Ben-adam
JF-Expert Member
- Jun 2, 2023
- 1,043
- 2,309
💫Hili ndilo jibu!Kwa Afrika ajira namba moja ya mtoto wa kike ni kubanduliwa au kuwa mpenzi wa mtu.😂
Kupitia hio ajira ndio anapatamo vichenchi vya viwalo na kutambia mjini😁 ndio maana wanakuwa wakali sana wakipata waajiri ambao ni bahili au hawakati pochi!
Ukipoteza Ajira unatafuta nyingine haraka sana 🤑