Yani msinipangie maisha Mimi ni cariha kichambo mtakula sana I won't change mbona sijawapangia eti nijifunze Kwa nani lohNilimuona tangu mwanzo. Sijui kwanini inakuwa ngumu kwao kufanya majadiliano bila kuingiza hisia. Anatakiwa ajifunze kwa marianah jinsi ya kufanya majadiliano bila ya kuingiza ad hominem attacks...
Yan Huyu mwanamama anazidi ku prove yeye ni mdhaifu sana... Akili yake imejaa negative things.... Afu Anataka kuji compare na wenye mamlaka
Kwa hiyo kama sisi tunawaletea na haiwafurahishi kwa nini mnanunua?Ki uhalisia mkubali lawama kwamaana nyie ndo mna tulea.
Wamama wakiwaona binti zao wakiachia paja wazi ilikua ni vifinyo kwa sasa ndo kwanzaa hata chupi hamvai tutakaa sawa kweli?
@SAINTANNE I am fvcking sick and tired of your incessant biased diplomatic game. Hope you read this comment below .. You better stay on the sidelines from now.
Saying something is nonsense without even confuting how that nonsense is nonsense, it just makes you to look nonsensical creature.
Hivi kuna hoja gani kwanza ya maana uliyoitoa hapa wewe tangu umeanza kuchangia huu uzi?
Ni "Maanani" chief.
Kutokujiamini..... Kitokujiamini.... Kutokujiamini... Blah blah blah!! Another line please this one is getting boring!!
Hakuna mwanamke mjanja mbele yangu hasa kwa nyie wa zama hizi mnaojiona sijui mmeelimika na mnazitambua haki zenu.
Wengi wenu mimi nawaona ni wajinga sana na vithibitisho vipo ukitaka nakupa kwanini nawaita nyie wanawake wa millennials ni wajinga na elimu zenu ndio zimezidi kuwatia ujinga.
Huyo jamaa yako tayari umesha mmanipulate basi kwa akili yako unatamani kila mwanaume awe manipulated kama yeye.
Mbona unaleta nadharia kwenye uhalisia?? Halafu aliyekwambia mwanamke ni mtumwa kwa mwanaume ni nani?? Kwani kuwa mtawaliwa maana yake ndiyo kuwa mtumwa hivi unajua maana ya utumwa?? Ni hivi mwanamke siyo mtumwa kwa mwanaume ila mtu mweusi ndiyo mtumwa kwa mtu mweupe!!Sasa wewe Mwanamke utatetea nini wakati hii dunia uliletwa kwa dharura.
Wanawake hamna haki ya kuongea lolote kwenye huu ulimwengu. Labda mtake kupoteza muda wenu tuu.
Mnachoweza kufanya ni kuharibu wala sio kujenga.
Unachoongea kina usahihi lakini kimesemwa na mtu asiyesahihi.
Kawaambie Wanawake wenzako huko au.watoto ndio watakuelewa. Tena hata wanawake wenzako watakudharau kwa kuwa wewe ni mwanamke mwenzao. Huna utakalo waambia. Nyie wote ni watumwa wa mwanaume.
Bado hujui ni kwa sababu gani hata nyie wanawake wenyewe kwa wenyewe mnadharauliana.
Cariha anajinasibu kuwa amestaharabika wakati hana ustaharabu wowote, amejawa na mihemko tu na mdomo mchafu
Unajua hata maana ya kashifa kwanza?
Ile sisi iliisha kuanzia katika matumizi ya lugha mpaka kwenye ku "reconcile" maandiko yanakupa jibu moja la kuwa pale kujitukuza kwa Mola na kuonyesha hadhi yake na mwanadamu akawa ameumbwa katika umbile bora la kwake mwenyewe kwa dhati yake.Hii siijui ni vyema ukanijuza.
Halafu hatukumalizana kwenye ile "sisi".
And you will still brag kuwa "una jielewa" with all these childish tantrums display?