Hivi ni Mabunge yote duniani Mbunge akisimama badala ya kutumia muda wake vizuri ni lazima aanze kumsifia Rais?

Hivi ni Mabunge yote duniani Mbunge akisimama badala ya kutumia muda wake vizuri ni lazima aanze kumsifia Rais?

Hlo jengo limekusanya kundi la washamba na washirikina ,hamna kitu mle
MLiwachagua Wenyewe, na Wengine Wakapitishwa bila kupingwa. So Relax. Mliambiwa Bunge liwe na Wapinzani mkawakataa.
 
Kuna ule utaratibu mwingine kutajana majina viongozi waliohudhuria kwenye mikutano na kuelezea background ya tukio la shughuli husika; salaleh.

Kila mtu akipanda kwenye jukwaa anarudia kutaja watu wale wale (hivi kuna ulazima).

Kila mtu akipanda anatoa historia ya mradi husika au jambo lililowakutanisha; kama sio sheria ilianza lini, basi nani alianzisha hiyo agenda zama za kale hizo. Maelezo ambayo baada ya siku mbili asilimia kubwa tushayasahau.

Utaratibu ambao unaongeza muda wa mkutano pengine kwa zaidi ya Lissa kusikiliza repetitions za wachangiaji. Kwakweli sijui ndio itifaki au wanaita kitu gani; binafsi naita utaratibu wa hovyo mno na kuchoshana kusikiliza.
Watanzania muda sio bidhaa adimu kabisa kwao.
 
Kuna ule utaratibu mwingine kutajana majina viongozi waliohudhuria kwenye mikutano na kuelezea background ya tukio la shughuli husika; salaleh.

Kila mtu akipanda kwenye jukwaa anarudia kutaja watu wale wale (hivi kuna ulazima).

Kila mtu akipanda anatoa historia ya mradi husika au jambo lililowakutanisha; kama sio sheria ilianza lini, basi nani alianzisha hiyo agenda zama za kale hizo. Maelezo ambayo baada ya siku mbili asilimia kubwa tushayasahau.

Utaratibu ambao unaongeza muda wa mkutano pengine kwa zaidi ya Lissa kusikiliza repetitions za wachangiaji. Kwakweli sijui ndio itifaki au wanaita kitu gani; binafsi naita utaratibu wa hovyo mno na kuchoshana kusikiliza.
Huo ndio upuuzi unafanyaga Mimi sitaki kuangalia events za serikali.

Inavyotakiwa ukipanda kwenye podium simple tu unatakiwa kusema ndugu viongozi itifaki imezingatiwa huna haja ya kutaja vyeo then unaanza kutiririka hoja zako.

Sasa mkutano wa lisaa kimoja una chukuwa masaa manne kwa ajili upuuzi tu.

Itifaki si lazima kutaja watu mmoja mmoja, unaweza ukawataja viongozi wote kwa pamoja na ukasema itifaki imezingatiwa.

Wathenge sana hawa.
 
Tuviambie vizazi, mafanikio huja kwa watu kufanya kazi, kusacrifice na kuwa serious si vinginevyo.
 
Hili bunge la bajeti ingawa bunge lenyewe lilishapoteza uhalali lakini nikiwa home huwa nafuatilia michango ya wabunge.

Kinachonikwaza Mimi najiuliza inakuwaje kwa dakika chache wanazopewa wabunge kutowa michango muda mwingi wanatumia kumsifu Rais, waziri na serikali?

Inawezekana Mimi ndio sijui au nina chuki zangu tu na CCM na bunge zima, sasa naomba msaada ili nisikwazike. Je, huu ndio utaratibu wa kibunge wa mabunge ya Westminster?
Kujipendekeza na kumsifia Boss wako inalipa sana na kuna faida nyingi sana hasa kwa sisi wabongo. Mimi kazini kwangu miaka nenda rudi nimeishi na misimamo yangu ya kutokujipendekeza kwa wakubwa wangu wa kazi nikawa naamini zaidi katika utendaji wangu na weledi matokeo yake vijana wadogo tena nimewazidi kila kitu lakini wamekuja kunipita wamepanda madaraja faster na madaraka wapo juu yangu, wengine vitengo vya maana vinavyowapa posho kibao na safari.
Mimi ninahamishiwa vitengo vya mituringa tu kama ukaguzi wa miundo mbinu ya majengo yaliyopo humuhumu, uhakiki wa mafaili ya watumishi( hakuna safari hapa ujue), halafu boss alivyo mnafiki kwenye vikao vya ofisi anajidai kunisifia kwa wenzangu kuwa mimi ni mfano bora kiutendaji na nidhamu ya kazi na kuwa nawahi ofisini na siondoki kazini hadi ninapomaliza kazi zangu kwa hiyo watumishi wenzangu waige mfano wangu.
 
Hili bunge la bajeti ingawa bunge lenyewe lilishapoteza uhalali lakini nikiwa home huwa nafuatilia michango ya wabunge.

Kinachonikwaza Mimi najiuliza inakuwaje kwa dakika chache wanazopewa wabunge kutowa michango muda mwingi wanatumia kumsifu Rais, waziri na serikali?

Inawezekana Mimi ndio sijui au nina chuki zangu tu na CCM na bunge zima, sasa naomba msaada ili nisikwazike. Je, huu ndio utaratibu wa kibunge wa mabunge ya Westminster?
Bunge hata la Rwanda hawana huu ujina wa kusfua Kagame, yaanu hata Wabune wa Chama chake huwezi wasikia wanamsifia, Tanzania imejaa wapumbavu tupu
 
Hili bunge la bajeti ingawa bunge lenyewe lilishapoteza uhalali lakini nikiwa home huwa nafuatilia michango ya wabunge.

Kinachonikwaza Mimi najiuliza inakuwaje kwa dakika chache wanazopewa wabunge kutowa michango muda mwingi wanatumia kumsifu Rais, waziri na serikali?

Inawezekana Mimi ndio sijui au nina chuki zangu tu na CCM na bunge zima, sasa naomba msaada ili nisikwazike. Je, huu ndio utaratibu wa kibunge wa mabunge ya Westminster?
Kiufupi hawajui mule bungeni kimewapeleka nini, wengi hawana uwezo kichwani,na % kubwa Wana vipaji vya kushangilia, kusifu na kuabudu watu, kazi yao ni kukaririshwa speech za kuongea, washereheshaji hawajawahi kuwa serious na mambo muhimu
 
Raisi ndiye aliyemtuma, sio nyie wananchi tena, licha ya kwenda kumpigia kura kwa foleni. Dah
Rushwa, huyu mdudu balaah,
 
FB_IMG_1687371433561.jpg
 
Back
Top Bottom