Hivi ni mimi ninayekula chakula kwa Speed au nyie Wenzangu mnawezaje kutumia nusu saa kwenye kula tu?

Chakula nakula taratibu , shida ipo kwenye pombe.
Natumia dakika tatu hadi nne kumaliza chupa. Nime - adapt kutoka shuleni, nilikuwa natoroka naenda mtaani, ndani ya nusu saa nipo vizuri.
 
Mi nna speed ya wastani nikila haraka sana nahisi kama na vichomi tumboni .Vitu siwezi pia ni kula chakula zaidi ya saa tano usiku. Na nikiwa busy sana mambo mengi yakufanya hua pia siwezi .
 
We kiboko hapo umenishinda.
 
Kuna jamaa nikiwa chuo nilikua nakaa nae, nae alikua muumuni wa kula polepole.
ikatokea njaa kali pale geto na mageto ya jirani. Ikabidi tuwe tunachanga na kula pamoja mtu kama 6 hivi.
Nguna ya moto na harage lililotiwa pilipili nalo la mkto kichizi, ukiremba unalala nayo hiyo.
Japo ilikua ni kula kistaarabu ila spidi yako inakuokoa. Toka hapo jamaa kula yake ni ya spidi mpaka leo.

Sometimes mazingira hubadilisha watu.
 
Daah Kwenye list tupo wengi.. Nilipokulia walishanizoe nikipakua chakula ukienda kuita wengine kwenye room zao unalud me nishamaliza kitambo... Nilipomaliza form six nilienda sehemu ugenini... ikanibid nitumie defence ya kwamba nimepita JKT tumezoeshwa kula haraka
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Duhh ndizi nyama, my fav! Ila kula haraka siwezi asee..lastborn nimezoea kula hata saa nzima, au nakula kidogo naacha then ntakimalizia baadae, hii imeniathiri, hata kumi za usiku naamka nakula nilichobakisha..kwenye mahusiano na ugenini huwa hawanielewi [emoji23] hata kibaruani watasema "huyu siyo mlaji" ila kumbe i have my own style of eating, thankful mke niliye naye ana same traits..ila kwao yeye 1st born ..kwahiyo ni kupelekeshana kwenye msosi mpk aibu [emoji23]

Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo la tunaokula chap chap wengi tunasumbuliwa na madonda tumbo na hatuli kushiba
 

[emoji1787][emoji1787][emoji23]
 
MKuu haupo peke Yako mm nachokula pole pole na Kwa nafasi ni nyapu tu,ila msosi sinaga kuremba,na hata kutafuna natafuna vitu muhimu tu kama mahindi ya kuchoma,ila wali kutafuna ni matumizi mabaya ya meno,nashangaa Kuna wengine hata uji wanatafuna,nonsensiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…