Hivi ni kwanini tunapenda kuitana "Mkuu"?

Hivi ni kwanini tunapenda kuitana "Mkuu"?

Nashangazwa na matumizi ya neno MKUU humu Jf. Yaani kila mtu anamwita mwenzake mkuu hivi huu ni ukuu unatokana na kitu gani.

Mkuu Kweli Wewe Ni Bonge La Lofa Mkuu, Na Mkuu Acha Kuja Na Maswali Ya Kiliberali Mkuu, Sawa na Umesikia Mkuu?????
 
Mkuu mi hili neno halinishangazi hata kidogo. Kinachonishangaza ni hivi vitu vinavyouzwa humu JF asilimia 80% vimetumika miezi 3 tu, hapa ndo huwa nabaki hoi.
 
Basi wewe tutakuita msaidizi.
 
Nashangazwa na matumizi ya neno MKUU humu Jf. Yaani kila mtu anamwita mwenzake mkuu hivi huu ni ukuu unatokana na kitu gani.

Mkuu, unajua humu JF hatujuani kwa umri sasa kurahisisha ndo trait ana mkuu. Ni heshima Fulani hivi.
 
Haha Mkuu na Wakuu....ni JF...hii mkuu nafikiri ni rejesta tu ya mahali fulani na watu fulani kama ilivyokuwa Mdau na Wadau kama kule "Ze Utamu Kijing'ata Ulimi"
 
Mkuu...Ni njia rahisi ya kuitana hivyo kwa usiye mjua umri, jinsi,madaraka nk nafikiri ni hivyo tu mkuu
 
Ni mfumo wa makuzi tuliokulia ulisababisha tukaamini kwamba watu wakubwa hawafanyi makosa na kwamba wao ndio wenye busara sana na mambo yote awkwardly yanafanywa na rika dogo kiumri....

Kwanini hujawahi kujiuliza ni kwanini mambo mengi yanayochangia kumomonyoka kama siyo kupukutika kabisa kwa maadili kijamii yanachangiwa na rika hili kubwa ambalo zamani tulikaririsha kuwa halikosei? Ukirudi kwenye duru za kimentalist utaona pia katika makundi matatu ya kijamii ambayo hayawezi kusema uwongo mojawapo ni kundi la watoto wadogo (la pili ni la ulevi na tatu ni mtu mwenye hasira kwa kuwa staha imekwishawaondoka) kwa maana wanayonena ndiyo yameujaza moyo wao na ndiyo kweli!

Kama zipo kesi za ubakaji ambazo mbakaji ni mtoto nafikiri ni moja ama mbili kwa uwiano wa milioni nyingi kulinganisha na watu wakubwa. Pia uchunguzi mwingine niliofanya ambao si rasmi ni kwamba hata uwezo wa kujenga tafakuri na kuelewa mambo kwa mtoto mdogo ni mkubwa sana kulinganisha na watu wakubwa na kwenye hili ndipo wenzetu waliopata exposure wanapotuacha kwa kuwa wanagundua mapema creativity ya mtoto hivyo kama ni kumwendeleza anaendelezwa moja kwa moja kwenye area yake anayoonekana anaimudu badala ya kum diversify kwenye mlolongo wa mambo hatakuwa compitent badae!
Kuna hii nyengine ya kuamini kila msomi ana mawazo bora kumbe hapana vitu hivi havina uhusiano hata kidogo na kama upo basi ni mdogo mno. So mtu kuwa na busara na hekima hakuna uhusiano wowote na umri au elimu yake. Unajua watu wazima walianzia huku kwenye utoto, ujana n.k sasa mtu kama kwenye ujana wake huoni kitu kichwani basi hapo usitegemee kama akiwa mzee atakua na busara. Kwa hiyo basi twaweza kuufanya uzee wetu uwe bora iwapo tutaamka kipindi cha ujana wetu na kuyafanyia marekebisho maeneo mbali mbali ambayo yana matatizo.
 
Hivi hata wadada wanaitwa 'wakuu'?

Wewewe!!!!!! Yaani dada hastshili kuitwa mkuu? Hebu jaribu kuifuta hiyo mifumo dume kwenye kichwa chako. By the way mimi binafsi uwa natumia hilo neno kumaddress member yeyote mwenye mchango wenye akili. Hata siku moja siwezi kumuita mkuu mtu kama Ifweero, Msalani, Rutashobolwa na Lumumba book 7 group wote kwa kuwa hawajitambui.

Tiba
 
Back
Top Bottom