aisee hata mie sina hyo alama ya ndui. nliwah kumuuliza mumy akanambia mie nlichomwa ile ya pajan cku nazaliwa, ckuwah kuchomwa chanjo yoyote zaidi ya hyo. na mumy katuaminisha kuwa chanjo co nzur kwani ni mpango wa kupunguza watu duniani. wajukuu watano wa mumy aliowalea nao hawakuwah kuchanjwa zaidi ya zile walizochanjwa cku ya kuzaliwa. wadau hamuwez amin pamoja na kutochanjwa kwa watoto hao, hakuna hata m1 aliyewah kuugua mpaka akalazwa zaid ni magonjwa ya kawaida km malaria na minyoo. even i!