kitokololoo
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 704
- 818
Bora uamini Mungu yupo hapa duniani kuliko usiamini ukaenda na ukamkuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unamkutaje sasa wkt hakuna mweny uwezo wa kumuona wala hutokuja kukutan naeBora uamini Mungu yupo hapa duniani kuliko usiamini ukaenda na ukamkuta
Shtuka dingi. Wenzako tulisha sanuka kitambo sana. Dunia sio kama wengi mnavyoiona.hii kitu imefumbwa sana na wanaojua hii siri wanakula maisha sana
Hapo ndo mnapo mchanganya mleta uzi...Kuweka kumbukumbu sawa wewe ni mkristo bilashaka
Utajiskiaje ukiambiwa na muislamu kua ni heri ukaamini Allah ndio Mungu wa kweli na ukampuuza huyo unayemuamini sasa ili hata ukifa na usipate nafasi ya kukutana naye itakuwa fresh tu kuliko kujitia kibri na kumpuuza mtume muhammad na mwisho ukafa ukakutana na Allah?
Kwa hiyo utakubali kusilimu?
mh hii kitu ipojeKuna nadhalia ; wanasayansi wamegundua kuweza kuirudishia uhai miili/watu waliokufa baada ya miaka kadhaa baadae kwa hivyo watu wanalipia kuifadhi miili ya wapendwa wao isiharibike kwa pesa nzuri tu... mkuu karibu duniani
Kumbe darwin naye ana theory ya evolution, hivi si ni wewe ambaye ulisema darwin hana theory ya evolution?Mkuu sihitaji ni kwambie aina zilizopo hope unajua.
Pili evolution ya Dwarn haina mantiki kwa sababu hakuna sehemu ameelezea orgin of species.
Hii concept huwa sikubaliani nayo..Bora uamini Mungu yupo hapa duniani kuliko usiamini ukaenda na ukamkuta
Kuwa theory na kukubaliwa na wanasayansi ni vitu viwili tofauti Scars hope unajua.Kumbe darwin naye ana theory ya evolution, hivi si ni wewe ambaye ulisema darwin hana theory ya evolution?
Ufisadi ni against nature ?Lakn mbna tunashuhudia hao wanaoenda against nature wakineemeka ? Mfano mafisadi weng wana maisha ya next levo yaan wanaenjoy maisha to the maxmum,,, how nature deals with such situations?
Hahaha!!! try to be realistic.huo nimetolea tu mfano
[emoji106] ila huo nimetolea mfano rahisi ili hata wasiojua haya mambo ya [emoji3459] waweze pata kauelewa kidogoHahaha!!! try to be realistic.
Genetics unaijua kwa kiwango gani?
waafrika wengi sana wanaishi katika hii hofuHii concept huwa sikubaliani nayo..
Hofu haiwezi kukuongoza ukafanya maamzi stahiki.
Uamini tu kwa sababu wengi wanaamini na wanawatishia kiberiti wasioamini?
Mungu akupokee mbinguni kisa uliogopa kiberiti na si uwezo wake?
Hahaha! sawa[emoji106] ila huo nimetolea mfano rahisi ili hata wasiojua haya mambo ya [emoji3459] waweze pata kauelewa kidogo
Hapo kwenye kiwango sasa ngoja nikamuulize ticha wangu nitakurudia
Na hapo ndipo blindy faith inapoingia, uamini kisa unaskia usipoamin kuna kiberiti realy?waafrika wengi sana wanaishi katika hii hofu
Sasa Mungu anasema yeye ni muweza wa yote na hataki kutoka hadharani tumuone tuamini wote kwa pamoja. Wewe unamuelewaje? Alafu wachungaji kanisani wanatupiga mikwara tusilitaje bure jina la MUNGU wetu. Kwanini? Mungu kama kweli yupo basi anavi-element vya u-dictator kwa mbaliBora uamini Mungu yupo hapa duniani kuliko usiamini ukaenda na ukamkuta
Kama umesoma vitabu vya dini kuu mbili ni dictator kamili pengine kuwahi kutokea.Sasa Mungu anasema yeye ni muweza wa yote na hataki kutoka hadharani tumuone tuamini wote kwa pamoja. Wewe unamuelewaje? Alafu wachungaji kanisani wanatupiga mikwara tusilitaje bure jina la MUNGU wetu. Kwanini? Mungu kama kweli yupo basi anavi-element vya u-dictator kwa mbali