dingifita
Member
- May 24, 2017
- 72
- 69
route nzuri kwa beginner ni marangu....wanaita 'cocacola route'...Hivi rongai route ni fupi au?
Mie kupanda mlima tena hapana jamani, sitaki kabisaaaa!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
route nzuri kwa beginner ni marangu....wanaita 'cocacola route'...Hivi rongai route ni fupi au?
Mie kupanda mlima tena hapana jamani, sitaki kabisaaaa!!!
Ahahahha! Nmecheka kwa sautiUtakuwa umerahisisha shughuli za mazishi
Asante sana Mkuu...tujuze kuhusu gharama zakenashukuru kwa wote mliojaribu kujibu na kuelezea kwa uelewa wenu. anyway, hi hivi! kupitia machame mpaka top ya mlima ni 42kms, kupitia marangu ni 38kms. mlima Kilimanjaro una 5 zones, (1) cultivate,0-1000masl,(2) montana Forest Park1000-3000masl (3) moorland 3000-4000masl(4) alpine reset 4000-5000masl (5) ice cap au summit,5000-nakuendelea. kwa wale waliopanda watakua wananielewa, base ya mlima Kilimanjaro ipo kwenye 4600-4700-4800 masl. hii inakua ni camp ya mwisho kabla ya ku summit,kutoka kwenye base camp mpaka highest point kwa wanaopitia south na western side ya mlima ni 5kms umbali. mwendo wa pole pole ni 6-7hrs walking. baridi ni kali kutegemeana na majira ila normal ipo 3-7minis.juu ya mlima kabisa kuna mabarafu makubwa yanaitwa glacier, ukweli shimo lipo ila ni mbali sana kutokea highest point. kwa kutembea kwa mtu mwenye nguvu haswa wapanda milima anaweza tumia saa 1-1:30 kufika. hili shimo linajulikana kama ash pit, au ash cone. kuingia unaweza ila sio mbali sana maana limechongeka kwa kama rim. na halina kina kikubwa ukiangalia kwa nje. nimewahi kuingia kama mita 5 .ila kuna wakati linatoa harufu kali sana ya sulphur ambayo hupelekea baadhi ya watu huumwa vichwa, kutapika,tumbo kuvurugika n. k.unaweza kuniuliza chochote kuhusu mlima Kilimanjaro na nitakujibu. kwani mimeutembea wote na nimeweza kufika highest point zaidi ya 100 times. pia mlima meru, oldonyo lengai n. k asanteni sana
Duh!!! Hatari sana basi. Itakuwa kweli,Maana kuendana na hizi testimony zinazowekwa Hapa no way out to ,i have to believe.Kuna mtu kasema ashafika na akaingia maana sio refu!!!
mm ndie niliefika na sio mm pekee bali wapo watu wengi sana. tatizo mnakua mnaishi kwa hisia na sio uhalisia ndio maana mnabisha kila kitu. kama una nafasi naomba uje moshi tarehe 09/7/2017nina safari tarehe 10/07/2017 ya siku tano. yakupanda na nitakupeleka for free, ukajionee kwa macho na urudi ukawaadithie ukweli wa hilo. utakakacho lipia ni kiingilio tu ili mwisho wa safari upate cheti chako.nitakupa vifaa vyote bure kabisa. kuanzia sleeping bag,sleeping mat, hiking boots, warm clothes, day parking,yani vyote kabisa bure bure. nitakupa mawasiliano yangu kama unataka.Duh!!!kutokaana na kani ya mvutano na imagine kama Ikipita ndege tu inavutana kama mvutano unaotokea pale rufiji yanapokutana maji chumvi na maji yasiyo na chumvi,au Kama ukanda wa nungwi. Kuna mtu ashawahi ingia huko kwenye hiyo crater kweli jamani??
Tusi liko wapi Hapo nilipo andika mie??we li highlight tu,nijue nimetukana. Umeanza vizuri umemaliza vibaya...mm ndie niliefika na sio mm pekee bali wapo watu wengi sana. tatizo mnakua mnaishi kwa hisia na sio uhalisia ndio maana mnabisha kila kitu. kama una nafasi naomba uje moshi tarehe 09/7/2017nina safari tarehe 10/07/2017 ya siku tano. yakupanda na nitakupeleka for free, ukajionee kwa macho na urudi ukawaadithie ukweli wa hilo. utakakacho lipia ni kiingilio tu ili mwisho wa safari upate cheti chako.nitakupa vifaa vyote bure kabisa. kuanzia sleeping bag,sleeping mat, hiking boots, warm clothes, day parking,yani vyote kabisa bure bure. nitakupa mawasiliano yangu kama unataka. ili ukirudi ufute hilo tusi (((genye)) sio kila kitu niuzushi ndugu yangu.
maserati. huo mlima ni wakawaida sana kama upo vizuri kiafya. nitakuwekea hapa picha mbali mbali kwani ninazo zaidi ya pich 3000 nilizopiga kwa mda wa miaka 6Tusi liko wapi Hapo nilipo andika mie??we li highlight tu,nijue nimetukana. Umeanza vizuri umemaliza vibaya...
