Hivi ni Mabunge yote duniani Mbunge akisimama badala ya kutumia muda wake vizuri ni lazima aanze kumsifia Rais?

Hivi ni Mabunge yote duniani Mbunge akisimama badala ya kutumia muda wake vizuri ni lazima aanze kumsifia Rais?

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Hili bunge la bajeti ingawa bunge lenyewe lilishapoteza uhalali lakini nikiwa home huwa nafuatilia michango ya wabunge.

Kinachonikwaza Mimi najiuliza inakuwaje kwa dakika chache wanazopewa wabunge kutowa michango muda mwingi wanatumia kumsifu Rais, waziri na serikali?

Inawezekana Mimi ndio sijui au nina chuki zangu tu na CCM na bunge zima, sasa naomba msaada ili nisikwazike. Je, huu ndio utaratibu wa kibunge wa mabunge ya Westminster?
 
Huu ni ugonjwa na ugonjwa huu unapatikana Tanzania.

Jina la Ugonjwa: Upeo mdogo, uelewa mdogo, kukosa exposure, kuwaza burebure, kutegemea mtu kukuweka ulipo na si uwezo na akili yako.

Tiba: Kuachana na CCM na wananchi kuchukua full control ya nchi kwa kufanya mapinduzi ya kiraia.
 
Hili bunge la bajeti ingawa bunge lenyewe lilishapoteza uhalali lakini nikiwa home huwa nafuatilia michango ya wabunge.

Kinachonikwaza Mimi najiuliza inakuwaje kwa dakika chache wanazopewa wabunge kutowa michango muda mwingi wanatumia kumsifu Rais, waziri na serikali?

Inawezekana Mimi ndio sijui au nina chuki zangu tu na CCM na bunge zima, sasa naomba msaada ili nisikwazike. Je, huu ndio utaratibu wa kibunge wa mabunge ya Westminster?
Huu ni utaratib ulioshamiri na kutukuzwa awamu ya tano!! Namim naweza sema bora awamu hii, awamu iliyopita yaan mtu ananusurika kweny ajal cha kwanza anamshukur rais? Mtu anaachiwa toka mikononi mwa watekaji waliovamia Nchi toka South Africa tena bila intelligence yetu kujua. Still cha kwanza anamshukur rais kwa kuachiwa na watekaji 🤣🤣🤣!! Bado wengine walivuka mipaka ya ukuu wa MUNGU na kusema MUNGU ndie anapaswa amshukur JPM? Laan hii itawatafuna till the end of this world!!!
 
Hili bunge la bajeti ingawa bunge lenyewe lilishapoteza uhalali lakini nikiwa home huwa nafuatilia michango ya wabunge.

Kinachonikwaza Mimi najiuliza inakuwaje kwa dakika chache wanazopewa wabunge kutowa michango muda mwingi wanatumia kumsifu Rais, waziri na serikali?

Inawezekana Mimi ndio sijui au nina chuki zangu tu na CCM na bunge zima, sasa naomba msaada ili nisikwazike. Je, huu ndio utaratibu wa kibunge wa mabunge ya Westminster?
 
Hili bunge la bajeti ingawa bunge lenyewe lilishapoteza uhalali lakini nikiwa home huwa nafuatilia michango ya wabunge.

Kinachonikwaza Mimi najiuliza inakuwaje kwa dakika chache wanazopewa wabunge kutowa michango muda mwingi wanatumia kumsifu Rais, waziri na serikali?

Inawezekana Mimi ndio sijui au nina chuki zangu tu na CCM na bunge zima, sasa naomba msaada ili nisikwazike. Je, huu ndio utaratibu wa kibunge wa mabunge ya Westminster?
Hiyo ni taratibu ndani ya CCM ambao ndio wenye bunge.
 
Shida imeanzia kwenye katiba yetu. Kitendo cha kumfanya raisi ni Mungu mtu (kwa mamlaka aliyopewa na katiba iliyopo) ndio mambo kama haya ya uchawa na ujinga mwingine umetamalaki.
Watz adui yetu mkubwa ni katiba mbovu tuanzie hapo.
Ishia tu hapo inatosha
 
Watanzania wanaishi kinafki,uchawa,kujipendekeza tu

Ova

Angalia Anaanza kumshukuru Mungu, anamshukuru Rais, anamshukuru pia spika , anawashukuru wapiga kura jimboni ambao baada ya uchaguzi aliwashukuru, anamshukuru mke wake ambae alilala nae kitanda kimoja usiku, anawashukuru watoto wake, baadae anaunga hoja mkono halafu anaanza kutoa kero jimboni hapo kengere ya pili inagonga hajamalizia kero za maji, barabara, madawa zahanati hakuna, hapo anakaa na wenzake wanaanza kumpongeza yaani hua nawaangalia sana nawakata jicho nasema basi tu
 
Mkuu [emoji109][emoji736]
Hiyo ni kauli mbiu , utaombaje cheo bila kumtaja/Kumnadi alie kuwek
 
Angalia Anaanza kumshukuru Mungu, anamshukuru Rais, anamshukuru pia spika , anawashukuru wapiga kura jimboni ambao baada ya uchaguzi aliwashukuru, anamshukuru mke wake ambae alilala nae kitanda kimoja usiku, anawashukuru watoto wake, baadae anaunga hoja mkono halafu anaanza kutoa kero jimboni hapo kengere ya pili inagonga hajamalizia kero za maji, barabara, madawa zahanati hakuna, hapo anakaa na wenzake wanaanza kumpongeza yaani hua nawaangalia sana nawakata jicho nasema basi tu
[emoji38]

Ova
 
Back
Top Bottom