Hivi ni kwanini viongozi wa Yanga SC wanapenda kusema wameonewa wakati madhaifu ni yao na ushamba wao?

Hivi ni kwanini viongozi wa Yanga SC wanapenda kusema wameonewa wakati madhaifu ni yao na ushamba wao?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Umetuma majina 13 huku la Tuisila Kisinda likiwa la 13 TFF na unajua fika kuwa Mfumo wa TMS huchukua majina 12 tu ya kwanza ambayo ndiyo yanatakiwa kikanuni.

Mnaacha kukiri Kosa kuwa ni upuuzi, ugeni na Ushamba wenu mkubwa ndiyo umewaponza na kukosea huku mnakimbilia kumtuma mpuuzi wenu mfungwa na mdaiwa wa Tsh. Milioni 20 aseme kuwa mnaonewa na kuchukiwa na kwakuwa 99% ya mishabiki yenu ni kipa katoka mrain (majuha) nao wameamini na sasa wanaanza kuilaumu TFF ambayo MINOCYCLINE nasema wako sahihi na nawapongeza kwa msimamo huu wa kikanuni na kiutaratibu.

Hata hivyo msijali sana huyu Tuisila Kisinda wenu atacheza emchi zenu za kirafiki na Wavuvi wa Kigamboni FC, Makuli wa Kariakoo FC na Makondakta wa Malori wa Jangwani.

Hamna Akili.....!!!!!!
 
ANAANDIKA ANGETILE OSIAH, KATIBU WA ZAMANI WA TFF

Familia ya mpira ikiamua kutumia system ya matching katika transfer (TMS), basi ni lazima iheshimiwe. Mambo ya barua za zuio yalishamaslizwa na TMS. Sijui TFF imetoka wapi na mfumo huo wa barua. Usajili wa Kisinda umekubaliwa na system ndani ya muda. TFF ndiyo iliyohusika kuomba ITC na ikapatikana ndani ya muda, inakuwaje TFF ndio ihusike tena katika kuweka pingamizi wakati imehusika kuleta ITC? Yanga imemuona mchezaji ameumia mazoezini na ripoti inaonyesha jeraha lake ni la muda mrefu,utailazimishaje iendelee na mchezaji huyo wakati imeshafanya uamuzi wa kumbadilisha? Yanga iko ndani ya kanuni na mchezaji hajawasilisha pingamizi TFF kwamba muajiri wake kamtema, hiyo nguvu ya kumzuia inatoka wapi kama klabu iko tayari kuendelea kumuuguza? TFF inataka Yanga imtumie mchezaji ambey ni majeruhi wakati muajiri wake ameshamuondoa kwenye usajili ndani ya muda? Kuna tatizo kubwa TFF. Kama Barbara aliituhumu TFF kuwa imeandaa bingwa wake, si alimaanisha kuwa inapanga matokeo? Kuna tuhuma kubwa katika soka kama kupanga matokeo? Kwann suala hilo halijafikishwa mbele ya Kamati ya Maadili hadi leo? Kuna tatizo kubwa kuliko tunavyoliona. Na mwisho, TFF inatumia kanuni gani kumzuia?
 
Umetuma Majina 13 huku la Tuisila Kisinda likiwa la 13 TFF na unajua fika kuwa Mfumo wa TMS huchukua Majina 12 tu ya Kwanza ambayo ndiyo yanatakiwa Kikanuni.

Mnaacha Kukiri Kosa kuwa ni Upuuzi, Ugeni na Ushamba wenu mkubwa ndiyo umewaponza na Kukosea huku mnakimbilia Kumtuma Mpuuzi wenu Mfungwa na Mdaiwa wa Tsh Milioni 20 aseme kuwa mnaonewa na kuchukiwa na kwakuwa 99% ya Mishabiki yenu ni Kipa Katoka Brain ( Majuha ) nao Wameamini na sasa wananza kuilaumu TFF ambayo MINOCYCLINE nasema wako sahihi na nawapongeza kwa Msimamo huu wa Kikanuni na Kiutaratibu.

Hata hivyo msijali sana huyu Tuisila Kisinda wenu atacheza Mechi zenu za Kirafiki na Wavuvi wa Kigamboni FC, Makuli wa Kariakoo FC na Makondakta wa Malori wa Jangwani.

Hamna Akili.....!!!!!!
Huna lolote unalojua, Ina maana mfumo wa TMS ni wa Tff, Kama ni wa Tff Caf wanaruhusu vipi wachezaji 40? Kama kanuni za Tff zinahitaji foreigner 12 wa 13 ni wa kimataifa ahusiani na ligi ya ndani apo Kuna ubayagani? Kama Tff walikua awajawaelewa Yanga kwanini wasi waulize?
 
ANAANDIKA ANGETILE OSIAH, KATIBU WA ZAMANI WA TFF

Familia ya mpira ikiamua kutumia system ya matching katika transfer (TMS), basi ni lazima iheshimiwe. Mambo ya barua za zuio yalishamaslizwa na TMS. Sijui TFF imetoka wapi na mfumo huo wa barua. Usajili wa Kisinda umekubaliwa na system ndani ya muda. TFF ndiyo iliyohusika kuomba ITC na ikapatikana ndani ya muda, inakuwaje TFF ndio ihusike tena katika kuweka pingamizi wakati imehusika kuleta ITC? Yanga imemuona mchezaji ameumia mazoezini na ripoti inaonyesha jeraha lake ni la muda mrefu,utailazimishaje iendelee na mchezaji huyo wakati imeshafanya uamuzi wa kumbadilisha? Yanga iko ndani ya kanuni na mchezaji hajawasilisha pingamizi TFF kwamba muajiri wake kamtema, hiyo nguvu ya kumzuia inatoka wapi kama klabu iko tayari kuendelea kumuuguza? TFF inataka Yanga imtumie mchezaji ambey ni majeruhi wakati muajiri wake ameshamuondoa kwenye usajili ndani ya muda? Kuna tatizo kubwa TFF. Kama Barbara aliituhumu TFF kuwa imeandaa bingwa wake, si alimaanisha kuwa inapanga matokeo? Kuna tuhuma kubwa katika soka kama kupanga matokeo? Kwann suala hilo halijafikishwa mbele ya Kamati ya Maadili hadi leo? Kuna tatizo kubwa kuliko tunavyoliona. Na mwisho, TFF inatumia kanuni gani kumzuia?
Mtumieni huyo sasa awasaidie 🤣🤣🤣
 
ANAANDIKA ANGETILE OSIAH, KATIBU WA ZAMANI WA TFF

Familia ya mpira ikiamua kutumia system ya matching katika transfer (TMS), basi ni lazima iheshimiwe. Mambo ya barua za zuio yalishamaslizwa na TMS. Sijui TFF imetoka wapi na mfumo huo wa barua. Usajili wa Kisinda umekubaliwa na system ndani ya muda. TFF ndiyo iliyohusika kuomba ITC na ikapatikana ndani ya muda, inakuwaje TFF ndio ihusike tena katika kuweka pingamizi wakati imehusika kuleta ITC? Yanga imemuona mchezaji ameumia mazoezini na ripoti inaonyesha jeraha lake ni la muda mrefu,utailazimishaje iendelee na mchezaji huyo wakati imeshafanya uamuzi wa kumbadilisha? Yanga iko ndani ya kanuni na mchezaji hajawasilisha pingamizi TFF kwamba muajiri wake kamtema, hiyo nguvu ya kumzuia inatoka wapi kama klabu iko tayari kuendelea kumuuguza? TFF inataka Yanga imtumie mchezaji ambey ni majeruhi wakati muajiri wake ameshamuondoa kwenye usajili ndani ya muda? Kuna tatizo kubwa TFF. Kama Barbara aliituhumu TFF kuwa imeandaa bingwa wake, si alimaanisha kuwa inapanga matokeo? Kuna tuhuma kubwa katika soka kama kupanga matokeo? Kwann suala hilo halijafikishwa mbele ya Kamati ya Maadili hadi leo? Kuna tatizo kubwa kuliko tunavyoliona. Na mwisho, TFF inatumia kanuni gani kumzuia?
Maoni Huru kuhusu Alichoandika Kaka ANGETILE OSIAH

1. Nataka Aelewe kuwa hakuna hakuna kitu kimefanyika nje ya system siku hizi haiwezekani hilo kabisa.

2. System zote TMS, FIFA Connect zinapokea mchezaji aliyeombewa usajili, suala la Idadi ni matakwa ya nchi husika katika ligi yake.

3. Baada ya Kuomba ni suala la TFF kutoa APPROVE kulingana na hitaji lenyewe.

4. Yanga wameomba katika System kuhusu Kisinda kama ilivyo mtu mwingine yeyote anaweza kuomba na halina Idadi hata 100 unaweza kuomba.

5. Baada ya kuomba TFF hawawezi ku APPROVE Jina la Kisinda sababu tayari Yanga walishaomba kabla na kupewa APPROVE katika Majina 12 kulingana na kanuni zilivyo na kutoa Leseni hivyo Automatically haiwezekani kupata APPROVE ya 13.

6. YANGA Baada ya Kukosa APPROVE toka TFF katika TMS System ndio wakaandika Barua kwenda TFF kuomba ufafanuzi kuhusu suala hilo.

7. TFF wamejibu Barua ya Yanga ya kuombwa ufafanuzi tu ndio maana kuna barua.

8. Kuhusu ITC hili ni suala tofauti kabisa haiuhusiani na usajili, kuomba ITC unaweza kuomba kama Club kupitia TFF kwa wachezaji hata 50 ni kwa mujibu wa mikataba yako tu Mfano TP Mazembe au Mamelod ina Foreigners wengi sana wenye ITC ila hawapo katika usajili hapa Nchini Yanga msimu uliopita ilipata ITC ya mchezaji Toka Mozambique anaitwa Jimmy Ukonde na alicheza mechi za majaribio ila hawakumuombea Usajili pia sasa Yanga ina Yacouba ana ITC ila hayupo katika Usajili ni vitu Tofauti kabisa ITC na Usajili bali ili uweze kupata Usajili kwa mchezaji anaetoka nje lazima uwe na ITC ndio aweze kucheza.

Hivyo kuomba ITC ni jambo moja na kuomba usajili ni jambo lingine.

9. Katika Usajili wowote ule lazima uweke na Medical Examinations Report ndip unapata Leseni ina maana mwanzo Yanga walidanganya?

10. Yanga Kumtumia au kutomtumia mchezaji ni uamuzi wa kufuata Taratibu tu kama wangeweza kufanya Transfer ya mchezaji baada ya kuombwa na Timu ingine siku hiyo hiyo na baadae kuomba usajili wa Kisinda ina maana wangeweza kuwa na Logic kidogo ya kusikilizwa katika Kamati ya Sheria na hadhi za Wachezaji wao Wameomba wakati tayari wanajua Hawawezi kuwa APPROVE.

TUFUATE TARATIBU
 
ANAANDIKA ANGETILE OSIAH, KATIBU WA ZAMANI WA TFF

Familia ya mpira ikiamua kutumia system ya matching katika transfer (TMS), basi ni lazima iheshimiwe. Mambo ya barua za zuio yalishamaslizwa na TMS. Sijui TFF imetoka wapi na mfumo huo wa barua. Usajili wa Kisinda umekubaliwa na system ndani ya muda. TFF ndiyo iliyohusika kuomba ITC na ikapatikana ndani ya muda, inakuwaje TFF ndio ihusike tena katika kuweka pingamizi wakati imehusika kuleta ITC? Yanga imemuona mchezaji ameumia mazoezini na ripoti inaonyesha jeraha lake ni la muda mrefu,utailazimishaje iendelee na mchezaji huyo wakati imeshafanya uamuzi wa kumbadilisha? Yanga iko ndani ya kanuni na mchezaji hajawasilisha pingamizi TFF kwamba muajiri wake kamtema, hiyo nguvu ya kumzuia inatoka wapi kama klabu iko tayari kuendelea kumuuguza? TFF inataka Yanga imtumie mchezaji ambey ni majeruhi wakati muajiri wake ameshamuondoa kwenye usajili ndani ya muda? Kuna tatizo kubwa TFF. Kama Barbara aliituhumu TFF kuwa imeandaa bingwa wake, si alimaanisha kuwa inapanga matokeo? Kuna tuhuma kubwa katika soka kama kupanga matokeo? Kwann suala hilo halijafikishwa mbele ya Kamati ya Maadili hadi leo? Kuna tatizo kubwa kuliko tunavyoliona. Na mwisho, TFF inatumia kanuni gani kumzuia?
Soma kanuni vizuri usijitie aibu ya bure wakati ulikuwa kiongozi
 
Umetuma Majina 13 huku la Tuisila Kisinda likiwa la 13 TFF na unajua fika kuwa Mfumo wa TMS huchukua Majina 12 tu ya Kwanza ambayo ndiyo yanatakiwa Kikanuni.

