Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Bora wewe umekubali kuwa kumbe wanaume mna kiburi tu cha asili lakini siyo kwamba ninyi hamna maovu lakini ninyi kuwa watawala bado haiwapi ruhusa ya kutenda dhambi mnavyojisikia hiyo mifano iliyotolewa na ni moja ya unfair treatments tu kama unfair treatments nyingi sasa boss anapojihalalishia makosa kwani yupo sahihi si ukweli unabaki kuwa anakosea??

Maandiko yako wazi kwamba hakuna jinsia inayoruhusiwa kutenda dhambi regardless ya sababu mtakazozitoa kumbukeni kuna mtawala mmoja tu aliyetuumba na aliye juu yetu wote na akatuwekea sheria zake wanaume mliambiwa mtutawale wanawake hamkuambiwa mpinge sheria za muumba na kujiwekea za kwenu after all kama ingekuwa kuwa mtawala ndiyo ticket ya kufanya makosa basi Mungu angekuwa wa kwanza kufanya hivyo maana hakuna atakayemhoji wala kumuuliza chochote!!
 
Sasa wanaume mnachofanya mnapinga sheria za Mungu mnasahau kwamba aliyewapa huo utawala aliweka na sheria za kutulimir wote na hakuwapa mamlaka ya kubadilisha sheria zake bali kuwatawala wanawake tu
 
Safi kabisa na huu ndiyo ukweli
 
But that doesn't give men authority to do evils as much as you want remember we have only one ruler who created us all and gave us commandments to follow so....
 
Kwahiyo wewe unaona hayo mambo yote kuwepo duniani ni sawa??
 
Ila hilo halibadilishi ukweli kwamba hakuna jinsia iliyoruhusiwa kutenda dhambi
Si kweli......!! Nimemaanisha nilichotaka kumaanisha. You're inferior.
 
Kwahiyo hiyo tofauti kati ya mwanaume na mwanamke ndiyo inawafanya mdhani kuwa wanaume mnatakiwa kutenda dhambi ila wanawake hawatakiwi??
Ndiyo hamtakiwi kabsaa tulieni tuu
 
Haya
 
Na ndio mtu anapotumia biblia vibaya kujitetea anatoka kwenye context ya kiuhalisia, mie nimegrow as christian tangu utoto, nimeona wazazi, uncles wana wake mbona hawajibehave kuonea mwingine hasa mwanamke, my bibi ndo kabisa hakuwaga na tabia za kuwafundisha wanawe wakiume jinsi ya kuishi na wake Ali mind business tena ukiwa mkubwa chukua mji wako na mkeo.

So hyo ya kusema naweza mfundisha mwanangu jinsi ya kuishi na wake nakosea nitamfundisha misingi hafu usifikiri mambo ya 60&70s ukiapply kwenye nahusiano ya sasa ita work up ni big no kila zama na kitabu chake nabii tusicremishe maisha, mambo yamebadilika mno, inabidi kuwalea watoto kwenye misingi mizuri ya haki, utu, na heshima na sio kuonea wengine then kimbilia maandiko eti mwanamke dhaifu.

Mbona sikuhizi wanawake wanachapa kazi, kulea na kuzaa nyie wanaume mumebakiwa na nini zaidi ya daily kulalamika wanawake hawasikii.
 
King Mbappe SHIKAMOO[emoji119]
 
Wewe hata Picha huoni jiongeze wewe. Wanaume sasa hivi muanzishe chama chenu cha kuwapa empowerment mko weak mumesahaulika sana, shauri yenu endeleeni Ku cremisha maandiko mnashtuka kuvuta blanket kumekucha.
Hahah!!! Kiuhalisia na kivitendo wanawake bado sana lakini kimaneno mko mbali sana. N.B wanaume hawahitaji vyama wala msimamizi kwasababu wanajitosheleza kiutendaji..
 
Hamhitaji vyama lakini ndo mnapuputika sana kuliko wanawake nyie mumesahaulika sana matokeo yake mumeshaanza kubaki nyuma mambo mengi, yani sikuhizi mumekuwa magoigoi, after 10 to 20 years mtaanza kulia lia it will be too late
Hahah!!! Kiuhalisia na kivitendo wanawake bado sana lakini kimaneno mko mbali sana. N.B wanaume hawahitaji vyama wala msimamizi kwasababu wanajitosheleza kiutendaji..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…