Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakuna shida dogo languNimekuwa humu kwa kipindi kidogo lakini hili la kuitana 'Mkuu' limekuja tu. Sijui kwanini wakuu?
Hili ndilo jibu sahihi, hivyo thread ifungwe.
Ni kama ambavyo ulivyomalizia swali lako mkuu.Nimekuwa humu kwa kipindi kidogo lakini hili la kuitana 'Mkuu' limekuja tu. Sijui kwanini wakuu?
Kwann mkuu?Hili ndilo jibu sahihi, hivyo thread ifungwe.