Hivi ni kwanini tunapenda kuitana "Mkuu"?

Hivi ni kwanini tunapenda kuitana "Mkuu"?

Mkuu wangu unajua viongozi wengi tunapenda kuwapa wadau heshima ya ukuu maana hamna asiye mkuu bongo...au sio mkuu wangu...
 
Ila ni aibu isiyo kifani mimi na MSALANI kuitwa wote wakuu, labda wenzagu mnisaidie.
 
Mkuu nilifika bana kunatoto za nguvu,nigegeda moja ijumaa naenda tena shakolea mkuu
 
Katika hali ya uwiano ni vizuri kuitana kinidhamu kwa sababu ya tofauti za rika mbalimbali na mambo kama hayo.
 
Mkuu ndio imezoeleka , mi naona kiongozi na mdau hufaa pia
 
Nashangazwa na matumizi ya neno MKUU humu Jf. Yaani kila mtu anamwita mwenzake mkuu hivi huu ni ukuu unatokana na kitu gani.

Namna gani Mkuu Makame,naona urojo unakusumbua Mkuu,hivi kweli leo umepata mchuzi wa Pweza Mkuu,na wale uhamsho bado wapo Mkuu,wasalimie Kibanda-Maiti Mkuu.
 
Mkuu sirudii tena kutumia neno mkuu, mkuu
 
Ila ni aibu isiyo kifani mimi na MSALANI kuitwa wote wakuu, labda wenzagu mnisaidie.

Hata mimi siwezi kuwa kundi moja na MSALANI eti wote tuitwe wakuu! Hii ni aibu,
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom