Hivi ni kweli kileleni mwa mlima Kilimanjaro kuna shimo?

Hivi ni kweli kileleni mwa mlima Kilimanjaro kuna shimo?

hongera sana umemchana vizuri huyo bibi anataka kutuletea mambo ya google kwani sie gugo hatuijui..... natamani kupanda mlima kilimanjaro
Duu.. eti huyo bibi.. una uhakika mkuu au unponda tuu mama wa watu
 
Huna ulijuwalo wewe.

Hata utembee uchi, kwa sasa hutaweza kuliona shimo la Volcano ya Kilimanjaro nje ya picha za satellite.

Na utazipata wapi hizo picha kwa urahisi zaidi ya google?

Hakika mnazidi kudhihirisha ujinga mlio nao.

Kwa watu kama wewe, Tanzania tuna safari ndefu sana ya kwenda.
[emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
 
Huna ulijuwalo wewe.

Hata utembee uchi, kwa sasa hutaweza kuliona shimo la Volcano ya Kilimanjaro nje ya picha za satellite.

Na utazipata wapi hizo picha kwa urahisi zaidi ya google?

Hakika mnazidi kudhihirisha ujinga mlio nao.

Kwa watu kama wewe, Tanzania tuna safari ndefu sana ya kwenda.
nitakwenda na drone camera yangu
 
Nnachokifaham, pale kileleni kwenye usawa wa juu kabisa wa mlima, hakuna shimo eneo hilo isipokua
unaweza kuona kwa mbali duara eneo lililopo hilo unaloliita shimo, ni njia ambayo ule ujiuji ulitokea hapo kutoka ardhini wakati wa volcano, ni kama kidonda kilichopona lakini hakikufunga, kuna uwazi. Nilitamani sana kwenda karibu na hilo eneo ila nilichoka mno hata kufika Uhuru peak ilikua bahati.


Hayo ya maji ya moto watakuja wataalam.
Unanitia hamasa, mi niliishia Mandala hut (km sijakosea jina), kituo cha kwanza tu!! Nafikiri ntarudi tena kumalizia Mungu akinijalia uzima
 
Huko kileleni hakuna Shira wale Mawenzi ndugu yangu. Wewe naona unapajua kwa kusoma Satellite image. Mwenzio Mimi nimekanyaga pale Live 22/3/1986. Tena Uhuru Peak. Sasa ili kukutoa pepo wa kudharau na kutoamini Faiza, Mawenzi ni kilele cha pili cha mlima Kilimanjaro. Ukifika Horombo hut utakiona Vizuri tu ila sikuona watu wanaopanda hicho kilele. Wanasema kina miamba iliyochoka inayoporomoka unapotumia kamba kupanda. Imechongoka na ni hatari kwa maisha. Kutoka Kibo hut kwenda Uhuru peak kuna Hans Meyer Cave na Gilmans Point. Hiyo Shira na Mawenzi hakuna Route hiyo.

Huna ulijuwalo, hizo camps zipo njiani.

Peaks za Kilimanjaro zipo tatu kama nilivyozieleza. Shira, Mawenzi na Kibo.

Hiyo Uhuru peak unayoieleza ipo Kibo. Kama umejitahidi umeishia hapo lakini, Narudia. Hujafika shimo la Kilimanjaro la Volcano. Hilo utaliona kwa satellite tu.

Wadanganye wengine siyo FaizaFoxy.

Nimeipanda Kilimanjaro, ingawa sikufika kileleni, kabla ya wewe kuzaliwa. Na kabla ya kupanda nilifanya tafiti kwa kujisomea na kufanya mahojiano na watu kwa zaidi ya mwaka mzima.

Ukiongelea routes zipo nyingi tu, Marangu, Rongai, Lemosho, Shira, Umbwe na Macha me, zote hizo routes. Ulizotaja wewe ni camps.

