Sio kejeli,akili ya kawaida kabisa ni kwamba hakuna aliefika huko mpaka kwenye hilo shimo,kutokana na kani ya mvutano inayo sababishwa na volcano.
Sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kejeli,akili ya kawaida kabisa ni kwamba hakuna aliefika huko mpaka kwenye hilo shimo,kutokana na kani ya mvutano inayo sababishwa na volcano.
Aliishia getini mkuu!!Naibu Spika Da' Tulia Ackson, wiki chache zilizopita aliongoza msafara wa kwenda huko, ngoja nimpigie nimuulize nitakupa mrejesho
Unatokea mapango ya amboniitakuaje nikizama kwenye hilo shimo la mlima, inamaana ndio nitadumbukia hadi chini kabisa ya mlima ground zero
tatizo kubwa lakufika hapa ni oxgen kua ndogo, fahamu kua above 5000m there is no life. hakuna uhai ndio maana watu wanapata shida na mwendo kua mdogo sana. ila kwa watu walio wahi kua kwenye miinuko hawapati shida sana hivyo huitaji kufanya kazi mazoezi magumu ili uweze kufika. kama mwili wako utaweza ku adapt kwa haraka hautaona shidaacha kuwadanganya ndugu yangu. mimi nimekwenda sana na halina shida kama unavyosema. nitakuwekea hapa picha ya moja ya mashimo ya aina hiyo. hili ni la mlima meru na nimeipiga mwezi wa pili mwaka huu.![]()
Nilikuwa nahisi kufakufa!! Daah kupanda mlima sio mchezo.pole sana mkuu, Ilupatwa na nn?
Kuna mtu kasema ashafika na akaingia maana sio refu!!!Sio kejeli,akili ya kawaida kabisa ni kwamba hakuna aliefika huko mpaka kwenye hilo shimo,kutokana na kani ya mvutano inayo sababishwa na volcano.
Umenikumbusha hiyo story eti mzungu alipotea na mbwa wake kwenye mapango ya amboni mbwa akaonekana mlm kilimanjaro!!!Unatokea mapango ya amboni
pole sana ndugu yangu. nina safari ya kupanda tarehe 10/07/2017 kwa siku 5 rongai route karibu sana ukajaribu tenaNilikuwa nahisi kufakufa!! Daah kupanda mlima sio mchezo.
Hivi rongai route ni fupi au?pole sana ndugu yangu. nina safari ya kupanda tarehe 10/07/2017 kwa siku 5 rongai route karibu sana ukajaribu tena
naomba kuuliza ukitaka kupanda mlima inachukua muda gani na wapi niende kwa maelezo zaidi na bei??
Ulikaa ukifanya nini huko?hapa nipo na mshikaji wangu wa nguvu. nimewahi kukaa top ya huu mlima kwa siku 7,hii tofauti na mwanzo wa kupanda!! jumla nilikaa siku 14.
Hiyo ni fix mkuu, ungekuwa Umekaa kule siku saba usingeweza kupost leo Jf, ungekuwa mahali pema muda huu.hapa nipo na mshikaji wangu wa nguvu. nimewahi kukaa top ya huu mlima kwa siku 7,hii tofauti na mwanzo wa kupanda!! jumla nilikaa siku 14.
kuna research tulikua tuna fanya, pia zipo zinazoendelea mpaka leo.Ulikaa ukifanya nini huko?
migomba usiwe mbishi ndugu yangu. huyu mshikaji wangu pia amewahi kukaa zaidi ya siku 20Hiyo ni fix mkuu, ungekuwa Umekaa kule siku saba usingeweza kupost leo Jf, ungekuwa mahali pema muda huu.
unataka uthibitisho wa aina gani mkuu? ningekushauri uwasiliane na Kilimanjaro national park na uwaulize wapo watu wamewahi kukaa juu ya mlima Kilimanjaro kwa mda huo? pia unaweza kuwasiliana na mamlaka ya hali ya hewa na uwaulize juu ya hili. kama una mfahamu mmoja wa wakurugenzi wa mamlaka ya hali ya hewa Tanzania anaeitwa dr mpeta, atakueleza haya. pia kuna dr mmoja yupo sua morogoro anaitwa dr tungaraza. wanaweza kukudhibitishia haya kwani waliwahi kufanya baadhi ya research na walitumia siku zakutoshaHiyo ni fix mkuu, ungekuwa Umekaa kule siku saba usingeweza kupost leo Jf, ungekuwa mahali pema muda huu.
Wanaume ni kawaida kufikika kileleni ila kwa wanawake huwa ngumu hadi wawezeshweSiku zote unapofika kileleni lazma uchoke na uone maluweluwe kashimo kalichokuwa kakionekana kadogor utaliona ni bonge la shimo, hongera kwa kufika kileleni na kuona maluweluwe, ila kileleni uhuru peak si pa kuhadithiwa ni vizuri ukafika pia ktk kilele chake, UTALII WA NDANI
Vipi mkuu inavyosemekana kuna ndege ya watalii iliwahi kunasa hapo ni kweli?Ni kweli kuna shimo ambalo kijiografia Lina it was vent. Hili ni tundu linalotokea chini kuanza ukanda wa upper ama lower mantle. Tundu hilo ndilo linalopitisha magma ambayo huwa ni kama ujiuji wa moto. Kwa kuwa baada ya mlipuko wa kwanza (active) kuna kipindi ambacho mag and inatoka bila kuripuka hivyo tundu hilo linaendelea kuwepo kama Mlima haujafa kabisa yaani uko dormant. Kijiografia eneo hilo linaitwa crater yaani bonde juu ya Mlima huku humo ndani barafu inaliziba na ni vigumu kuliona.