Hivi ni kweli mganga anaweza akaboost muelekeo wa biashara yako au ni stori tu?

Mganga aliyeshindwa kujitajirisha yeye mwenyewe, Ndio unategemea akupe mwelekeo wa biashara yako?

Common sense kidogo tu, Hamna.

Ndio maana mnatapeliwa kila kukicha.

Mkuu tuache ubishi wa kipimbi. Una biashara?? Kama ndio andaa nauli na elfu 50 ya tiba kisha panga safari nikupeleke.

Uje kwa lengo la kujaribu tu, kisha ujionee balaa
 
But shetani hakupi vitu bure
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Haha ha
 
We bado mtoto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…