Ndiyo maana kola wafanyacho hakina mwisho mwena na siyo matajiri wanaishia kufunga biashara.Bora wewe ulikopesha mm nilipewa nimfanyie kazi tena bila hata advance, nikaipiga ile kazi nikamaliza na siku ya kumkabidhi nilikodi hadi boda boda kumpelekea. kufika pale akaniambia hela atanipa baada ya siku mbili mbele..
hizo siku mbili ni miez kadha sasa kila nikipiga sim anasema badae kesho, kesho inazaa badae inakuwa kesho tena nimedai mpka nimechoka nimeona tu nimuachie Mungu
Hatari sana.Mkuu ata mimi kuna mmoja alinikopa laki na nusu afate mzingo akishauza ata nilipata pesa yangu mpaka sasa hivi hajanilipa na anafanya biashara na mimi sifanyi biashara.
Hebu kuwa wazi bwashee....ulisha wahi mlamba?Mwenzenu Mangi nimepigwa na kitu kizito. Yaani siamini. Nimekuwa na kiherehere cha kuwatetea wanawake kwenye karibu kila nyuzi zinazomponda mwanamke lakini hivi karibuni nimepigwa tukio hadi fikra zangu zimeyumba. Naomba wanawake mtanijibu maswali hapo chini lakini wanaume wenzangu mnisaidie pia kujibu.
Ni hivii kuna dada nilikutana nae kwenye shughuli maalumu ya kikazi ambako lilitukutanisha wafanyakazi wachache wa idara moja. Baada ya shughuli ya kikazi kuisha liliundwa group la umoja wa kuendeleza mahusiano baada ya kazi kuisha kwa maana ya shida na raha.
Uhusiano wa kirafiki uliendelea kati ya wanagroup tukichati mara Kwa mara na kuweka mipango ya kusaidiana.
Sasa siku moja huyo dada alinitumia meseji akiniomba nimkopeshe kiasi fulani cha pesa.Aliniahidi kunirudishia baada ya siku kadhaa.Kwa kuwa nilijua ni rafiki na tupo nae group moja sikumbania.Nilipomkubalia na kumuuliza nimtumie kwa njia gani? Alifurahi akaniomba nimuongezee kiasi zaidi ya kile alichoomba. Hapa Mangi nilisita kidogo nikamdanganya kuwa kuna mtu mwingine nilishamuazima ila angewahi kidogo tu njngempatia.
Mapichapicha yakaanza sasa baada ya siku ya kurejesha kufika. Nakumbuka nilichelewa kama siku mbili hivi kumuuliza kuhusu kinirejeshea fedha zangu. Yaani ni kama alijikausha akisikilizia kama nitamshtua au?
Baada ya kumtumia ujumbe akanijibu usjali niko kwenye kikao fulani nitakutumia baada ya kikao kwisha.. Nikamjibu poa. Mara siku ikaisha ikawa usiku ikawa mchana kajikausha. Kesho yake nikampigia hakupokea. Nikamtumia ujumbe akanijibu nitakutumia leo usjali.Nikaona isiwe tabu nikamsikilizia lakini wapi.Nayo ikapita ikawa usiku ikawa mchana.
Hiyo keshokutwa sasa nikawa nampigia hapokei basi nikaamua kumuandikia meseji moja tu kuwa naomba unirudishie hiyo fedha yangu siku yoyote utakayoona inafaa.Kumbuka hapo zimeshapita siku nne tangu ile siku aliyoniahidi.
Baada ya kumtumia hiyo meseji hajawahi kunijibu wala kunitumia fedha yangu.
Hii ni wiki ya pili sasa.Nahisi alifurahi na kusisimka sana baada ya kuona ule ujumbe wa mwisho.Kuwa sasa huyu fala kashanikatia tamaa.
Hivyo ndivyo jinsi nilivyopigwa hadi siamini maana ukimuona huyo dada huwezi mdhania ukimlinganisha na kazi anayofanya.
Sasa naomba niwaulize wanawake lakini pia na wanaume wenzangu maana nakaribia kukosa imani na mwanamke yeyote.
1)Hivi huyu dada atakuwa ni tapeli au ni aina ya wale wanawake wanaofikiri ukimkopa mwanaume ni kama umechukua msaada na hivyo haupaswi kurudisha tena?
2)Je huyu mwanamke ndio Ile aina ya wanawake ambao kwao kurejesha mkopo ni kutarajia mkopeshaji alegee na kumtaka kimahusiano ili rejesho lifanyike kwa njia isiyo rasmi.?
