Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Kuna sababu tofauti tofauti.
1)Tamaa ya kila mwanaume mzuri mathalan wamachame ama warangi kila mtu mzuri wanamtaka wao inawafanya waweke mitego ya kila aina hadi ukaaji uchi na kutokana na uzuri wao kidume unajikuta unategeka.
2)Ugumu wa maisha hupelekea baadhi ya wanawake kuuza nyuchi zao.
3)Poor mindset ya kutaka kuwa na mahusiano na mwanaume mwenye hela mwishowe inapelekea mwanamke kutumika na kuachika.
Hizi ni sababu kuu hupelekea kutokea yale uliyoelezea kule juu.Na humu ndani ya hizo sababu huzaliana mambo mengi sana kiasi ya kuathiri saikolojia ya mtu na kupelekea mtu mazoea kujenga tabia.
Hapana mkuu hizo sababu ni ndogo sana katika kusababisha maovu ya wanawake

Sababu kubwa na namba moja ni hii MITAZAMO YA JAMII kwa sasa nimechoka nitaelezea kesho hivyo naomba niishie hapa tu kwanza
 
"Ni mwanamke mjane tu ndiye anayejua mume wake yuko wapi"

Hiyo fact vipi nayo??
Usha leta vifo apa so tuna mfu na mtu hai sawa na...Ivi kwan wanawake (Mke) hawafi?....kama akifa mwanaume nae inakuaje? hujanijibu swali langu la baba halali
 
Nenda kwa maandiko yote kuanzia Holy Scriptures na vingine vya kawaida ukasome kwanza ndio uje....rather u better shun ur mouth kuliko kubishana na vitu ulivyo vikuta na utaviacha wenzio walivikuta na wakaviacha wewe ni nani ata??
Kwahiyo wanaume mmeruhusiwa kufanya maovu mnavyojisikia??
 
Unaona sasa ambavyo wewe mwenyewe ndiyo unashindwa kunielewa halafu unalazimisha kwamba mimi sijui sasa wapi nimesema kwamba Adam hakuumbwa kutawala kabla ya andiko??

Aliumbwa kutawala lakini je Mungu aliwaambia kwamba ndivyo inavyotakiwa iwe na bila kuwaambia unadhani wangejuaje??

Na kama huyo Adam angekuwa anayajua hayo mamlaka yake angekubali kushawishiwa na huyo Evah kula tunda??

Nijibu hayo maswali yangu yote na usilazimishe kwamba mimi sijui maana hata mimi vile vile naweza kusema wewe haujui kitu kuhusu maandiko na kila mtu akajiona yuko sahihi kwa upande wake so just stick to the topic!!


Ndio angekubali tuu kumsikiliza si mke wake.

hata baada ya Mungu kumpa Mamlaka Mwanaume baada ya anguko kama unavyosema mbona Mwanaume mara kadhaa Ameamua kusikiliza sauti ya Mwanamke hata kama yeye ni mtawala.

Mfano Nabii Ibrahimu aliambiwa na Sarah Mke wake amfukuze Hajiri mjakazi wake.

Ibrahimu alitaka kugoma lakini Mungu akamuambia amsikilize Mke wake pamoja na kuwa Ibrahimu ndiye mtawala.

Nimekuambia bado hujui kuhusu Mambo ya Utawala. Yaani kama unawaza kuwa Adamu aliambiwa amtawale Hawa baada ya anguko utakuwa unashida mahali
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
dunia hii kuna vitu viwili huwezi kupambana navyo muda na wanaume, wanawake ni dhaifu hata wewe unalijua hilo , binafsi nakushauri tafuta mwanaume wa tabia unayopenda uishi nae maana muda utakuacha ukiendelea kufikilia na kujilinganisha na mwanaume then utakuja baadae kuleta post za lawama pale unapo fikia menopause huwez kuzaa unabaki unalialia tu, alafu wanaume size yako bado wanadumu na kuzaa na vitoto ambavyo wew unaweza kuvizaa ndio dunia hii dada we are not the same.
Noted
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], kwanza wewe hao wanne wote nguvu unazo? Jamani wanaume nyie lool
Kuhusu nguvu ninazo,hilo halina shida kabisa mpaka za ziada.
 
Hakuna Mwanaume anaweza kuwa na roho kama ya wanawake wanaofanya Abortion. Yaani wanaoua vichanga au kuwatupa chooni au mtaroni na kusepa.
Unawazungumziaje wanaowashawishi wapenzi wao kutoa mimba? Na pesa wanatoa kugharamia process
 
umeongea kimihemuko zaidi. Mi nimeelezea matokeo ya mafundisho ya dini katika maisha ya kijamii. Kitabu kitakatifu ni kitabu cha Mungu, na ndo mana nimesema mumlaumu Mungu.
Unamlaumu vipi Mungu wakati kitabu kimeandikwa na mwanadamu ambae ni mwanaume? Maandiko mengi ya biblia ni upuuzi mtupu. Ni ambao hawana upeo wa akili wataendelea kuyaamini. Yapo ya maana lkn sio yote
 
Back
Top Bottom