Kinyozi wetu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2014
- 324
- 194
Mzee Wassira inaonekana alikuwa ndo mbabe wa mtaa wao kipindi hiko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu acha kutizama sana Filamu za kihindi.Mleta mada unanikumbusha mbali sana 1981 ama 1982 kama sijakosea kuna dogo flan aliingia anga zangu kijijin huko mbarali kwa kumtongoza mchepuko wangu. Nilitembeza vitasa kijiji kizima kwa madogo wote wenye umri kama wake. Maumiv makal sana niliwakabiz kwa kosa la mtu mmoja. Yan nilikuwa na bwaka nikiibuka 10 ardhin nikizama nikichomoza 20 wengine chali. Nikamchukua dogo mwengine mwembamba hiv nikamtumia kama fimbo kwa kuwacharaza. Ila kwasasa nimejikita zaid kusaka hela uzee nao ndio huo. Ila miaka iyo ya themanini nilikuwa mtemi sana
😀😀😀😀😀~~~>>Umenikumbusha miaka kadhaa nyuma..
Siku moja nilijifanya mtata... Nikamchokoza jamaa mmoja hivi..Alikuwa na kidemu chake nikawa natafuta Ujiko...
Jamaa akanipiga ngumi moja ya pua... Sijakaa sawa akanipa moja ya Sikio.. Hapo nikiangalia mbele sioni
Jamaa anaendelea kutupia ngumi.... Nikaona Izrael ananisogelea.. Nikataka kukimbia wapambe wananizuia... Wanashangilia ninavyokula ngumi
Jamaa akanifumua ngumi moja Juu ya Sikio..... Hapo damu zikaanza kutoka... Akili zika kaa sawa
Nikaona hapa nakufa....Nikajikaza... Nikaelekeza nguvu zote kichwani.... Nilimtandika kichwa kimoja cha Kujitoa mhanga.... Jamaa akapepesuka nikapata Upenyo wa kukimbia
Nilitoka Speed ambayo hata wangenikimbiza na Piki piki wasingenikamata
NB:
Ila jamaa alinifumua.
Hivi hata mashuleni siku hizi madogo hawagombani "ngumi" kama miaka ya 80s to 90s ?Ustaarabu husaidia kuondoa tabia za kishenzi na kuzaa tabia za kiungwana. Kadiri muda unavyokwenda ndio binadaam wanazidi kustaarabika na kutumia njia nyingine kutatua matatizo yao badala ya kupigana. Hata ukienda nchi zilizoendelea utakuta kiwango cha kupigana kiko chini kulinganisha na nchi zinazoendelea.
Eti King of the village 😀😀😀😀Miaka niliwahi kutembeza kichapo kijiji kizima mpaka wakaniita King of the Village.
duhHivi hata mashuleni siku hizi madogo hawagombani "ngumi" kama miaka ya 80s to 90s ?