3)Je wanaume tukiwakopesha wanawake hatupaswi kuwadai maana ni haki yao kupewa(kama si kuhongwa) fedha na wanaume?
3)Je, kumdai mwanamke fedha ni kujishusha na kujidharaulisha uanaume wako?
4)Je, ni kweli kuwa mwanamke kukupa hela yake ni ngumu kama ngamia kupita tundu ya sindano lakini mwanamke kuipata hela ya mwanaume ni rahisi kama kumsukuma mlevi.?
Naombeni majibu yenu ili tu nirekebishe mtazamo wangu.
Asanteni.
Hebu kuwa wazi bwashee....ulisha wahi mlamba?Mwenzenu Mangi nimepigwa na kitu kizito. Yaani siamini. Nimekuwa na kiherehere cha kuwatetea wanawake kwenye karibu kila nyuzi zinazomponda mwanamke lakini hivi karibuni nimepigwa tukio hadi fikra zangu zimeyumba. Naomba wanawake mtanijibu maswali hapo chini lakini wanaume wenzangu mnisaidie pia kujibu.
Ni hivii kuna dada nilikutana nae kwenye shughuli maalumu ya kikazi ambako lilitukutanisha wafanyakazi wachache wa idara moja. Baada ya shughuli ya kikazi kuisha liliundwa group la umoja wa kuendeleza mahusiano baada ya kazi kuisha kwa maana ya shida na raha.
Uhusiano wa kirafiki uliendelea kati ya wanagroup tukichati mara Kwa mara na kuweka mipango ya kusaidiana.
Sasa siku moja huyo dada alinitumia meseji akiniomba nimkopeshe kiasi fulani cha pesa.Aliniahidi kunirudishia baada ya siku kadhaa.Kwa kuwa nilijua ni rafiki na tupo nae group moja sikumbania.Nilipomkubalia na kumuuliza nimtumie kwa njia gani? Alifurahi akaniomba nimuongezee kiasi zaidi ya kile alichoomba. Hapa Mangi nilisita kidogo nikamdanganya kuwa kuna mtu mwingine nilishamuazima ila angewahi kidogo tu njngempatia.
Mapichapicha yakaanza sasa baada ya siku ya kurejesha kufika. Nakumbuka nilichelewa kama siku mbili hivi kumuuliza kuhusu kinirejeshea fedha zangu. Yaani ni kama alijikausha akisikilizia kama nitamshtua au?
Baada ya kumtumia ujumbe akanijibu usjali niko kwenye kikao fulani nitakutumia baada ya kikao kwisha.. Nikamjibu poa. Mara siku ikaisha ikawa usiku ikawa mchana kajikausha. Kesho yake nikampigia hakupokea. Nikamtumia ujumbe akanijibu nitakutumia leo usjali.Nikaona isiwe tabu nikamsikilizia lakini wapi.Nayo ikapita ikawa usiku ikawa mchana.
Hiyo keshokutwa sasa nikawa nampigia hapokei basi nikaamua kumuandikia meseji moja tu kuwa naomba unirudishie hiyo fedha yangu siku yoyote utakayoona inafaa.Kumbuka hapo zimeshapita siku nne tangu ile siku aliyoniahidi.
Baada ya kumtumia hiyo meseji hajawahi kunijibu wala kunitumia fedha yangu.
Hii ni wiki ya pili sasa.Nahisi alifurahi na kusisimka sana baada ya kuona ule ujumbe wa mwisho.Kuwa sasa huyu fala kashanikatia tamaa.
Hivyo ndivyo jinsi nilivyopigwa hadi siamini maana ukimuona huyo dada huwezi mdhania ukimlinganisha na kazi anayofanya.
Sasa naomba niwaulize wanawake lakini pia na wanaume wenzangu maana nakaribia kukosa imani na mwanamke yeyote.
1)Hivi huyu dada atakuwa ni tapeli au ni aina ya wale wanawake wanaofikiri ukimkopa mwanaume ni kama umechukua msaada na hivyo haupaswi kurudisha tena?
2)Je huyu mwanamke ndio Ile aina ya wanawake ambao kwao kurejesha mkopo ni kutarajia mkopeshaji alegee na kumtaka kimahusiano ili rejesho lifanyike kwa njia isiyo rasmi.?
