Hivi ni kwanini siku hizi watu hawapigani mitaani kama miaka ya 1980s?

Hivi ni kwanini siku hizi watu hawapigani mitaani kama miaka ya 1980s?

Nakumbuka miaka ya 80-90 ilikuwa jambo la kawaida kukuta jamaa wanapigana mitaani halafu watu wanashangilia sana.

Yaani ukiwa mtemi au gangwe basi unaonekana wa maana sana. Hata baadhi ya disco ilikuwa lazima ziishe kwa ngumi.

Kwa wale wa Iringa mtawakumbuka kina cool 9, shedadi, Ray nk

Miaka ile hatukua na TV, ukipata chance ya kuwatch live game, unasimama. Sikuhizi ving'amuzi vya kila aina.
 
We mpige mtu halafu utaskia madai yake sasa utaambiwa ini limetenguka,pumbu limepanda tumboni,kiuno kime kata ringi na inahitajika xray,u'sound,ct scan na dawa inauzwa 80alfu kunywa kila wik kwa miez 10 ulipe na nauli na menu kila siku aikienda hospital na ukizingua wanakushusha busha unageuzwa shoga mammae
 
We mpige mtu halafu utaskia madai yake sasa utaambiwa ini limetenguka,pumbu limepanda tumboni,kiuno kime kata ringi na inahitajika xray,u'sound,ct scan na dawa inauzwa 80alfu kunywa kila wik kwa miez 10 ulipe na nauli na menu kila siku aikienda hospital na ukizingua wanakushusha busha unageuzwa shoga mammae
NOUMA SANA MKUU.

We mpige mtu halafu utaskia madai yake sasa utaambiwa ini limetenguka,pumbu limepanda tumboni,kiuno kime kata ringi na inahitajika xray,u'sound,ct scan na dawa inauzwa 80alfu kunywa kila wik kwa miez 10 ulipe na nauli na menu kila siku aikienda hospital na ukizingua wanakushusha busha unageuzwa shoga mammae
 
usinikumbushe enzi hzo sisi ndo wadogo,tunasikia jamaa mmoja anaitwa Bilinje aka bili geti,alikuwa anapga mtaa mzima,(mtaa wa bahi road,shimo la ndizi,dodoma mjini)sku hz hata mashuleni hakuna habari ya mtu kupga shule nzima ila zamani zlikuwepo.bifu za mtaa na mtaa huko madebeni ndo usiseme.kuna jamaa anaitwa Musa aka George Wear alishapgana na jamaa mmoja,jamaa akamng'ata sikion akatoka na kipande(had leo jamaa yye ni mizura tuu) lakn cha ajabu waliusuruhisha ugomvi bar huku wakipata beer mbili tatu mezani.
 
Ahaa umenikumbusha zamani hata kinamama walikuwa wanapigana sana ugomvi wa watoto wanapigana wazazi.Na hivi tulikuwa tunakaa kota aha ngumi kila siku mtaani.Ukisikia kelele tu mnajua ngumi hizo mnakimbilia kwenda kushangalia.
 
Watu wanakula vya mafuta sikuhizi hawako fit,mada nje nje
 
Siku izi ukirusha ngumi. Wanakupiga chupa ya kichwa. Ndio maana watu wamekuwa wastaarabu. Au unapigwa spana ya mdomoni lazima meno yatoke. Na ndio maana mtaani ukipata mdaa ukapita unakutana na vijana wengi awana meno iyo ni spana ya mdomo. Maeneo mengi vijana wamepoteza meno
Hahaha, kuna mbabe wetu mtaani alikuwa anaitwa Shwaznneger, yeye ugomvi na mke wake anauhamishia hadharani, wakipigana watu wananua kesi aliweza hata kupigana na watu wanne kwa mara moja. Siku hiyo ukatokea tena ugomvi kama kawaida kauhamishia nje, sasa jirani alipata mgeni kutoka mkoa sijui Kigoma yule mgeni alipoona ugomvi akauingilia, alimng'ata yule shwaznneger mdomo wa chini akaunyofoa, ukawa mwisho wa ugomvi wa ngumi pale mtaani.
 
