Sasa cha kufanya....,usiangaike na wa humu mpenz....mkubalie mmoja wa mtaani kwenu au Kanisani kwenu mamaFanya hivi nilichitwa 2013 hadi 2019 nilimpata mjibababa for 4 month akataka niwe second wife nikakataa akaja mmoja nasijadumu naye wala tokea hapo 2019 hadi now sina uhusiano mzuri na mtu kweli hadi sasa. Miaka 12 sina wa kwenda msikitini wala wa kwenda kanisani
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐ฟWawili ni bora kuliko mmoja
Mmoja akianguka mwingine atamuinua๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐ฟ
๐ฅดaiseeMmoja akianguka mwingine atamuinua
Ningeshangaa sana kama nisingekuona kwenye huu uzi.Mitongozo mingi kweli,ni ngumu kukwepa yote mkuu
Usijifanye huelewi๐ฅดaisee
๐คฃ๐คฃ๐คฃ we si ulikataa kuja nichukua ๐คจNingeshangaa sana kama nisingekuona kwenye huu uzi.
๐๐๐๐Wanawake ni kama umeme, ukiisha lazima ununue tena ndo walivo hawawezi vumilia kukaa Giza. Ndugu mwandishi.
Mambo mazuri hayataki haraka.๐คฃ๐คฃ๐คฃ we si ulikataa kuja nichukua ๐คจ
Sijawahi kuwa na wapenz wawili...,mi naachana na kuwa na new baeUsijifanye huelewi
Ni kwa sababu ipo reserve list. Na hii list muda wote inapiga jaramba. Akiumia mchezaji kiwanjani nadhani huwa mnawaonaHabar Mwanajukwaa la Mahusiano.
Kuna jambo nimelifatilia sana ila sijapata majibu shida hua ni nini haswa?
Yani Mwanamke A anakua yupo kwa mahusaiano na mwanaume B ikitokea A Na B wakaachana Hua haichukui Round Mwanamke unasikia ana Mtu wake Mwingine tena mbaya zaidi Asilimia kubwa unakuta akiachwa ndani ya Mda mfupi anakua na wanaume zaidi ya mmoja.
Akiulizwa utasikia hapa nipo naangalia nani atanifaa.
Nimeamua niulize hapa Sababu hua ni nini wanawake kuwahi vile na zaidi anakua nao wawili au zaidi at the same time.
In other side washikaji au Mwanaume utakuta anaendelea na Life Lake kama kuna kitu alipoteza kwa ajili ya yule Mwanamke au Demu utakuta anapambana tena kukipata mfano alikua amewekeza sana kwake Fedha hata vitu vya gharama mda huo utasikia anakwambia tulia nipambane kwanza nitafte kingine then nikishapata ndio nitachek Demu Mwingine au utakuta yupo na wanae tu anakula good time.
Eti Wanajukwaa Issue ni nini upande wa wanawake na wanawake wenyewe mpo humu issue hua nini nyie?
Sina maana hiyo namaanisha Mwanamme ni lazima awe na Mwanamke ndio maana yangu.Sijawahi kuwa na wapenz wawili...,mi naachana na kuwa na new bae
Ni kweliSina maana hiyo namaanisha Mwanamme ni lazima awe na Mwanamke ndio maana yangu.
๐ wanakuwa mbogoKwa Afrika ajira namba moja ya mtoto wa kike ni kubanduliwa au kuwa mpenzi wa mtu.๐
Kupitia hio ajira ndio anapatamo vichenchi vya viwalo na kutambia mjini๐ ndio maana wanakuwa wakali sana wakipata waajiri ambao ni bahili au hawakati pochi!
Umenikumbusha To yeye naye alianzisha uzi hivi juzi kuelezea furaha yake kwenye eneo hilo.Sure.
Na hiyo ni mindset tu ambayo tumemjengea. Tangu utoto
Tangu utoto binti anaambiwa her ultimate goal is to get a man and get married.
Hivyo, muda wote wa maisha binti anajiandaa kwa jambo hilo tu, ndio lengo kuu la maisha, regardless amesoma hadi wapi ama ana cheo gani.
Mila, tamaduni na dini zote xinamwambia hivyo, kwa sababu ya moral decay anashindwa kummantain mmoja,
Akiachana na huyu anatafuta replacement haraka.
Leejay49 alifurahi sana hadi kuanzisha uzi baada ya kupata replacement, na alisema hakuwa na furaha wala amani bila kuwa kwny mahusiano.
Kumbe!Wakati tukiwa kwenye mahusiano kuna ambao huwa wanaendelea kurusha nyavu hawaelewi hata kama una mahusiano. Sasa tukiachwa tunaangalia kati ya wale warusha nyavu yupi ni bora zaidi unaanza kum-entertain.