Hivi ni lazima kila raia wa Tanzania awe na kovu la ile sindano ya ndui begani?

Hivi ni lazima kila raia wa Tanzania awe na kovu la ile sindano ya ndui begani?

Halafu Hospitali wanakwambia, ukiona hiyo sindano haijaacha kovu basi mrudishe mtoto achomwe nyingine. Kwa hiyo hilo kovu inaonekana lina kaumuhimu fulani hivi
 
Umeona eeh da Preta, mie mwenyewe sina ati, Hebu nikaiombe hiyo chanjo nsije nyimwa kitambulisho bureee, lol
Wewe si nasikia ni Mturkana, toka Abyssinia na lugha yenu Ng'aturkwana.
 
kama mnaweza kuwachunguza vizuri wanamieleka BOOKER T na HARLEM HEAT.........."KING BOOKER" mtakuja na baadhi ya majibu
 
Halafu Hospitali wanakwambia, ukiona hiyo sindano haijaacha kovu basi mrudishe mtoto achomwe nyingine. Kwa hiyo hilo kovu inaonekana lina kaumuhimu fulani hivi
<br />
<br />
Labda hao weak virus (vaccin) wanakuwa wamekufa ndio maana hawavimbishi (kovu). Si umeona picha picha ya huyo mgonjwa!
 
Nilikuwa sijawahi hata kufikiria hii kitu,lakini mbona mimi nimezaliwa hapohapo Ocean Road mwanzoni mwa miaka ya 70 na ndui yangu iko mkono wa kushoto,ina maana walikuwa wanatoa kinga hiyo mkono wa kulia tu sijaelewa hapa...
 
aisee hata mie sina hyo alama ya ndui. nliwah kumuuliza mumy akanambia mie nlichomwa ile ya pajan cku nazaliwa, ckuwah kuchomwa chanjo yoyote zaidi ya hyo. na mumy katuaminisha kuwa chanjo co nzur kwani ni mpango wa kupunguza watu duniani. wajukuu watano wa mumy aliowalea nao hawakuwah kuchanjwa zaidi ya zile walizochanjwa cku ya kuzaliwa. wadau hamuwez amin pamoja na kutochanjwa kwa watoto hao, hakuna hata m1 aliyewah kuugua mpaka akalazwa zaid ni magonjwa ya kawaida km malaria na minyoo. even i!
 
Una mtoto manake haya mengine inapaswa tungeulizwa wazazi Ndui ni chanjo ya kwanza anayopata kila toto anayezaliwa hapa nchini, Mimi na wanangu watatu wote wa 2000s wamepata chanjo ya ndui
 
Mbona mie sina, ila age mate wangu wooote wanayo. Labda nilizaliwa Trindad and Tobago.
 
Mbona mie sina, ila age mate wangu wooote wanayo. Labda nilizaliwa Trindad and Tobago.

Mimi pia sina...nilichomwa lkn sikutoka kovu..ila mwili wangu unatabia ya kutoacha makovu..niliumwa tetekuwanga nikiwa first year chuoni...sijabaki ht na alama moja ya tete kuwanga
 
Back
Top Bottom