Hivi ni kwanini Wanawake ndio wanaongoza kuanzisha Mahusiano Mapya ndani ya Mda mfupi tu baada ya kuachana na Mpenzi wake?

Hivi ni kwanini Wanawake ndio wanaongoza kuanzisha Mahusiano Mapya ndani ya Mda mfupi tu baada ya kuachana na Mpenzi wake?

Kwa Afrika ajira namba moja ya mtoto wa kike ni kubanduliwa au kuwa mpenzi wa mtu.😂

Kupitia hio ajira ndio anapatamo vichenchi vya viwalo na kutambia mjini😁 ndio maana wanakuwa wakali sana wakipata waajiri ambao ni bahili au hawakati pochi!
💫Hili ndilo jibu!

Ukipoteza Ajira unatafuta nyingine haraka sana 🤑
 
nimekuomba muongozo wako kulingana na uelewa wako ila nadhani hapo ndipo ulipoishia
Ningekua nauelewa na jambo nisingeleta Mada..Mi sio mtu wa kuchosha watu kwenye jambo nililo na uelewa nalo.

We Mtu anauliza kitu unamwambia Vipi uelewa wako like serious??

Oky tufanye yamenikuta then nashukuru kwa Mchango wako Mkuu because hujaja kuchangia au kutoa unachoelewa instead umekuja na personal attack.
 
Habar Mwanajukwaa la Mahusiano.

Kuna jambo nimelifatilia sana ila sijapata majibu shida hua ni nini haswa?

Yani Mwanamke A anakua yupo kwa mahusaiano na mwanaume B ikitokea A Na B wakaachana Hua haichukui Round Mwanamke unasikia ana Mtu wake Mwingine tena mbaya zaidi Asilimia kubwa unakuta akiachwa ndani ya Mda mfupi anakua na wanaume zaidi ya mmoja.

Akiulizwa utasikia hapa nipo naangalia nani atanifaa.
Nimeamua niulize hapa Sababu hua ni nini wanawake kuwahi vile na zaidi anakua nao wawili au zaidi at the same time.

In other side washikaji au Mwanaume utakuta anaendelea na Life Lake kama kuna kitu alipoteza kwa ajili ya yule Mwanamke au Demu utakuta anapambana tena kukipata mfano alikua amewekeza sana kwake Fedha hata vitu vya gharama mda huo utasikia anakwambia tulia nipambane kwanza nitafte kingine then nikishapata ndio nitachek Demu Mwingine au utakuta yupo na wanae tu anakula good time.

Eti Wanajukwaa Issue ni nini upande wa wanawake na wanawake wenyewe mpo humu issue hua nini nyie?
Mwanamke huwa anakuwa na replacement yako siku nyingi. Ni vile unakuwa hujui. Replacement huwa zinaitwa majina mengi, rafiki, kaka (si yule wa familia), classmates
 
Habar Mwanajukwaa la Mahusiano.

Kuna jambo nimelifatilia sana ila sijapata majibu shida hua ni nini haswa?

Yani Mwanamke A anakua yupo kwa mahusaiano na mwanaume B ikitokea A Na B wakaachana Hua haichukui Round Mwanamke unasikia ana Mtu wake Mwingine tena mbaya zaidi Asilimia kubwa unakuta akiachwa ndani ya Mda mfupi anakua na wanaume zaidi ya mmoja.

Akiulizwa utasikia hapa nipo naangalia nani atanifaa.
Nimeamua niulize hapa Sababu hua ni nini wanawake kuwahi vile na zaidi anakua nao wawili au zaidi at the same time.

In other side washikaji au Mwanaume utakuta anaendelea na Life Lake kama kuna kitu alipoteza kwa ajili ya yule Mwanamke au Demu utakuta anapambana tena kukipata mfano alikua amewekeza sana kwake Fedha hata vitu vya gharama mda huo utasikia anakwambia tulia nipambane kwanza nitafte kingine then nikishapata ndio nitachek Demu Mwingine au utakuta yupo na wanae tu anakula good time.

Eti Wanajukwaa Issue ni nini upande wa wanawake na wanawake wenyewe mpo humu issue hua nini nyie?
Kitonga
 
Ningekua nauelewa na jambo nisingeleta Mada..Mi sio mtu wa kuchosha watu kwenye jambo nililo na uelewa nalo.

We Mtu anauliza kitu unamwambia Vipi uelewa wako like serious??

Oky tufanye yamenikuta then nashukuru kwa Mchango wako Mkuu because hujaja kuchangia au kutoa unachoelewa instead umekuja na personal attack.
inasikitisha sana kama kijana hana uweze wa kujua jambo dogo kama hilo na kuona anaonewa ni mtihani sana
 
Habar Mwanajukwaa la Mahusiano.

