kajitose mkuu nina imani utaandika historia na kuiacha pia ili watoto wakizazi kijacho wasome na kjua kuwa kuna mtanzania wakwanza kuingia humo na bado yupo kufanya utafiti kuwa kuna nibi huko ndaniitakuaje nikizama kwenye hilo shimo la mlima, inamaana ndio nitadumbukia hadi chini kabisa ya mlima ground zero
mPoleni na mihangaiko ya hapa na pale pamoja na manung'uniko yanayoendelea kuhusu makenikia.
Husika na kichwa cha habari hapo juu tangu napata akili hadi sasa kumekuwa na maneno kuhusu mlima kilimanjaro kuwa pale juu kileleni kuna shimo ndefu sana na inavyosemekana ndani ya shimo kuna maji na nguvu ya mvutano kiasi kwamba ukikaribia kufika hapo unavutwa na kunasa..
Wajuzi naomba kujuzwa je? Kuna ukweli wowote?
kwanza unatakiwa ujue njia zote ili uweze kujua changamoto zilizopo vizuri.kwangu ningekushauri utumie njia ya marangu kwaajili ya kubana garama. kwa mzawa ni garama nafuu sana ndugu yangu .kwa siku 6 haifiki sh 50 elfu pamoja na vat. ila garama nyingi zipo kwenye malazi,na vifaa kama hauna. pia ukiwa mwenyewe garama nikubwa tofauti na mkiwa wa 4au 6,kwani mtashea garama kama usafiri kutokea hotelini,mfano gari ya mtu mmoja inaweza tumika mpaka na watu sita kwa garama zile zile, gesi ya kupikia mtungi wa 6kg unaweza tumika kwa wtu 1-6 kwa garama ile ile. pia wasaidizi wako wa kukubebea chakula n.k,Mkuu ahsante kwa kudadavua je kwa mzawa anatakiwa awe na bajeti ya kiasi gani kuweza kufanikisha kupanda mlima Kilimanjaro
Hapa ndio tulikuwa tunamuhitaji Gwiji wa masuala ya miamba mzee wa mbwembwe Prof Muhongo. Yale mambo ya makenikia hayamfai maana yamejaa ulaji tuuMtoa mada ameuliza swali zuri sana ila nashangaa watu wanamjibu kwa kejeli. Naona kuna kitu kikubwa kwa taifa kujifunza kutokana na swali lake maana hata picha zinaonesha kuwa kuna shimo pale juu kileleni. Wanasayansi na wataalamu wa miamba na geology mtunyooshee maelezo kuna elimu ya kisayansi tungependa kujua
karibu mkuuNgoja nivute kiti nikae nijifunze.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Shimo ndefu!!!!!??????[emoji15] [emoji15] [emoji15] kweli kiswahili ni kibantu
asante maney.. kama nilivyo sema ukiwa mwenyewe garama nikubwa. utamlipa guide 18000 kwa siku 6,mpishi 120000,wapagazi 2 kwaijili ya kubeba chakula n.k 90000×2, chakula sh 120000 kila kitu. usafiri kutokea moshi to marangu 60000×2 kiingilio, rescue fee, vat 50000.ila hizi ni tofauti na kwenye makampuni makubwa kwani hua wanagarama za juu sana. pamoja na faida ya kampuni sh 100000.asante makuuMkuu ahsante kwa kudadavua je kwa mzawa anatakiwa awe na bajeti ya kiasi gani kuweza kufanikisha kupanda mlima Kilimanjaro
kuhusu ndege kuanguka ni kweli ipo! ila sio kwasababu ya shimo mnalosema. hii ndege ipo eneo flani linaitwa saddle area ni around 4400masl ktkat ya milima yote miwili mnayo iona. ndio maana nikasema saddle area.hii ndege ni ndogo sana na ilikua ya watalii kutokea Italy kupitia kenya. kwenye hili eneo kuna upepo wa ajabu haswa mwezi wa 10-12-1 na unavuma kutokea bahari ya hindi
Sio kejeli,akili ya kawaida kabisa ni kwamba hakuna aliefika huko mpaka kwenye hilo shimo,kutokana na kani ya mvutano inayo sababishwa na volcano.by the way nguvu ya uvutano ipo kweli kwa hio ulivyomjibu kwa kejeli huko juu utadhani kaongea uongo si vizuri...kuwepo na nguvu ya uvutano haimaanishi pia watakaoenda watakufa au hawatorudi salama kwa maana kwanza hakuna anaeruhusiwa kufika karibu na lile shimo na hata juu usawa wa lile shimo hakuna kitu kinapita ikiwemo planes.
Nguvu ya uvutano iliyopo pale juu ina nguvu kuliko ya sehemu nyngine kiasi kwamba unaweza kuvutwa ukipita usawa wa eneo lile au karibu zaidi.
Hebu fafanua hapo kwa kupitia marangu ni ngumu kufikia hilo shimo tofauti na kupitia Machame routeShimo lipo pale panaitwa creter,,ukipita njia ya kialia machame ndio utapapita hapo creter vzr zaid kuliko mtu anaepitia njia ya marangu,,ila kuna barid sana kwa kwel,,sana sana sanaaaaaa..... Nadhan mto uzi ameuliza vzr tu ili kujua sasa ukimwambia akapande sidhan km ni jibu la uhakika sana alilolitegemea
Embu kajaribu tutakufahamisha..itakuaje nikizama kwenye hilo shimo la mlima, inamaana ndio nitadumbukia hadi chini kabisa ya mlima ground zero
pole sana mkuu, Ilupatwa na nn?Niliwahi kujaribu nikaishia njiani(mandara) kupitia marangu na kiranga chote kikaisha. Yaani sina hamu na sirudii kwakweli.
acha kuwadanganya ndugu yangu. mimi nimekwenda sana na halina shida kama unavyosema. nitakuwekea hapa picha ya moja ya mashimo ya aina hiyo. hili ni la mlima meru na nimeipiga mwezi wa pili mwaka huu.by the way nguvu ya uvutano ipo kweli kwa hio ulivyomjibu kwa kejeli huko juu utadhani kaongea uongo si vizuri...kuwepo na nguvu ya uvutano haimaanishi pia watakaoenda watakufa au hawatorudi salama kwa maana kwanza hakuna anaeruhusiwa kufika karibu na lile shimo na hata juu usawa wa lile shimo hakuna kitu kinapita ikiwemo planes.
Nguvu ya uvutano iliyopo pale juu ina nguvu kuliko ya sehemu nyngine kiasi kwamba unaweza kuvutwa ukipita usawa wa eneo lile au karibu zaidi.