Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Majukumu ya mwanaume ni pamoja na kukutawala. Na wewe jukumu lako ni kutawaliwa.

Hayo ya mwanaume kufanya uovu sio wajibu wako wewe mtumwa kuuliza habari za Bwana wako.
Hata ninyi wanaume siyo jukumu lenu kushupalia maovu yetu wanawake na kama lingekuwa ni jukumu lenu basi mngeshafanikiwa halafu aliyekwambia mimi ni mtumwa kwa mume wangu ni nani??

Unadhani kila mwanaume hajielewi kama wewe labda kama mke wako ndiyo mtumwa kwako na ninampa pole sana maana kapata galasa haswa japo hapa utajifanya kusema eti anayafurahia hayo maisha lakini wapi!!
 
[emoji23][emoji23]mmhh Saint anne mbona sijawahi kuambiwa haya yote directly mimi jamani?? Kweli ujio wa huyu dada ume unleash mambo mengi yaliyojificha!![emoji1787][emoji1787]
Hahahaha..
Hawezi akakwambia...Maana huwa mpo kwenye mabishano siku zote.
Siku nzuri ya kukuambia haya ilikuwa siku ile tunapiga story na yule shimba ya buyenze..
Kwa Mara ya kwanza ukawa unapiga story na Lizarazu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23]hako nako sijui hakajielewi

[emoji1787][emoji1787]kwanini aisee
Sijui ana matatizo gani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Halafu naye unakuta anajitutumua kweli[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji14]
Na asili zake za maneno...ameshikilia Hadi Basi.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haki ya Nani akili zako unazijua mwenyewe.
 
Umeongea vizuri sana.
Ila Hiyo point ya kwanza (1) ...Kama Kuna mzazi anafurahia mwanae wa kiume kuwa na wanawake wengi Basi Ni mzazi wa hovyo kupata kutokea.
wapo. mtoto wa kiume atapewa condoms, mtoto wa kike atafungiwa ndani.
 
Ndiyo kwenye maovu wote sawa tu na hata maandiko ndivyo yanavyosema na hata huko mashuleni pia kuwa prefect siyo ticket ya kufanya makosa na kutarajia asikosolewe
Kwani kasema tusikosolewe? Ila nyie mnataka 50/50 ambayo haipo.
50/50 tupeane huku kazini, kumiliki mali, et al sio huku mitaani tunakojenga familia. Huku hakuna 50/50 vote.
 
una uhakika gani maovu ya wanawake yakiongelewa haisaidii?
Hakuna mabadiliko yoyote ukilinganisha na nguvu mnazotumia tena zaidi mimi naona wanaume ndiyo wanabadilika kwa kiasi kikubwa sana dunia ya sasa wanaume wengi wanatoka kwenye unyanyasaji wanaenda kwenye uongozi wa haki ila kwa upande wa wanawake naona spidi ya kwenda mbele ndiyo inazidi kuwa kubwa

Wala haturudi nyuma eti kuwa kama mabibi zetu na wala hatutakaa turudi yaani tena ndiyo kwanza utafikiri tumefungiwa turbo nyuma vile hata mseme nini ila mind you nafasi ya mwanaume itabaki pale pale kuwa mtawala na nafasi ya mwanamke itabaki pale pale kuwa mtawaliwa ila hayo mengine hatuna budi kuyaacha tu kwa kweli hii dunia sasa imeshatoka huko tutake tusitake
 
Kwanini nyinyi msiungane kupinga kuuza. Sisi tunanunua kwa sababu zipo zinauzwa.
Sasa muuzaji na mnunuaji wote ni mala.ya.
Sasa kwanini mnakuwa mnasema vibaya wanaouza na wakati nyie ni loyal customers?
Ni sawa iwe muuza pombe ndio asemwe vibaya na wewe unaonunua pombe unalewa hadi unaanguka kwa mitaro uonekane mjanja.
 
Umeumizwa na kitendo cha mimi kubadili id na avatar yangu??
Unazidi kuonyesha upumbavu wako yani hujiamini, na unajihisi hisi et umebadili I.D ili Tufute imagination... We kwel umejawa ujinga mwingi.. Unatafuta namna ya kuonyesha uwepo wako Kupitia upumbavu wako.
..
 
Sio "Usiku wa manane" sahihi ni "Usiku wa Manaani"
Ni "Maanani" chief.
Ohoo..kumbe hata yeye amekosea[emoji14][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Karma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...hebu mchukue Kaka yako huku[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hahaqaa acha kujificha kwenye chaka la argument za cute na Marian maana umeshindwa mjadala sasa unaji defend ulivo tahira hujui kila mtu ni unique Kwa njia zake mwenyewe eti wana ni shinda Jf ni platform huru ya mawazo na sio mashindano, grow up Niko vzuri sana hapo kimoyoni una admit stupid boy like you wenye self esteem lazima wanyooshwe. Jiamini mwanaume Leo umekubali kusifia wanawake eeeh umekuwa affected na jamii yako uncivilized towards women's.

Ulianza matusi yako ya reja reja na Mimi nikakupa taste ya dawa chungu ya mseto nasema tu if my man ni half man ka ulivokimbiliq mpe hilo takroooo lako uone.

Siku nyingine yakikushinda uache matusi reja reja sawa.
 
kitu chochote kikishakua socially acceptable ni ngumu kukiondoa. watu watatafuta tu njia ya kukihalalisha na kukitetea.

ndo mana leo hii utasikia ukioa mkurya usipompiga anaona kama humpendi.
Yeah wakati naandika hiyo comment nilikuwa sijaiona hiyo comment yako ya social constructs ndiyo ni kweli jamii ndiyo imeshakuwa hivyo na imeshajua kwamba inakosea sasa tena kwanini wanatafuta sababu za kuendelea kulinda na kutetea hayo makosa??
 
Hivi wewe mwenzetu unasoma biblia gani kwani?? Aliyekudanganya kwamba Suleiman aliua baada ya kuwa mfalme ni nani?? Ona unavyozidi kudhihirisha kwamba huna ujualo halafu eti unakazania kwamba mimi ndiyo sijui!! Hebu nenda kasome maandiko vizuri ndiyo urudi kubishana na mimi maana siyo kazi yangu kuanza kukuelezea maandiko upya wakati biblia zipo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…