Mnaacha Kukiri Kosa kuwa ni Upuuzi, Ugeni na Ushamba wenu mkubwa ndiyo umewaponza na Kukosea huku mnakimbilia Kumtuma Mpuuzi wenu Mfungwa na Mdaiwa wa Tsh Milioni 20 aseme kuwa mnaonewa na kuchukiwa na kwakuwa 99% ya Mishabiki yenu ni Kipa Katoka Brain ( Majuha ) nao Wameamini na sasa wananza kuilaumu TFF ambayo MINOCYCLINE nasema wako sahihi na nawapongeza kwa Msimamo huu wa Kikanuni na Kiutaratibu.

Hata hivyo msijali sana huyu Tuisila Kisinda wenu atacheza Mechi zenu za Kirafiki na Wavuvi wa Kigamboni FC, Makuli wa Kariakoo FC na Makondakta wa Malori wa Jangwani.

Hamna Akili.....!!!!!!
Halafu wewe Popoma acha kufokea watu bila ya sababu za msingi. Kwanza huna ushahidi wa huyo Popoma mwenzako kutumwa na viongozi. Kwa hiyo kama huna cha kuandika, funga domo lako.
 
Umetuma Majina 13 huku la Tuisila Kisinda likiwa la 13 TFF na unajua fika kuwa Mfumo wa TMS huchukua Majina 12 tu ya Kwanza ambayo ndiyo yanatakiwa Kikanuni.

Mnaacha Kukiri Kosa kuwa ni Upuuzi, Ugeni na Ushamba wenu mkubwa ndiyo umewaponza na Kukosea huku mnakimbilia Kumtuma Mpuuzi wenu Mfungwa na Mdaiwa wa Tsh Milioni 20 aseme kuwa mnaonewa na kuchukiwa na kwakuwa 99% ya Mishabiki yenu ni Kipa Katoka Brain ( Majuha ) nao Wameamini na sasa wananza kuilaumu TFF ambayo MINOCYCLINE nasema wako sahihi na nawapongeza kwa Msimamo huu wa Kikanuni na Kiutaratibu.

Hata hivyo msijali sana huyu Tuisila Kisinda wenu atacheza Mechi zenu za Kirafiki na Wavuvi wa Kigamboni FC, Makuli wa Kariakoo FC na Makondakta wa Malori wa Jangwani.

Hamna Akili.....!!!!!!
Onyesha wapi viongozi wa Yanga wamelalamika?

Unafungua uzi unaandika kamanumekatwa kichwa
 
ANAANDIKA ANGETILE OSIAH, KATIBU WA ZAMANI WA TFF

Familia ya mpira ikiamua kutumia system ya matching katika transfer (TMS), basi ni lazima iheshimiwe. Mambo ya barua za zuio yalishamaslizwa na TMS. Sijui TFF imetoka wapi na mfumo huo wa barua. Usajili wa Kisinda umekubaliwa na system ndani ya muda. TFF ndiyo iliyohusika kuomba ITC na ikapatikana ndani ya muda, inakuwaje TFF ndio ihusike tena katika kuweka pingamizi wakati imehusika kuleta ITC? Yanga imemuona mchezaji ameumia mazoezini na ripoti inaonyesha jeraha lake ni la muda mrefu,utailazimishaje iendelee na mchezaji huyo wakati imeshafanya uamuzi wa kumbadilisha? Yanga iko ndani ya kanuni na mchezaji hajawasilisha pingamizi TFF kwamba muajiri wake kamtema, hiyo nguvu ya kumzuia inatoka wapi kama klabu iko tayari kuendelea kumuuguza? TFF inataka Yanga imtumie mchezaji ambey ni majeruhi wakati muajiri wake ameshamuondoa kwenye usajili ndani ya muda? Kuna tatizo kubwa TFF. Kama Barbara aliituhumu TFF kuwa imeandaa bingwa wake, si alimaanisha kuwa inapanga matokeo? Kuna tuhuma kubwa katika soka kama kupanga matokeo? Kwann suala hilo halijafikishwa mbele ya Kamati ya Maadili hadi leo? Kuna tatizo kubwa kuliko tunavyoliona. Na mwisho, TFF inatumia kanuni gani kumzuia?
Huyu nae hajielewi

Taarifa ya TFF inasema Yanga wana majina 12, wakaongeza moja yakawa 13, sasa ni jina lipi lililoondolewa halafu yakaendelea kubaki majina 12 kwenye record za TFF?