Kuna jambo nimelifatilia sana ila sijapata majibu shida hua ni nini haswa?

Yani Mwanamke A anakua yupo kwa mahusaiano na mwanaume B ikitokea A Na B wakaachana Hua haichukui Round Mwanamke unasikia ana Mtu wake Mwingine tena mbaya zaidi Asilimia kubwa unakuta akiachwa ndani ya Mda mfupi anakua na wanaume zaidi ya mmoja.

Akiulizwa utasikia hapa nipo naangalia nani atanifaa.
Nimeamua niulize hapa Sababu hua ni nini wanawake kuwahi vile na zaidi anakua nao wawili au zaidi at the same time.

In other side washikaji au Mwanaume utakuta anaendelea na Life Lake kama kuna kitu alipoteza kwa ajili ya yule Mwanamke au Demu utakuta anapambana tena kukipata mfano alikua amewekeza sana kwake Fedha hata vitu vya gharama mda huo utasikia anakwambia tulia nipambane kwanza nitafte kingine then nikishapata ndio nitachek Demu Mwingine au utakuta yupo na wanae tu anakula good time.

Eti Wanajukwaa Issue ni nini upande wa wanawake na wanawake wenyewe mpo humu issue hua nini nyie?
Jaribu kuangalia vizuri
Kama walikuwa wanandoa na watoto...wanawake kwa uchache hurudi kwenye mahusiano....angalia single mazaz...Kuna mama mmoja alitupa Pete yake ya ndoa kwa sasa anavaa Pete ya kanisani...kwa uchungu na maumivu na viapo......
 
Kwa Afrika ajira namba moja ya mtoto wa kike ni kubanduliwa au kuwa mpenzi wa mtu.😂

Kupitia hio ajira ndio anapatamo vichenchi vya viwalo na kutambia mjini😁 ndio maana wanakuwa wakali sana wakipata waajiri ambao ni bahili au hawakati pochi!
Sure.

Na hiyo ni mindset tu ambayo tumemjengea. Tangu utoto
Wanawake ni complicated creatures. Akili zao na zetu hazifanani. hata hao wanaosema kuwa wamekuwa liberated bado wanategemea mwanaume as head kwenye mambo yao kibao.

Kuanzisha mahusiano mapya ndani ya muda mfupi ni akili za visasi zinazowasumbua. Ndo maana hata kama ukiachana naye aka move on lakini wengi wa wanawake walioachwa wakikuona na mahusiano mapya mioyo inawalipuka na kuwachemka kwa hasira na wanatamani visasi vilipwe.

Ndivyo walivyo
Tangu utoto binti anaambiwa her ultimate goal is to get a man and get married.

Hivyo, muda wote wa maisha binti anajiandaa kwa jambo hilo tu, ndio lengo kuu la maisha, regardless amesoma hadi wapi ama ana cheo gani.

Mila, tamaduni na dini zote xinamwambia hivyo, kwa sababu ya moral decay anashindwa kummantain mmoja,

Akiachana na huyu anatafuta replacement haraka.

Leejay49 alifurahi sana hadi kuanzisha uzi baada ya kupata replacement, na alisema hakuwa na furaha wala amani bila kuwa kwny mahusiano.
 
Habar Mwanajukwaa la Mahusiano.

Kuna jambo nimelifatilia sana ila sijapata majibu shida hua ni nini haswa?

Yani Mwanamke A anakua yupo kwa mahusaiano na mwanaume B ikitokea A Na B wakaachana Hua haichukui Round Mwanamke unasikia ana Mtu wake Mwingine tena mbaya zaidi Asilimia kubwa unakuta akiachwa ndani ya Mda mfupi anakua na wanaume zaidi ya mmoja.

Akiulizwa utasikia hapa nipo naangalia nani atanifaa.
Nimeamua niulize hapa Sababu hua ni nini wanawake kuwahi vile na zaidi anakua nao wawili au zaidi at the same time.

In other side washikaji au Mwanaume utakuta anaendelea na Life Lake kama kuna kitu alipoteza kwa ajili ya yule Mwanamke au Demu utakuta anapambana tena kukipata mfano alikua amewekeza sana kwake Fedha hata vitu vya gharama mda huo utasikia anakwambia tulia nipambane kwanza nitafte kingine then nikishapata ndio nitachek Demu Mwingine au utakuta yupo na wanae tu anakula good time.