Mie siwezagi kumtusi mtu mkuu,ukinambia tusi naogopa sana.. Habari za matusi wakati mtu hajakukosea kitu huwa sipendagi.maserati. huo mlima ni wakawaida sana kama upo vizuri kiafya. nitakuwekea hapa picha mbali mbali kwani ninazo zaidi ya pich 3000 nilizopiga kwa mda wa miaka 6
Tusi liko wapi Hapo nilipo andika mie??we li highlight tu,nijue nimetukana. Umeanza vizuri umemaliza vibaya...
karibu sana mkuu na jisikie huru ndugu yangu. hili ni kweli kabisa. utakwenda freeMie siwezagi kumtusi mtu mkuu,ukinambia tusi naogopa sana.. Habari za matusi wakati mtu hajakukosea kitu huwa sipendagi.
By the way I will check mya schedule Ili kama nitapata wasaa basi nitadondoka moshi Hapo.
Umenikumbusha hiyo story eti mzungu alipotea na mbwa wake kwenye mapango ya amboni mbwa akaonekana mlm kilimanjaro!!!
kuhusu mvutano wa ndege na hilo shimo hauna ukweli sana, tunachojua au kwa kitaalamu ni kua kwenye milima hakutabiriki sana! na kunakua na ukungu sana, pia ndege zina njia zake hizi nisababu ya kutopita ktkat ya hilo shimo. ila kwa watu walio wahi kutumia ndege za klm watakua mashahidi kua moja ya kivutio kikubwa kwa hizi ndege haswa Nairobi, Kilimanjaro na dsm hua wanapita karibu sana ili abiria waweze kuuona.
Niliwahi kujaribu nikaishia njiani(mandara) kupitia marangu na kiranga chote kikaisha. Yaani sina hamu na sirudii kwakweli.
Utakwenda mpaka kwenye magmaitakuaje nikizama kwenye hilo shimo la mlima, inamaana ndio nitadumbukia hadi chini kabisa ya mlima ground zero
Marangu Route hakuna steep hivyo kwenda kileleni ni zigzag mnatembea taratibu. Tulianza SAA 6 usiku tukafika 111 alfajiri hoi bin taabani. Ni kweli usipojikazi peak utaiona karibu ila hufiki!! Tulikunywa chai tuu pale Kibo ili tusitaapike njiani tukakosa nguvu. Hansmeyer Cave, Gilmans Point nazo ni sehemu ya Kilele ila wengi huishia hapo! Safari ya kupanda Mlima isikie tu it's hard and tough!!Tulipita Machame, kufika Stela Point nilikua hoi siwezi hata kusogeza mguu. Mbaya zaidi ukishafika pale unapaona kabisa Uhuru Peak, tambarare hakuna mlima mkali sana, lakini ile hali yahewa kule juu inakufanya usiwe comfortable kabisa.
Nikawaza, sasa nikiishia hapa ntaenda kusema kwanini sijafika kileleni? Nikajipa moyo taratibu huku mgumu ananishikilia ila kila dakika tano nakaa nafimiri ile hali niliyokuwa najisikia ni mfano wa mjamzito....
Nilifika pale kileleni wanapiga ila hoi vibaya mno, mandhari ya kule juu inafuta uchovu wote na kukuliwaza baada ya kazi ngumu.
Pole sana kwa sababu ulipoishia ni karibu sana na mwisho wa safari. Siku ukienda, jitahidi kula vizuri ule usiku wa mwisho, ile safari ukiwa na njaa au umechoka hautoboi. Ni siku pekee mnatembea masaa mengi, usiku na mlima mkali sana. Mnaanza saa tano usiku hadi kufika kileleni asubuhi kutegemea na mwendo wenu. Tulifika saa tatu asubuhi.
Kila la kheri mkuu
Maiti yako haitakaa ioze labda ikutane tena na moto wa Volcano; kileleni ni barafu/thelujikajitose mkuu nina imani utaandika historia na kuiacha pia ili watoto wakizazi kijacho wasome na kjua kuwa kuna mtanzania wakwanza kuingia humo na bado yupo kufanya utafiti kuwa kuna nibi huko ndani
Cha kushangaza kila unavyozidi kushuka ndo Hali inavyozidi kuwa nzuri... Yaani nilifika pale kibo mzima wa afya, nikatamani nirudi lakini haiwezekan. Kuna kitu kinaitwa height fever Kama sikosei,... Ndo inampata mpanda mlima yeyote.