Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Hiyo ni perception yako ka Mimi ninavoamini utofauti wa mwanaume na mwanamke ni maumbile tu ya uzazi the rest wote ni sawa
Hiyo ni fact, ilifanyiwa research miaka mingi sana. Proved that a woman is inferior to a man in many ways, many ways...
 
sasa hapo hapo unasema mtu anatumia biblia vibaya, hapohapo unasema biblia imepitwa na wakati kana kwamba sio tena swala la kutumia biblia vibaya ni swala la wakati.
anyway nimalizie tu kwa kusema tumekuwa programmed kubehave this way. sina la ziada hapo.
 
Hamhitaji vyama lakini ndo mnapuputika sana kuliko wanawake nyie mumesahaulika sana matokeo yake mumeshaanza kubaki nyuma mambo mengi, yani sikuhizi mumekuwa magoigoi, after 10 to 20 years mtaanza kulia lia it will be too late
Unazungumzia kusahaulika kwenye nini hasa? Maana inawezekana tunazungumzia nyanja tofauti..
 
Wewe ni mpumbavu.
Hao wanao nyanyasika si wajitoe kwenye hayo manyanyaso.hamjakatazwa kuishi mnavyotaka ndomana mnatembea uchi tunawanunua kama nyanya sikoni.
Wewe sio mwanaume utakua na jinsia mbili.
Masaidie mkeo kubeba mimba ili tuwe sawa.
 

Wewe ndio unatatizo mahali. Unapoambiwa binadamu ni mfano wa Mungu unajua ni nini kinazungumziwa.

Embu nenda kwa Magombo ya Suleiman utaelewa mimi na wewe nani mwenye matatizo.
 
Kumbe na wewe umeng'amua hiyo cognitive dissonance....
 
Ahsante sana Dada, hakika umenena vyema.
 
Wewe ni mpumbavu.
Hao wanao nyanyasika si wajitoe kwenye hayo manyanyaso.hamjakatazwa kuishi mnavyotaka ndomana mnatembea uchi tunawanunua kama nyanya sikoni.
Wewe sio mwanaume utakua na jinsia mbili.
Masaidie mkeo kubeba mimba ili tuwe sawa.
Sasa unapaniki nini mkuu.? Ungerusha na ngumi kabisa maana matusi hayatoshi hapa mpumbavu kati yangu nawewe nani? Ongea uhalisia acha kuropoka ujinga kwani mimba n manyanyaso? Au ndio usawa ulioumaanisha ?
 
Wewe hata Picha huoni jiongeze wewe. Wanaume sasa hivi muanzishe chama chenu cha kuwapa empowerment mko weak mumesahaulika sana, shauri yenu endeleeni Ku cremisha maandiko mnashtuka kuvuta blanket kumekucha.
Endelea kujifariji
 
Wewe ni mpumbavu.
Hao wanao nyanyasika si wajitoe kwenye hayo manyanyaso.hamjakatazwa kuishi mnavyotaka ndomana mnatembea uchi tunawanunua kama nyanya sikoni.
Wewe sio mwanaume utakua na jinsia mbili.
Masaidie mkeo kubeba mimba ili tuwe sawa.
Mkuu haina haja ya kutukanana katika majadiliano. Kutofautiana kimawazo siyo dhambi..
 
Wewe ni mpumbavu.
Hao wanao nyanyasika si wajitoe kwenye hayo manyanyaso.hamjakatazwa kuishi mnavyotaka ndomana mnatembea uchi tunawanunua kama nyanya sikoni.
Wewe sio mwanaume utakua na jinsia mbili.
Masaidie mkeo kubeba mimba ili tuwe sawa.
Duuh!
 
Hiyo ni fact, ilifanyiwa research miaka mingi sana. Proved that a woman is inferior to a man in many ways, many ways...
Si kweli napinga huo utafiti hzo ni stereotypes tu za mwandishi na kwanini ili muonekane wanaume ni lazima mumu undermine mwanamke why?
 
Wewe jana ulikuwa wa kwanza kupingana na maandiko
Acha uongo wako ww
Hii tabia umeanza lini kuniwekea maneno mdomoni??

Jana nlikua busy Sana Sidhan Kama nliingia jf

Karibu Denmark Stockholm city tule bata
 
Sasa wanaume mnachofanya mnapinga sheria za Mungu mnasahau kwamba aliyewapa huo utawala aliweka na sheria za kutulimir wote na hakuwapa mamlaka ya kubadilisha sheria zake bali kuwatawala wanawake tu


Sasa si umuambie huyo Mungu kuwa sisi ni wabaya. Yeye karidhika na namna tunavyowaongoza ndio maana kaacha tuendelee kuwatawala tutakavyo.

Nyie wanawake sio watu wakutufundisha namna ya kufanya sheria za Mungu.

Wewe utabaki kulalamika. Utapita kama walivyopita wanawake wengine lakini hakuna litakalo badilika.

Tutawaongoza tutakavyo. Tukiamua tuwasikilize tutawasikiliza. Tukiamua kutowasikiliza hatuwasikilizi.

Kwa akili yako ulidhani Hawa alipoambiwa atatawaliwa na mwanaume ulidhani Mungu aliongea porojo.

Huna utakalo badili. Zaidi endelea kupoteza muda wako kubadilisha mambo yaliyoshindikana tokea dunia kuumbwa
 
Acha uongo wako ww
Hii tabia umeanza lini kuniwekea maneno mdomoni??

Jana nlikua busy Sana Sidhan Kama nliingia jf

Karibu Denmark Stockholm city tule bata
Mkuu hivi Stockholm ni mji wa Sweden au Denmark?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…