Eti Wanajukwaa Issue ni nini upande wa wanawake na wanawake wenyewe mpo humu issue hua nini nyie?
Akiwajua hawakusumbui, wanawake akiwa peke yake sijui wanajionaje ,ukiona wanayoandika whatsap status 80 percent ni mambo ya kuhusiana ,wachache wanaweka biashara ,ila content kubwa ni kuhusu mahusiano,ndivyo walivyo tuwazoee

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Fanya hivi nilichitwa 2013 hadi 2019 nilimpata mjibababa for 4 month akataka niwe second wife nikakataa akaja mmoja nasijadumu naye wala tokea hapo 2019 hadi now sina uhusiano mzuri na mtu kweli hadi sasa. Miaka 12 sina wa kwenda msikitini wala wa kwenda kanisani
Na kilometer zinazidi kusomaa madam ,km uwelewi kbs mahusiano tafuta hata mtt wako usiogope kuitwa single mother .
 
Fanya hivi nilichitwa 2013 hadi 2019 nilimpata mjibababa for 4 month akataka niwe second wife nikakataa akaja mmoja nasijadumu naye wala tokea hapo 2019 hadi now sina uhusiano mzuri na mtu kweli hadi sasa. Miaka 12 sina wa kwenda msikitini wala wa kwenda kanisani
Mbona juu miaka 7 hapa tena 12?😂😂
 
Habar Mwanajukwaa la Mahusiano.

Kuna jambo nimelifatilia sana ila sijapata majibu shida hua ni nini haswa?

Yani Mwanamke A anakua yupo kwa mahusaiano na mwanaume B ikitokea A Na B wakaachana Hua haichukui Round Mwanamke unasikia ana Mtu wake Mwingine tena mbaya zaidi Asilimia kubwa unakuta akiachwa ndani ya Mda mfupi anakua na wanaume zaidi ya mmoja.

Akiulizwa utasikia hapa nipo naangalia nani atanifaa.
Nimeamua niulize hapa Sababu hua ni nini wanawake kuwahi vile na zaidi anakua nao wawili au zaidi at the same time.

In other side washikaji au Mwanaume utakuta anaendelea na Life Lake kama kuna kitu alipoteza kwa ajili ya yule Mwanamke au Demu utakuta anapambana tena kukipata mfano alikua amewekeza sana kwake Fedha hata vitu vya gharama mda huo utasikia anakwambia tulia nipambane kwanza nitafte kingine then nikishapata ndio nitachek Demu Mwingine au utakuta yupo na wanae tu anakula good time.

Eti Wanajukwaa Issue ni nini upande wa wanawake na wanawake wenyewe mpo humu issue hua nini nyie?
aala kumbe 🐒

kwahiyo kumbe wanakua na standby generators, in case umeme wa gridi ya taifa umekata basi standby generator inachukua nafasi bila kupoteza sekunde 🐒

hata ivo,
tahadhari hiyo huchukuliwa baada ya kutokua na uhakika na mahusiano yanayoendelea. Mkifichana baadhi ya masuala ambayo hayafichiki na ni muhimu kua bayana kwa wote, hali ya kua na uhakika wa umoja wa mapenzi yenu huko mbeleni hupungua, na inapotokea uhakika hakuna kabisa, basi exit steps huchukua mkondo wake....🐒

hakuna haja ya kutengeneza mazingira hayo, mpendane kwa dhati, muwe wawazi kila moja kwa mwenzake, msaidiane na kushauriana kwa upendo ikitokea changamoto na hapo ndipo mnaweza kudumu zaidi 🐒
 
Wanaume ndo tupo chap kuliko wanawake.

Mwanamke anayeachana na mwanaume leo kesho ana mwingine huyo mwanaume alikuwepo ni kwamba hakuwekwa tu hadharani.
 
Kwasababu mwanamke hawezi ku-survive peke yake... Mwanaume ni basic need muhimu sana kwa mwanamke, Sema ndo hivyo asilimia kubwa ya Men akili ya kujua thamani zetu hamna
 
aala kumbe 🐒

kwahiyo kumbe wanakua na standby generators, in case umeme wa gridi ya taifa umekata basi standby generator inachukua nafasi bila kupoteza sekunde 🐒

hata ivo,
tahadhari hiyo huchukuliwa baada ya kutokua na uhakika na mahusiano yanayoendelea. Mkifichana baadhi ya masuala ambayo hayafichiki na ni muhimu kua bayana kwa wote, hali ya kua na uhakika wa umoja wa mapenzi yenu huko mbeleni hupungua, na inapotokea uhakika hakuna kabisa, basi exit steps huchukua mkondo wake....🐒

hakuna haja ya kutengeneza mazingira hayo, mpendane kwa dhati, muwe wawazi kila moja kwa mwenzake, msaidiane na kushauriana kwa upendo ikitokea changamoto na hapo ndipo mnaweza kudumu zaidi 🐒
Wawili ni bora kuliko mmoja
 
Back
Top Bottom