Hivi ni kweli kuwa wenye herufi "M" kwenye kiganja wana bahati sana?

sample ina member mmoja,una conclude.
 
Hiyo concept ya M kwenye kiganja inaukweli flani, ingawa kiganja chako hakina hiyo alama, tafuta picha ya Magufuli au Tbjoshua ndo utaona M ilivyo tulia
 
Yah,wanabahati sana subiri muda si mrefu utaokota nyumba.
Ha ha ha ha ha Kwahiyo hujatuambia maisha yako sasa hivi?/ kwahiyo upo tu nyumbani hufanyi kazi yoyote na maisha yamekuwa mazuri tu.
 
Ni kwasabab Mkono wake una M-Maana yake Mpesa, na ilikwua mara ya kwanza kupokea hiyo pesa ya bure bure kupitia M-pesa ndioa maana ametuaminisha hayo. watu kama hawa akija mtu akimwambia mkeo anakuroga usiendelee ana muacha, mnajisogeza wenyewe karib na shetani.
 
Hongera sana girl friend wako wa zamani anaeishi Canada amepata mwanaume mzungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…