Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,991
- 24,211
HAjawahi kuchit huyo
Labda kama ni 'one night stand'
Ni rahisi sana kujikuta unaropoka kwa nyumba ndogo hasa unapokaa nayo kwa muda mrefu
Labda kama ni 'one night stand'
Ni rahisi sana kujikuta unaropoka kwa nyumba ndogo hasa unapokaa nayo kwa muda mrefu
babu hajasema hajawahi kuchit ila kasema anakochit haongelei mambo ya home, either anazungumzia hadithi za kuku na bata au anacheza kidali po then anasepa......
si eti babu Dark City?