3)Je wanaume tukiwakopesha wanawake hatupaswi kuwadai maana ni haki yao kupewa(kama si kuhongwa) fedha na wanaume?
3)Je, kumdai mwanamke fedha ni kujishusha na kujidharaulisha uanaume wako?
4)Je, ni kweli kuwa mwanamke kukupa hela yake ni ngumu kama ngamia kupita tundu ya sindano lakini mwanamke kuipata hela ya mwanaume ni rahisi kama kumsukuma mlevi.?
Naombeni majibu yenu ili tu nirekebishe mtazamo wangu.
Asanteni.
Hata kufikiria sijawahiHebu kuwa wazi bwashee....ulisha wahi mlamba?
DuuhHata kufikiria sijawahi
Wanawake mmezidi. Mwanaume asipolipa uyo ni tapeli au ana nia ya kulipa lakini kashindwa halafu kila siku kukurusha rusha inamuua anaamua kuuchuna tu.Hiyo tabia haina jinsia, usikopeshe kama huna uwezo wa kupotezea endapo hutalipwa. Pole yako ndio ushapigwa hivyo.
Mwanaume unapata wapi nguvu ya kumkopesha ela mwanamke.....Yan mwanamke kukukopa mwanae no style tu ya kukuomba ela Hua haturudishiii Na mwanaume halisi hua hamdai mwanamkeMwenzenu Mangi nimepigwa na kitu kizito. Yaani siamini. Nimekuwa na kiherehere cha kuwatetea wanawake kwenye karibu kila nyuzi zinazomponda mwanamke lakini hivi karibuni nimepigwa tukio hadi fikra zangu zimeyumba. Naomba wanawake mtanijibu maswali hapo chini lakini wanaume wenzangu mnisaidie pia kujibu.
Ni hivii kuna dada nilikutana nae kwenye shughuli maalumu ya kikazi ambako lilitukutanisha wafanyakazi wachache wa idara moja. Baada ya shughuli ya kikazi kuisha liliundwa group la umoja wa kuendeleza mahusiano baada ya kazi kuisha kwa maana ya shida na raha.
Uhusiano wa kirafiki uliendelea kati ya wanagroup tukichati mara Kwa mara na kuweka mipango ya kusaidiana.
Sasa siku moja huyo dada alinitumia meseji akiniomba nimkopeshe kiasi fulani cha pesa.Aliniahidi kunirudishia baada ya siku kadhaa.Kwa kuwa nilijua ni rafiki na tupo nae group moja sikumbania.Nilipomkubalia na kumuuliza nimtumie kwa njia gani? Alifurahi akaniomba nimuongezee kiasi zaidi ya kile alichoomba. Hapa Mangi nilisita kidogo nikamdanganya kuwa kuna mtu mwingine nilishamuazima ila angewahi kidogo tu njngempatia.
Mapichapicha yakaanza sasa baada ya siku ya kurejesha kufika. Nakumbuka nilichelewa kama siku mbili hivi kumuuliza kuhusu kinirejeshea fedha zangu. Yaani ni kama alijikausha akisikilizia kama nitamshtua au?
Baada ya kumtumia ujumbe akanijibu usjali niko kwenye kikao fulani nitakutumia baada ya kikao kwisha.. Nikamjibu poa. Mara siku ikaisha ikawa usiku ikawa mchana kajikausha. Kesho yake nikampigia hakupokea. Nikamtumia ujumbe akanijibu nitakutumia leo usjali.Nikaona isiwe tabu nikamsikilizia lakini wapi.Nayo ikapita ikawa usiku ikawa mchana.
Hiyo keshokutwa sasa nikawa nampigia hapokei basi nikaamua kumuandikia meseji moja tu kuwa naomba unirudishie hiyo fedha yangu siku yoyote utakayoona inafaa.Kumbuka hapo zimeshapita siku nne tangu ile siku aliyoniahidi.
Baada ya kumtumia hiyo meseji hajawahi kunijibu wala kunitumia fedha yangu.
Hii ni wiki ya pili sasa.Nahisi alifurahi na kusisimka sana baada ya kuona ule ujumbe wa mwisho.Kuwa sasa huyu fala kashanikatia tamaa.
Hivyo ndivyo jinsi nilivyopigwa hadi siamini maana ukimuona huyo dada huwezi mdhania ukimlinganisha na kazi anayofanya.
Sasa naomba niwaulize wanawake lakini pia na wanaume wenzangu maana nakaribia kukosa imani na mwanamke yeyote.
