berylyn
JF-Expert Member
- Dec 26, 2021
- 877
- 2,618
- Thread starter
- #21
Ok ko issue Ni kwamba anawaza ukifilisika, pesa itakuwa Kama imepotea ,ook hapo nakupata.Wazazi wengi hali za maisha ni kawaida
Akupe labda 20mil ufilisike anapatawapi nyingine kukuboost urudi kwenye mstari
Hivyo anaona bora upate elimu unaweza ajiriwa ukapata na mtaji kupitia ajira