Na ndio mtu anapotumia biblia vibaya kujitetea anatoka kwenye context ya kiuhalisia, mie nimegrow as christian tangu utoto, nimeona wazazi, uncles wana wake mbona hawajibehave kuonea mwingine hasa mwanamke, my bibi ndo kabisa hakuwaga na tabia za kuwafundisha wanawe wakiume jinsi ya kuishi na wake Ali mind business tena ukiwa mkubwa chukua mji wako na mkeo.
So hyo ya kusema naweza mfundisha mwanangu jinsi ya kuishi na wake nakosea nitamfundisha misingi hafu usifikiri mambo ya 60&70s ukiapply kwenye nahusiano ya sasa ita work up ni big no kila zama na kitabu chake nabii tusicremishe maisha, mambo yamebadilika mno, inabidi kuwalea watoto kwenye misingi mizuri ya haki, utu, na heshima na sio kuonea wengine then kimbilia maandiko eti mwanamke dhaifu.
Mbona sikuhizi wanawake wanachapa kazi, kulea na kuzaa nyie wanaume mumebakiwa na nini zaidi ya daily kulalamika wanawake hawasikii.