Anajivisha usemaji halafu anachokisema hakieleweki, amejaza maneno ya kichonganishi tu
 
Maoni Huru kuhusu Alichoandika Kaka ANGETILE OSIAH

1. Nataka Aelewe kuwa hakuna hakuna kitu kimefanyika nje ya system siku hizi haiwezekani hilo kabisa.

2. System zote TMS, FIFA Connect zinapokea mchezaji aliyeombewa usajili, suala la Idadi ni matakwa ya nchi husika katika ligi yake.

3. Baada ya Kuomba ni suala la TFF kutoa APPROVE kulingana na hitaji lenyewe.

4. Yanga wameomba katika System kuhusu Kisinda kama ilivyo mtu mwingine yeyote anaweza kuomba na halina Idadi hata 100 unaweza kuomba.

5. Baada ya kuomba TFF hawawezi ku APPROVE Jina la Kisinda sababu tayari Yanga walishaomba kabla na kupewa APPROVE katika Majina 12 kulingana na kanuni zilivyo na kutoa Leseni hivyo Automatically haiwezekani kupata APPROVE ya 13.

6. YANGA Baada ya Kukosa APPROVE toka TFF katika TMS System ndio wakaandika Barua kwenda TFF kuomba ufafanuzi kuhusu suala hilo.

7. TFF wamejibu Barua ya Yanga ya kuombwa ufafanuzi tu ndio maana kuna barua.

8. Kuhusu ITC hili ni suala tofauti kabisa haiuhusiani na usajili, kuomba ITC unaweza kuomba kama Club kupitia TFF kwa wachezaji hata 50 ni kwa mujibu wa mikataba yako tu Mfano TP Mazembe au Mamelod ina Foreigners wengi sana wenye ITC ila hawapo katika usajili hapa Nchini Yanga msimu uliopita ilipata ITC ya mchezaji Toka Mozambique anaitwa Jimmy Ukonde na alicheza mechi za majaribio ila hawakumuombea Usajili pia sasa Yanga ina Yacouba ana ITC ila hayupo katika Usajili ni vitu Tofauti kabisa ITC na Usajili bali ili uweze kupata Usajili kwa mchezaji anaetoka nje lazima uwe na ITC ndio aweze kucheza.

Hivyo kuomba ITC ni jambo moja na kuomba usajili ni jambo lingine.

9. Katika Usajili wowote ule lazima uweke na Medical Examinations Report ndip unapata Leseni ina maana mwanzo Yanga walidanganya?

10. Yanga Kumtumia au kutomtumia mchezaji ni uamuzi wa kufuata Taratibu tu kama wangeweza kufanya Transfer ya mchezaji baada ya kuombwa na Timu ingine siku hiyo hiyo na baadae kuomba usajili wa Kisinda ina maana wangeweza kuwa na Logic kidogo ya kusikilizwa katika Kamati ya Sheria na hadhi za Wachezaji wao Wameomba wakati tayari wanajua Hawawezi kuwa APPROVE.

TUFUATE TARATIBU
Labda nikuulize

Ikitokea umepeleka majina 12 na mchezaji mmoja akafariki kwahiyo hautaruhusiwa kumtoa na kumsajili mwingine mpaka ifike dirisha lingine la usajili?
 
Labda nikuulize

Ikitokea umepeleka majina 12 na mchezaji mmoja akafariki kwahiyo hautaruhusiwa kumtoa na kumsajili mwingine mpaka ifike dirisha lingine la usajili?
Ndio hajafariki sasa
 
Kichwa cha habari kizuri lakini ujumbe wa ndani ni dhahiri umekaa upande mmoja kuiponda team ulotaja,ungejitahidi kuiweka 50/50
 
Back
Top Bottom