Hivi ni kweli kuwa wenye herufi "M" kwenye kiganja wana bahati sana?

Hivi ni kweli kuwa wenye herufi "M" kwenye kiganja wana bahati sana?

Hiyo concept ya M kwenye kiganja inaukweli flani, ingawa kiganja chako hakina hiyo alama, tafuta picha ya Magufuli au Tbjoshua ndo utaona M ilivyo tulia
 
9c3f798a0c99a8a714ff2b19091d8b86.jpg
vipi na Mimi nipo wakuuu?
 
Ni kwasabab Mkono wake una M-Maana yake Mpesa, na ilikwua mara ya kwanza kupokea hiyo pesa ya bure bure kupitia M-pesa ndioa maana ametuaminisha hayo. watu kama hawa akija mtu akimwambia mkeo anakuroga usiendelee ana muacha, mnajisogeza wenyewe karib na shetani.
 
Hongera sana girl friend wako wa zamani anaeishi Canada amepata mwanaume mzungu.
 
Back
Top Bottom