Hivi ni kwanini tunapenda kuitana "Mkuu"?

majibu haya yamejitosheleza mnoo tu
 
Kweli mkuu, yamkini Hili ni neno zuri linafaa kuenziwa ndani ya if. Mi nalikubali sana. Sana tu.
mkuu hili neno mimi ndio huwa limenikaa mnoo..nahuwa nalitumia mpaka kwenye. maisha yngu yakawaida ..huwa nalipnda kwa sababu linataswira ya busara na adabu
 
Kwa sababu hatusomi maandiko

Maandiko yanatuambia aliye mkuu ni mmoja tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…