Hivi ni lazima kila raia wa Tanzania awe na kovu la ile sindano ya ndui begani?

Mujjarab
 
Kama side effects zake ni hizo basi huenda tunachomwa ndui kwa sababu za kibiashara zaidi
 
Huko nchi za wenzetu watoto wanadungwa? Au ni ka program ka muda mrefu kakuhafifisha kizazi.. Cha jamii fulani.

Twende tu hapo kwa wadzabe wawe kama mfano wetu.
Kwa Wahdzabe wako nchi gani? Kama ni Tanzania ilimradi umejifungulia hospital lazima achanjwe siku hiyohiyo mtoto aliyozaliwa.
Halafu hizo Imani eti kudhoofisha vizazi Kama huamini sayansi ukiumwa usimeze hata Panadol Basi kanywe mitishamba Maana hiyo ndo haijaundwa na mzungu.
 
Wasio zaliwa ulhospitali mbona hawadungwi na tuko nao
 
Tena tunaambiwa kama mtt amechoma chanjo kwenye bega ile kovu kama haijatokeza chanjo inakuwa naijafanya kazi vizuri. Hivyo inabidi achomwe tena.
 
Ndugu nikupongeze kwa kutumia mtandao kujifunza jambo usilo kujua ni story ndefu lakini nitajitahidi kuifikisha ili uelewe
 
Nadhani uelewa wa watu wengi hapa JF bado uko chini sana kuhusu hii kitu.
Yaani mtu azaliwe baada ya mwaka 1980, halafu azungumzie kuchanjwa ndui?
Ugonjwa wa ndui ulichafutika duniani miaka mingi sana, na dunia ilishatangaziwa ndui haipo tena duniani mwezi may 1980. Hivyo hakuna chanjo ya ndui duniani kwa sasa!

Hiyo alama kwenye bega (hasa bega la kulia) inayozungumziwa hapa sio sindano ya ndui, bali ni chanjo dhidi ya ugonjwa wa kifua kikuu (wataalamu wanaiita BCG). Hii ni chanzo ya kwanza na chanzo ya lazima kwa kila mtoto mchanga hapa Tanzania mara tu anapozaliwa kabla ya kutoka hospitali.
 
 
Inaitwa Variola au small pox disease, kwasikuhizi sio lazima kumchoma mtoto kama tulivyochomwa sisi.

Ugonjwa ulishatokomezwa miaka ya 80's huko Marekani kwanini tunachoma watoto bado na bora wangekuwa wanachoma hata matakoni au sehemu nyingine iliyojificha...mbona wazungu hawachomwi hiyo chanjo ya Ndui wala kuchanjwa chale?

Kuna magonjwa kama kichocho, Surua, Ndui, pepopunda ni historical diseases hazina issue tena
 
Duh Kumbe Waafrika ndio walianza kutumia chanjo ya ndui kabla ya wengine.
Kwani wewe ulishaona Mzungu aliyechomwa sindano ya Ndui akabaki na alama?

Hahaha, labda kama wanameza kidonge tu lakini hawanaga hizo alama, watu weusi ndio walionao.
 
kwa maendeleo ya sasa watoto wachanga hawachanjwi tena lile lialama kubwa mpaka kidonda kikatokea
maana yake waliozaliwa miaka ya 2000 alama haitatokea kwa hiyio wewe umri hujavuka miaka 24
Nina miaka 34
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