Hivi ni kweli hii pisi iko bize na kazi haina muda kuwa nami au ndo nikatafute hela kwanza?

Mtu anayekupenda, hata awe Busy kiasi gani lazima atakuwa na muda nawe.Acha kulazimisha upendo, pendo la kweli huwa na natural flow.
Kuna jamaa alikuwa anakula mke wa mtu. Mwanamke alikuwa anafanya kazi na mumewe taasisi moja ofisi tofauti. Mume anamsimamia sana. Hakuna kwenda out na marafiki wala popote bila taarifa kwa mume.

Lakini mke alikuwa akiomba ruhusa kwa bosi kwa kisingizio cha kwenda kuwapikia watoto nyumbani chakula cha mchana, na mume anampeleka hadi nyumbani.

Hapo mama atakwenda meet point chap, baada ya nusu saa hivi anarudi nyumbani, atafanya kazi dakika chache, atamwita mume amrejeshe kazini.

Nguvu ya kupenda haina kukosa muda.


Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Pole sana kijana 😂😂. Tafut ela t apo.
 
Fanya utafiti mdogo...

Tafuta namba nyingine, weka picha ya bwana mmoja kibosile pale aliyenona na anayeonesha ana pesa, mcheki WhatsApp... jitambulishe jifanye una pesa akikupigia hapo itabidi utafute mtu wa kuongea nae na umpange la kusema. Akikuomba picha mtumie zenye muonekano kwamba jamaa ana pesa kisha omba appointment akikubali nenda ila usim-face kama atahudhuria achana nae jua tu hakukuelewa kwa sababu labda ya muonekano wako au hauko sawa financially.

Fanya hivyo utapata majibu.
 
nakuelewa mkuu.

tatizo naona kama hii pisi nimeandikiwa mimi na Sir god mwenyewe.

najiona kama mie ni pipa na hii pisi ndo mfuniko wangu yani.

au nimroge nini afungashe virago uko kwao ajikabizi mwenyewe kwangu?
 
Wasiwasi ndio akili. Broda hakuna mwanamke anayekosa muda kwa mtu anayempenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…