Huwa sikisii.
 
nashukuru kwa wote mliojaribu kujibu na kuelezea kwa uelewa wenu. anyway, hi hivi! kupitia machame mpaka top ya mlima ni 42kms, kupitia marangu ni 38kms. mlima Kilimanjaro una 5 zones, (1) cultivate,0-1000masl,(2) montana Forest Park1000-3000masl (3) moorland 3000-4000masl(4) alpine reset 4000-5000masl (5) ice cap au summit,5000-nakuendelea. kwa wale waliopanda watakua wananielewa, base ya mlima Kilimanjaro ipo kwenye 4600-4700-4800 masl. hii inakua ni camp ya mwisho kabla ya ku summit,kutoka kwenye base camp mpaka highest point kwa wanaopitia south na western side ya mlima ni 5kms umbali. mwendo wa pole pole ni 6-7hrs walking. baridi ni kali kutegemeana na majira ila normal ipo 3-7minis.juu ya mlima kabisa kuna mabarafu makubwa yanaitwa glacier, ukweli shimo lipo ila ni mbali sana kutokea highest point. kwa kutembea kwa mtu mwenye nguvu haswa wapanda milima anaweza tumia saa 1-1:30 kufika. hili shimo linajulikana kama ash pit, au ash cone. kuingia unaweza ila sio mbali sana maana limechongeka kwa kama rim. na halina kina kikubwa ukiangalia kwa nje. nimewahi kuingia kama mita 5 .ila kuna wakati linatoa harufu kali sana ya sulphur ambayo hupelekea baadhi ya watu huumwa vichwa, kutapika,tumbo kuvurugika n. k.unaweza kuniuliza chochote kuhusu mlima Kilimanjaro na nitakujibu. kwani mimeutembea wote na nimeweza kufika highest point zaidi ya 100 times. pia mlima meru, oldonyo lengai n. k asanteni sana
Ahsante sana kwa maelezo mazuri na ya kueleweka.
 
nashukuru kwa wote mliojaribu kujibu na kuelezea kwa uelewa wenu. anyway, hi hivi! kupitia machame mpaka top ya mlima ni 42kms, kupitia marangu ni 38kms. mlima Kilimanjaro una 5 zones, (1) cultivate,0-1000masl,(2) montana Forest Park1000-3000masl (3) moorland 3000-4000masl(4) alpine reset 4000-5000masl (5) ice cap au summit,5000-nakuendelea. kwa wale waliopanda watakua wananielewa, base ya mlima Kilimanjaro ipo kwenye 4600-4700-4800 masl. hii inakua ni camp ya mwisho kabla ya ku summit,kutoka kwenye base camp mpaka highest point kwa wanaopitia south na western side ya mlima ni 5kms umbali. mwendo wa pole pole ni 6-7hrs walking. baridi ni kali kutegemeana na majira ila normal ipo 3-7minis.juu ya mlima kabisa kuna mabarafu makubwa yanaitwa glacier, ukweli shimo lipo ila ni mbali sana kutokea highest point. kwa kutembea kwa mtu mwenye nguvu haswa wapanda milima anaweza tumia saa 1-1:30 kufika. hili shimo linajulikana kama ash pit, au ash cone. kuingia unaweza ila sio mbali sana maana limechongeka kwa kama rim. na halina kina kikubwa ukiangalia kwa nje. nimewahi kuingia kama mita 5 .ila kuna wakati linatoa harufu kali sana ya sulphur ambayo hupelekea baadhi ya watu huumwa vichwa, kutapika,tumbo kuvurugika n. k.unaweza kuniuliza chochote kuhusu mlima Kilimanjaro na nitakujibu. kwani mimeutembea wote na nimeweza kufika highest point zaidi ya 100 times. pia mlima meru, oldonyo lengai n. k asanteni sana
Gharama za kupanda mlima ni kama sh ngapi? Maana nimeona wadau wakilipigia chapuo suala la gharama
 
Naomba nitoe maelezo mafupi kwa uelewa wangu, nakubaliana na maelezo ya mama yangu FaizaFoxy kwamba ukiwa kule juu, hata hauwezi kuona vitu kama tunavyoona kwenye picha. Utaambulia kuona majabali na miamba ya barafu tu. Ni eneo kubwa sana, kiasi kwamba kutoka uhuru peak hadi huko karibu na eneo la hilo shimo, ni mwendo. Hivyo basi, usitegemee kuona umbo au sura ya mlima kama tunavyoona kwenye picha za Mlima Kilimanjaro, zinakua zimepigwa kwa mbali ili kuchukua eneo kubwa la mlima, lakini ukiwa kule juu, mandhari iko tofauti sana
 

Attachments

  • images (8).jpg
    images (8).jpg
    12.5 KB · Views: 89
  • images (1).jpg
    images (1).jpg
    6.4 KB · Views: 84
  • images (3).jpg
    images (3).jpg
    8.5 KB · Views: 80
  • images (2).jpg
    images (2).jpg
    4.5 KB · Views: 73
Ndo siku ngapi hii?

Huwa nawasikia wanasema siku tatu ila sina uhakika.