Hela ndiyo mpango mzima kwa sasa, utemi ni murder case
 
Duuh mmenikumbusha maisha fulani ya long time.Enzi izo ukipigwa huendi polisi,ukienda polisi unaonekana mtoto w a mama,na wewe unajipanga.Ugomvi ulikuwa unadumu muda mmrefu nakujenga chuki kati ya vijana wa mtaa fulani na mwingine.Yale mambo ya usipite mtaani kwetu,nitakupiga.
Namshukuru Mungu kwani mitaa niliyokulia ni majanga,lakini nilipona.Vijana hawawezi kucheza mpira bila kuishia na ugomvi.
Enzi hizo ni bora upigwe utoke damu utajifuta kuliko upate nundu kwani uvimbe wa ngumi na wa kuumwa na manyigu unajulikana.Gone are those days.Lakini maisha yale yaliwafanya vijana kuwa wakakamavu,uwe physically fit.
 
....watoto wa siku hizi wanaweza kupaka poda na kulambalamba lips tu!...kitambo hiyo vitasa kitaa hadi kwa makonda!
..wanaume walikuwa wanaume!
 
Nakumbuka miaka ya 80-90 ilikuwa jambo la kawaida kukuta jamaa wanapigana mitaani halafu watu wanashangilia sana.

Yaani ukiwa mtemi au gangwe basi unaonekana wa maana sana. Hata baadhi ya disco ilikuwa lazima ziishe kwa ngumi.

Kwa wale wa Iringa mtawakumbuka kina cool 9, shedadi, Ray nk

ELIMU IMEONGEZEKA!
 
Ukitaka kujua wakongwe huwa kwa fix wako fiti soma uzi huu, hutaona hata mmoja atasema kama aliwahi kupigwa hapa, Kila mmoja alikuwa mtemi tu, sasa sijui nani alikuwa anapigwa, Yale yale ya shule Kila mtihan wa kwanza tu sijui nani alikuwa wa mwisho, kweli fix na watu wa zamani kama stoo na vumbi
....yani kila mtu alikuwa ni mtemi sijui nani alikuwa mnyonge
 
Yuko mbabe mmoja alikuwa anaitwa Hamisi Kigulu na kundi lake la Black Septemba pale uwanja wa Karume. Huyu bwana sijui aliishia wapi, manake alikuwa tishio sana katika yale maeneo.
 
Haa mambo ya ugomvi.. Nakumbuka shule mitaa ya BK, tuko form three, tunasubiri kuingia fomu four. Four washamaliza mitihani, sasa form three ndio wababe na wakuu. Basi akaja mbabe mmoja , alikuwa form one anaingia fomu two, alikuwa nyantuzu Fulani limepanda, halafu haliheshimu form two , form three wala nini. Yaani kila mtu akiliona anasepa usiingie kwenye anga zake. Basi siku, tukagombea mapera , kuna mshikaji wangu amepanda anachuma ananishuria mimi naokota kama saa saba mchana. tumemaliza mitihani tunazagaa zagaa.
Basi yule mbabe akaja kuninyang'anya yale mapera aliyokuwa anarusha mshikaji wangu. Duh shule nzima wanaangalia. Nikasema huyu mshenzi , nikamlisha ngumi. Kwanza hakuamini kama mtu anaweza kuthubutu kumrushia ngumi, basi akaja kwa nguvu amalize mchezo.
Mimi nikamrukia mateke na vichwa , nikamfletisha chali.. Shule nzima wakaja kunibeba na kushangilia nilivyomuadhiri yule mbabe. Wakisema kumbe hana nguvu.
Basi si maticha wakaona hiyo movie, wananidabua kwenda staff room, kwamba nisingeweza kumpiga yule mbabe kama sio mafunzo ya kung fu, tuliyokuwa tunafundishwa na jamaa mmoja aliyekuwa anagombea udiwani hapo BK.
Nikapata viboko na ikawa ndio mwisho wa mafunzo ya kung- fu, kimoyoni vile viboko sikujali sana kwani watu walikuwa waniangalia kwa jicho jingine.
Ugomvi si mchezo.
 
Back
Top Bottom