1)Hivi huyu dada atakuwa ni tapeli au ni aina ya wale wanawake wanaofikiri ukimkopa mwanaume ni kama umechukua msaada na hivyo haupaswi kurudisha tena?
2)Je huyu mwanamke ndio Ile aina ya wanawake ambao kwao kurejesha mkopo ni kutarajia mkopeshaji alegee na kumtaka kimahusiano ili rejesho lifanyike kwa njia isiyo rasmi.?
3)Je wanaume tukiwakopesha wanawake hatupaswi kuwadai maana ni haki yao kupewa(kama si kuhongwa) fedha na wanaume?
3)Je, kumdai mwanamke fedha ni kujishusha na kujidharaulisha uanaume wako?
4)Je, ni kweli kuwa mwanamke kukupa hela yake ni ngumu kama ngamia kupita tundu ya sindano lakini mwanamke kuipata hela ya mwanaume ni rahisi kama kumsukuma mlevi.?
Naombeni majibu yenu ili tu nirekebishe mtazamo wangu.
Asanteni.
Rekebisha iyo sentensi yako ya mwisho. Kuna tofauti kati ya mwanaume halisi na mwanaume fala.Mwanaume unapata wapi nguvu ya kumkopesha ela mwanamke.....Yan mwanamke kukukopa mwanae no style tu ya kukuomba ela Hua haturudishiii Na mwanaume halisi hua hamdai mwanamke
Heri umpe Moyo wako Uwe Na Amani kuliko kumkopesha alafu akudhulumuNi kweli ,wanawake hawarudishi pesa ukimkopesha na pia marafiki hawa huwa nao hawarudishi.
Kuna jirani nilimkopesha laki 2 sasa inakaribia mwaka hata kupunguza 100 hajawai ,kuna rafiki yangu nilimkopesha elfu 50 akasema atanirudishia mwisho wa mwezi ,imepita miezi minne kimya ,kuna msoja wa Mbweni Barracks nilimkopesha laki moja huu mwaka wa 6 hajanirudishia ,wote nimeamua kuwaachia ila nishajifunza ,sikopeshi mtu pesa.
Wewe Sasa ndio umeongea.Kiasili wabongo ni wazuri wa kukopa ila kwenyew kulipa inakua ni kwa tabuuuu sana.
Kama hujatumia nguvu kudai haki yako sahau kuipata.
Kuna mdada single mother aliniomba nimkopeshe tsh 30k atume kwao apatee mwanae hela ya maziwa mpk akilipwa t kazin kwake atanirudishia nikampatia ile hela
Na kweli alipolipwa tu akanambia tayar nimelipwa kesho nitakupatia ile hela
Kufika siku ya 2 kimya usku nikamkumbusha vp ile hela yng akanza kuleta nahau mpk leo ni mwezi naa hajanipatia iyo hela
sio kwamba sikua na uwezo wa kumgeiya ila nilitaka nione uaminifu wake ukoje kumbe ni 0 kbs
Na anavyojitoa ufahamu sasa hajanilipa ile hela ila kila siku ananililia shida mpka leo ameniomba tsh 3000 nikamniyma sitakuja kumpa hela yangu ata iweje japo before nilikua nikimtoa sana tu
Basi endelea kuwachukulia kama dada zako, wakati huo wenyewe wanakuchukulia kama Boya ambaye hela zake hazina kazi.Duh! Huko sio kuvunjiana heshima?Wakati unamchukulia kama dada utawezaje kufanya hivyo?
Na mnaamini huyu mleta mada ni mwanaume wa aina hii, nafikiri hata mwanzoni mwa post hii amejitanabaisha kwamba huwa anawakingia sana kifua wanawake humu ambao hata hawajui....Ajabu mkeo/mama anaweza kukuomba ela nyumbani ukajibu sina ila mademu wa nje mnavyowashobokea sasa
Me saiv sikoposhe hela hata kwa ndug yng wa karibu bora nionekane roho mbaya tuWewe Sasa ndio umeongea.
Wabongo tu kwa ujumla wana kasumba ya ovyo sana, yaani wanaona uchungu kulipa deni hata kama pesa wanayo mfukoni.... Yaani anaona kutoa hela yake mfukoni hili alipe deni ni kama anaitupa hivi kwa hiyo anaona ni heri aendelee kusumbuana tu na mdai wake, ovyo sana wabongo