Street brain
JF-Expert Member
- Oct 24, 2022
- 584
- 767
Jamani siku hizi nafasi nyingi zikitolewa au serikali wakihitaji waajiriwa Mara nyingi diploma ndo imekuwa kipaumbele,. Hiyo imekaaje ndugu zangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cheap labour policyJamani siku hizi nafasi nyingi zikitolewa au serikali wakihitaji waajiriwa Mara nyingi diploma ndo imekuwa kipaumbele,. Hiyo imekaaje ndugu zangu
Kasome dp nyingine mkuu.Nmesoma diploma in film production, cjui nani alinishauri nisome hii kitu, mwnyw najishangaa.
Muda wa kusoma umeshanitupa, hapa napambana na mambo mengine ya riziki.Kasome dp nyingine mkuu.
Diploma ni nzuri kwa technical course like mechanical Eletrical Electronics and locomotives ila diploma za manunuzi sijui sociology utajutaHizo kazi za diploma mbona ndio hamna kabisa, atleast degree inaweza kuwa na market.
Nani kakuambia hazipo ?Hizo kazi za diploma mbona ndio hamna kabisa, atleast degree inaweza kuwa na market.
[emoji23][emoji23][emoji23]Nmesoma diploma in film production, cjui nani alinishauri nisome hii kitu, mwnyw najishangaa.