Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii comment yako kwa ukiingilia kwa jicho la tatu ina mdharirisha sana mwanamke,Ukisema tuangalie source ya tatizo basi unakuwa unabatilisha hayo yote uliyoyaongea kwenye aya ya kwanza maana point yangu namba 8 inaonesha kabisa chanzo ni mwanaume maana mwanaume ndiye anayeanza kutongoza halafu mwanamke ndiye anayefuata kutoa jibu la aidha kukubali au kukataa na ndiyo maana nikasema wanaume mnapotongoza huku mkijua kabisa hamna nia ya dhati nanyi pia mnakosea hivyo mnatakiwa mlaumiwe pia
Uovu upi huo sasa. Mtawala ndiye anajua uovu sio wewe mtawaliwa.
Wewe huna haki ya kuuliza habari za matendo ya wanaume wakati uliletwa kwa ajili yao.
Kuwa mpole au endelea kupoteza muda hapo mkuu.
Kuna msemo unasema; Usiulize kwa nini kwa mtu usiyeweza kumhukumu.
Endelea kupoteza muda wako kwa jambo walioshindwa wanawake wenye nguvu, wazuri, wenye kila sifa lakini waliambulia patupu.
Naimani Mambo haya huwezi thubutu mpelekea Mume wako kwa maana atakufukuza kama paka shume.
Hahah!! Anataka kuleta habari za kuchambana..Kwa hii comment unonekana tu pamoja na kuishi kwenye hiyo jamii ya wastaarabu na wanaojielewa, ila wewe bado ujastaharabika wala kujielewa.
Sasa kwanini wanawake nao wameingikia majukumu yetu ya kimaumbile ? Nani aliwaambia na nyinyi mtafute hela kwa jasho ? Nyinyi mnapaswa mkae nyumbani mzae sisi tuwaletee hela.
Tunafanya hayo kuisaidia jamii ambayo wanawake ni sehemu yake.Ukimaliza kuuliza hayo maswali yote na wewe jiulize hili swali moja tu kwanini wanaume mnafanya yote hayo kwa ajili ya wanawake??
Kwa heshima na taadhima naomba uwe mke wangu wa nne.
Cariha anajinasibu kuwa amestaharabika wakati hana ustaharabu wowote, amejawa na mihemko tu na mdomo mchafuHahah!! Anataka kuleta habari za kuchambana..
Hoja yangu haisimamii katika uovu, read me well. Hakuna mwenye mandate ya kumuumiza mwenzake kwa kujiona yeye superior, hoja yangu ipo katika nani anayemtawala mwenzake.
Utandawazi umekuja na faida zake na hasara zake ni kubwa kuliko faida zake,miongoni mwa hasara zake ni kuwafanya wanawake wawe kama bidhaa,hili hawalioni na wamefanywa wajinga na kufikiri kwa upande mmoja.
Hapa wakusamehe wewe na wa mfano wako.
Muache Basi jamani.Cariha anajinasibu kuwa amestaharabika wakati hana ustaharabu wowote, amejawa na mihemko tu na mdomo mchafu