Hivi ni kwanini lakini?! Wanaume naombeni majibu

Hivi ni kwanini lakini?! Wanaume naombeni majibu

HAjawahi kuchit huyo

Labda kama ni 'one night stand'
Ni rahisi sana kujikuta unaropoka kwa nyumba ndogo hasa unapokaa nayo kwa muda mrefu

babu hajasema hajawahi kuchit ila kasema anakochit haongelei mambo ya home, either anazungumzia hadithi za kuku na bata au anacheza kidali po then anasepa......
si eti babu Dark City?
 
FP rudia tena na tena utaelewa, kichanga vp kinaendeleaje? kinapata lishe bora?
yaani mpaka nimeandika ujue nimesoma tena na tena na tena lakini hola......
kichanga hakijambo kabisaaaaaaaa, lishe yenye virutubisho vyoooteeeee uvijuavyo dunia hii
 
HAjawahi kuchit huyo

Labda kama ni 'one night stand'
Ni rahisi sana kujikuta unaropoka kwa nyumba ndogo hasa unapokaa nayo kwa muda mrefu
kumbe one night stand siyo kuchit, lol!
unamsemea mtu! mi simo siku utakayopigwa surprise
 
HAjawahi kuchit huyo

Labda kama ni 'one night stand'
Ni rahisi sana kujikuta unaropoka kwa nyumba ndogo hasa unapokaa nayo kwa muda mrefu

Atakuwa anajifunza kuchit matokeo yake ndo hayo na nyumba ndogo janja sana zikuona mtu wa design hiyo wanamwonjesha tiGo jamaa apagawe kabisa kama hajaitelekeza familia sijui
 
that's my baby sis........
ndo maana ukawa mdogo wangu, keep it up my dear..... hakuna wa zaidi yako

ah tubaki tunalia mpango wa kando mpango wa kando wamekuwa njia ya chooni dada mkubwa!
Dena Amsi mwaya
jipende jipare jipe raha jimwage!WEWE NDO MOTHER HOUSE HUO MPANGO WA KANDO UNGEKUWA WA MAANA UNGEKUTOA NDANI bibi wee!midhali upo ndani na mume unae wewe tu!jipange atakaa tu sawa!
TWENZETU pm kwanza tukapange mashambulizi !kitu gani banaaa!wakijua huu twalijua hili! Dena Amsi WEWE NI BORA NDO MANA ALIKUOA!NA AKAZAA NA WEWE WATOTO WENGINE NI MAJI TAKA !TU.PERIOD!
 
Last edited by a moderator:
:becky::becky: Hapo nimeelewa kumbe nyumba ndogo zinaisadia nyumba kubwa kutoa huduma ya penzi tatizo ni muda na mahali tu , zidumu daima nyumba ndogo :clap2:

ahahahhahahhahaha we waje ujinga tu!
 
Hapa sasa naona unanifukuza jamvini kijanja,

Kwani haturuhusiwa kuongelea riwaya kwenye huu uzi??



Wiki 2 na kidumu?? Ili iweje??

Anyway..umeshanizuia kuendelea kuchangia...ngoja nisepe!!!!!

Najua hujawahi kuchit, umeweza kuruka mitego ya Madame B? wee kiboko
Ruksa kupiga riwaya
Ila wiki 2 chache sana na kidumu
watu wanatokomea miezi kadhaa

Kuna jamaa alikuwa anasoma mahali
kaacha mke na watoto tz
akakiita kidumu chake kule kikakata miezi 6

Unadhani uwezekano wa kuropoka ndani ya hiyo miezi 6 ukoje?

Kongosho yuko sahihi kabisa.....anao ushahidi wa kutosha kuhusu kile anachokisema...

Babu DC!!!

Ulipotelea wapi? Tumekukosa sana jamvini
 
Last edited by a moderator:
Vaa nguo zote upendeze lakini SANDA ndiyo fasheni ya mwisho;Tembea kote lakini KABURINI ndo matembezi ya mwisho, Panda gari,punda,meli,treni, ndege, ngamia, bajaji na pikipiki lakini JENEZA ndo gari la mwisho. Kusanya mali na mizigo mingi ya thamani, lakini UDONGO ni mzigo wako wa mwisho. Kifo ni cheo cha bure kwa wote. UVUNDO ndo marashi ya mwisho, KABURI ndo nyumba ya kudumu"


Mbona sasa unatisha watu Fidel80?

Au umekosea thread ya kuweka hii post??

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Weee, koma

Usione vyaelea ukadhani vimefungwa maboya
Ninamlisha mwenyewe hadi umemwona kanona hivyo
Asprin ana wenyewe, na wenyewe ndio mie

alijiletA MWENYEWE NIMFANYEJE VUNJILIA MBALI YUKO MUHIMBILI Asprin
 
Last edited by a moderator:
ah tubaki tunalia mpango wa kando mpango wa kando wamekuwa njia ya chooni dada mkubwa!
Dena Amsi mwaya
jipende jipare jipe raha jimwage!WEWE NDO MOTHER HOUSE HUO MPANGO WA KANDO UNGEKUWA WA MAANA UNGEKUTOA NDANI bibi wee!midhali upo ndani na mume unae wewe tu!jipange atakaa tu sawa!
TWENZETU pm kwanza tukapange mashambulizi !kitu gani banaaa!wakijua huu twalijua hili! Dena Amsi WEWE NI BORA NDO MANA ALIKUOA!NA AKAZAA NA WEWE WATOTO WENGINE NI MAJI TAKA !TU.PERIOD!
he he heeeeeeeee, nina uhakika rafiki Dena Amsi katupata....
acha kulia songa mbele shosti.....
ni upepo tu utapita
 
Last edited by a moderator:
Mkirua tena ukifanya hilo kosa nikikukuta mie mkeo kweli nafungasha naondoka
ala inakuwa zarau ukachukue mtu hatanifikia hata akipaka enjo feisi siwezi kukuelewa.
Mkirua hivi kweli unaniita brother kweli?

Kwenye BLUE ni sawa..yuko rafiki yangu mmoja huniambia kuwa ninakuwa na kitu cha uhakika hata wife akikufuma akiangalia anakubali kweli Mume wangu ulikuwa na haki ya kujikwaa...LoL...


Kwenye RED sijakusoma brother!
 
Last edited by a moderator:
Dena Amsi pole sana.. . nahisi shemeji kesha kuuzi . Hawa wazee wa mipango ya kando wakija hapa watajitetea tu..kutakuwa hakuna jipya lol.

BUT to me naona mwenzi wako akienda eleza mapungufu yako kwa kimada ni kujidhalilisha tu (including yeye mwenyewe kujidhalilisha), hakuna kingine hapo. Na kwa kufanya hivyo ni kuongeza tu matatizo as unampa kimada point za ku hit ... otherwise kama umeplan kuharibu FAMILIA yako for that useless KIMADA. By the way.. kwao inapendwa POCHI hapendwi mtu...
 
Last edited by a moderator:
Bila kusema uongo nyumba ndogo utaingiaje sasa? Kwahiyo hayo ni maneno ya kurahisisha upatikanaji wa huduma...
 
Back
Top Bottom