Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Hahahaha unakwepa hoja mkuu

Hoja ni ipi hapo.

Wewe unasema Ati huyo Suleiman Aliua. Unashindwa kuelewa majukumu ya Mfalme mpaka unaongea kama mtoto. Nami nikakujibu kuwa hakuna mfalme ambaye hajawahi ua. Labda wewe unitajie unayemjua.

Kuhusu Historia au Vitabu vya dini naomba usiguse kwa maana unaonekana huna ujualo.
 
Yan Huyu mwanamama anazidi ku prove yeye ni mdhaifu sana... Akili yake imejaa negative things.... Afu Anataka kuji compare na wenye mamlaka
 

Sasa wewe Mwanamke utatetea nini wakati hii dunia uliletwa kwa dharura.

Wanawake hamna haki ya kuongea lolote kwenye huu ulimwengu. Labda mtake kupoteza muda wenu tuu.

Mnachoweza kufanya ni kuharibu wala sio kujenga.

Unachoongea kina usahihi lakini kimesemwa na mtu asiyesahihi.

Kawaambie Wanawake wenzako huko au.watoto ndio watakuelewa. Tena hata wanawake wenzako watakudharau kwa kuwa wewe ni mwanamke mwenzao. Huna utakalo waambia. Nyie wote ni watumwa wa mwanaume.

Bado hujui ni kwa sababu gani hata nyie wanawake wenyewe kwa wenyewe mnadharauliana.
 
Shaur yenu mimi Nipo hapa Denmark nakula maisha tuu Pambaneni na hali zenu

Endelea kufanya uhanarakati wa usawa
Mtanyooka tuu

Mwanaume Sio Sawa na mwanamke
Mwenyewe Niko Denmark kwa Mtogole tuwasiliane aiseee
 
Huyu anataka kulinganisha bahari na ziwa [emoji83][emoji83][emoji83][emoji83]
 
Madhara yanayoweza kutokea anaweza kuwa na akili za kitoto na kuchekacheka kama shoga.
 
Ndiyo maana nakwambia siku mkifanikiwa kuwarekebisha mtuambie
Tunawarekebisha mabinti wadogo, samaki mkunje angali mbichi. Mimi naanzaje kukurekebisha wewe uliyefikia umri wa kufunzwa na ulimwengu?
 
Yeah wakati naandika hiyo comment nilikuwa sijaiona hiyo comment yako ya social constructs ndiyo ni kweli jamii ndiyo imeshakuwa hivyo na imeshajua kwamba inakosea sasa tena kwanini wanatafuta sababu za kuendelea kulinda na kutetea hayo makosa??
 
Umeongea vizuri sana.
Ila Hiyo point ya kwanza (1) ...Kama Kuna mzazi anafurahia mwanae wa kiume kuwa na wanawake wengi Basi Ni mzazi wa hovyo kupata kutokea.
 
Hahahaha atakayedhani kuwa niko hivi kwenye maisha halisi eti kwa sababu ya id au avatar na nyuzi zangu au maoni yangu humu JF basi anahitaji msaada wa kisaikolojia
 
Nilichotaka kukuonesha ni kwamba huo mfano ni irrelevant ila kwamba kampuni itayumba au haitayumba mimi hayo sijui na pia wala sijasema kwamba eti kwa sababu kuna kampuni zenye CEO wawili au zaidi basi na kwenye ndoa iwe hivyo hivyo hapana mimi sijapinga hoja yako ila nilitaka nikurekebishe hapo kwenye mfano tu kwamba ulitakiwa utafute mfano mwingine ili kuitetea hoja yako
 
Kwani Nyenyere kaingia lini??
Tofauti Yao hawa.
Lizarazu huwa anabisha kwa facts...ila yule jamaa aisee...sometimes anabisha tu kwa kulazimishia mambo[emoji23][emoji23][emoji23].
Mnafiia mwisho Mara anarudi katikati Mara anaenda mwanzo mnaanza upya[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…