unamsumbua) usimsikilize blah blah zake coz ni za uongo mtupu na zinakupotezea muda wa ku chop money, hiyo kwenu ni biashara, fanyeni biashara achaneni na hadithi ndefu zisizo na maslahi, hatakuoa hata akwambie mke wake siku hizi anajikojolea kitandani na blah blah nyingine.

kuna mahali umenipoteza kidogo lakini nimejitahidi kukusoma...Kumbe Mpango kando ni maslahi otherwise hakuna kitu? Lakini Nyamayao labda unazungumzia kwa asilimia...ipo mipango kando mingine inajiweza na kujiendesha saana inataka kuwa na wewe pengine performance ni nzuri nk, nk....hapo unasemaje?
 
Last edited by a moderator:
Najiuliza.................

Ni kweli mpango wa kando a.k.a nyumba ndogo husaidia kupunguza stress za nyumbani kwako??

Kama si kweli mbona unakwenda kumsimulia mpango wa kando mambo/matatizo yako na mkeo???

Kama ni kweli mbona humuoi huyo mpango wa kando akawa mke mdogo/wa pili ili hizo stress za home uzimalizie bila kificho wajameni???

Najiuliza sana sipati majibu kwanini uende kumueleza matatizo/shida/ugomvi wako na mkeo huyu mwanamke wa nje tena unaomba akupunguzie stress?? Eeehhh??

Yaani unakutana na kimpango wa kando kinakujua kuliko eeeeehhhhh wajameni.......................

Najua Asprin Dark City Mr Rocky Erickb52 na wengineo mtanipa majibu NISAIDIENI TAFADHALI


Anayefanya hayo ni irresponsible cheater au ana matatizo zaidi ya anavyojihisi....

Mdau mwenye busara zake hata story za familia yake hazimo kwenye recipe yake na kidumu.....!!

Babu DC!!
 
teh natania bwana si sijui hata hayo mambo wala sina k mie
hahahahahaahahaaaaaaaaaaa! K yako imeenda wapi Smile, umeiazimisha nini kwa muda.:becky::becky::becky:
 
hii mada imewekwa saa Today 08:26 sasa hivi ni saa 10:51 imefika page 8 kweli nyie watu mwafanya kazi saaa ngapi??????????
mwapenda sana habari za nyumba ndogo ,mafumanizi hasa wewe Kongosho Erickb52 Smile Mamndenyi Mkirua na wezenu wengi tu hapa
mi nimepita tu




Halafu wewe!!! Hujui leo tarehe 12/02?? na kwamba imebaki kesho tu...LOL...wewe acha kujipa tuition uone kama keshokutwa hujalia kilio cha mtu mzima...
 
siku hizi mimi na KakaKiiza tunawasiliana kwa simu na PM TU hatutaki uzushi wanga walikuwa wengi sana wanamvizia ila du ni mzinguaji kwelikweli hahahaha
Heheheheee kama anakuzingua tupa kuleeee kwani nini aisee
 
Anayefanya hayo ni irresponsible cheater au ana matatizo zaidi ya anavyojihisi....

Mdau mwenye busara zake hata story za familia yake hazimo kwenye recipe yake na kidumu.....!!

Babu DC!!
Ndio maana Babu hupaswi kukosa humu!
 
Wajinga sana hawa eti ooohh kwanini hatukukutana mapema kabla ya huyu mwanamke sijui ni nini "Bure Kabisa"

Hili halina tatizo...ni kachumbari tu ya kukutengenezea njia...

Hivi kuna mwanamke huwa haambiwi kwamba ni cute, sweet etc??....

Ni party ya package za watu aina hiyo!!

But story za familia na mkeo kwa small house....NO....NO....NO please!!

Babu DC!!
 
Smile
au tumuunganishe na Asprin
Eti Mamndenyi, kikombe alichonipa baba sitakinywa?

Kuibiwa ni ongoing process

Ukitaka kuacha kuiba au kuibiwa fumaniwa- Asprin
Na ukiona unagundua unaibiwa jua mwenzio kakaribia kukuchoka, hajali tena
Ukiondoa uzembe, umbea, ufitini au kosa dogo la kiufundi, ukiona mtu kafumaniwa kinyume cha hapo ujue kishachokwa mtu na inatafutwa njia rahisi sana, iliyozoeleka inayoeleweka na kujulikana ya kuachana.
 
Eti Mamndenyi, kikombe alichonipa baba sitakinywa?

Ukiondoa uzembe, umbea, ufitini au kosa dogo la kiufundi, ukiona mtu kafumaniwa kinyume cha hapo ujue kishachokwa mtu na inatafutwa njia rahisi sana, iliyozoeleka inayoeleweka na kujulikana ya kuachana.
....Shimo La Panya Halifunikwi Kwa Mkate.....
 
Najiuliza.................

Ni kweli mpango wa kando a.k.a nyumba ndogo husaidia kupunguza stress za nyumbani kwako??

Kama si kweli mbona unakwenda kumsimulia mpango wa kando mambo/matatizo yako na mkeo???

Kama ni kweli mbona humuoi huyo mpango wa kando akawa mke mdogo/wa pili ili hizo stress za home uzimalizie bila kificho wajameni???

Najiuliza sana sipati majibu kwanini uende kumueleza matatizo/shida/ugomvi wako na mkeo huyu mwanamke wa nje tena unaomba akupunguzie stress?? Eeehhh??

Yaani unakutana na kimpango wa kando kinakujua kuliko eeeeehhhhh wajameni.......................

Najua Asprin Dark City Mr Rocky Erickb52 na wengineo mtanipa majibu NISAIDIENI TAFADHALI
Naomba nikujibu tu hapo kwa red kwa kauli fupi.....
Mwanaume awaye yote atoaye siri ya mkewe au familia yake kwa nyumba ndogo, rafiki yake wa karibu, padre, mchungaji, sheikh, babu, mjomba, bibi, mama, baba au mtu awaye yote ujue huyo si MWANAUME WA KWELI.

MWANAUME WA KWELI anakumega akishamaliza anakuaga akikuambia NAWAHI KWA MKE WANGU MPENZI mambo yasije kuharibika.
 
Back
Top Bottom