Sisi tulipita Machame, tulianza kupanda Jumamosi na kurudi Jumamosi iliyofuata. Njia hii sio nzuri sana kwa mtu anaeanza, mnalala kwenye mahema, hakuna hoteli njiani wala maeneo ya huduma muhimu ukilinganisha na Marangu.

Hauogi kuanzia siku unapanda mlima hadi siku unashuka. Saana utajifuta kwa maji tu kama unakinyaa sana.

Kunywa maji mengi kunasaidia sana kuupa mwili oxygen kwa sababu kule hewa ni haba ndio maana kama una matatizo ya kifua au mapafu, hapakufai.

Kitu kilichonishangaza, wanasema Mlima unapumua, kuna hewa unatoa baadhi ya siku. Usiombe hiyo hali iwakute mpo juu, mtaumwa sana na baadhi ya wapandaji inawezakuwa ndio mwisho wao wa safari wasifike kileleni.

Naomba jeez boy au yeyote mwenye maelezo yeyote ya huu upumuaji wa mlima aongezee kidogo.
 
itabidi tujijengee utamaduni wa kutalii ndani ya nchi yetu maana maswali tunayouliza yako ki nadharia sanaaa


Jambo zuri sana ila gharama za kufika huko ni kubwa mno si rahisi kwa mtu wa kipato cha chini kumudu hizo safari
 
Naomba nitoe maelezo mafupi kwa uelewa wangu, nakubaliana na maelezo ya mama yangu FaizaFoxy kwamba ukiwa kule juu, hata hauwezi kuona vitu kama tunavyoona kwenye picha. Utaambulia kuona majabali na miamba ya barafu tu. Ni eneo kubwa sana, kiasi kwamba kutoka uhuru peak hadi huko karibu na eneo la hilo shimo, ni mwendo. Hivyo basi, usitegemee kuona umbo au sura ya mlima kama tunavyoona kwenye picha za Mlima Kilimanjaro, zinakua zimepigwa kwa mbali ili kuchukua eneo kubwa la mlima, lakini ukiwa kule juu, mandhari iko tofauti sana
sio kweli Samaritan! ukiwa kwenye base ya mlima ambayo ni 4600masl unauona kama unavyoona kwenye picha,ila ili uweze kuuona vizuri ni ukiwa south side ya mlima. nitakuwekea picha hpa mkuu
 
sio kweli Samaritan! ukiwa kwenye base ya mlima ambayo ni 4600masl unauona kama unavyoona kwenye picha,ila ili uweze kuuona vizuri ni ukiwa south side ya mlima. nitakuwekea picha hpa mkuu

Sijui kama umenielewa nnachokiongelea mkuu. Mtu alie Moshi mjini au eneo lolote mbali na mlima, anauona wote. Lakini kadri unavyozidi kuwa karibu nao, unaona eneo dogo sana la mlima.

Ile tambarare ya kule juu kama ungeshushwa kwa ndege unafikiri utajua kama uko mlima Kilimanjaro? Kwa sababu kuna vilima vidogovidogo, mabonde, maeneo yenye barafu za kawaida, na ile miamba kabisa sijui mnaita glacier...

Hata unavyoonyeshwa hilo linaloitwa shimo kwa ule umbali, hauoni kama unavyoweza kuona kwenye picha.
 
Naomba nitoe maelezo mafupi kwa uelewa wangu, nakubaliana na maelezo ya mama yangu FaizaFoxy kwamba ukiwa kule juu, hata hauwezi kuona vitu kama tunavyoona kwenye picha. Utaambulia kuona majabali na miamba ya barafu tu. Ni eneo kubwa sana, kiasi kwamba kutoka uhuru peak hadi huko karibu na eneo la hilo shimo, ni mwendo. Hivyo basi, usitegemee kuona umbo au sura ya mlima kama tunavyoona kwenye picha za Mlima Kilimanjaro, zinakua zimepigwa kwa mbali ili kuchukua eneo kubwa la mlima, lakini ukiwa kule juu, mandhari iko tofauti sana
1fe10a17b5ed6d65a3df0927d9b42b79.jpg
hii nimeipiga nikiwa 4200masl nikiwa upande wa kusini mwa mlima
c9a782e2642f9c23617e1d415b31b2f8.jpg
hii ni 4000masl.
 
Unanitia hamasa, mi niliishia Mandala hut (km sijakosea jina), kituo cha kwanza tu!! Nafikiri ntarudi tena kumalizia Mungu akinijalia uzima
Kamalizie tu, mie sina hamu, sirudi tena.
 
Back
Top Bottom