Holly Star
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 4,327
- 8,142
Mi natumia dakika 10 tu kula abd mda mwingine chini ya hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi kwenye soda hapo Mkuu na Juice[emoji119][emoji119] bora mnione mshamba..... Yaani soda pafu la kwanza tuu iko nusu. Yaani ule mda wa kunembeleza sjui nini na nini pafu tatu nikijivunga sana tano soda imekaa....,Mimi sio kula tu. Hata soda huwa napenda niimalize haraka haraka ikiwa ingali ya baridi.
Nilijua niko peke yangu.
Mimi chakula kilichopoa sili kabisa cha ajabu kuna mtu anaweza kula wali uliolala kwenye fridgeTatizo ukila polepole chakula kinapoa na mi chakula kikipoa tu kinanishinda
Kikubwa ni Uondoaji wa muda wa Mawasiliano Haina ya Tumbo na Ubongo ili Ubongo utafasiri kwamba Chakula ulichokula kimekutosha.Kuna uhusiano gani kati ya kula haraka na ubonge?
Mi sijapita jeshi ila hiyo biashara niliisikia. Yaan jamaa anapomaliza kugawa msosi ndo mwisho wa muda wa kula anapuliza filimbi na ikipulizwa wote mabakuli down. Hapo ndo umepewa uji wa moto. Jamaa walikuwa anaenda kukinga maji uji unapoa na kugida kama maji ya kunywaKama ulipita jeshini halafu ikatokea upo mbele halafu msimamizi anasema wa mwisho unakua wa kwanza na wa kwanza unakua wa mwisho. Ile unachukua chakula filimbi hiyo lazima umwage chakula. Hapo nilijifunza kula fasta aisee. Siwezi kula kama najibemebeleza.
Nashindwa kujua tabia ya kula haraka haraka niliitoa wapi🤣🤣🤣 Kuna kicafe fulan, nilikua Kila siku napita kunywa Maziwa fresh yamoto , basi Mimi kitu Cha kunywa hata kiwe chamoto, nakunywa chap ,utadhan Nina ka freezer mdomoni.
Wahudumu wa pale walikua wananishangaaga sana.
Nikaona isiwe nongwa ,nikacha kwenda hapo.
Toka nianze ishi na Baby Mama wangu, aahhh Kila siku jion, lazima nikute chupa ya uji wa lishe, naipigaaaaaa kama nakunywa maji 🤣
That is how I learned how tough life is. Now I don't take more than five to ten minutes.Mi sijapita jeshi ila hiyo biashara niliisikia. Yaan jamaa anapomaliza kugawa msosi ndo mwisho wa muda wa kula anapuliza filimbi na ikipulizwa wote mabakuli down. Hapo ndo umepewa uji wa moto. Jamaa walikuwa anaenda kukinga maji uji unapoa na kugida kama maji ya kunywa
Haupashi?Mimi chakula kilichopoa sili kabisa cha ajabu kuna mtu anaweza kula wali uliolala kwenye fridge
Kiporo cha baridi ndo kitam....sema sasa kisiwe kimeganda kama barafuHaupashi?
Bila kupasha?kaaahKiporo cha baridi ndo kitam....sema sasa kisiwe kimeganda kama barafu
Kiporo Cha wali ulopikwa Kwa maziwa ya Ng'ombe 🤣🤣🤣Kiporo cha baridi ndo kitam....sema sasa kisiwe kimeganda kama barafu
Bila kupasha hiyo hadi mimi nilishangaa tena ni asubuhiHaupashi?
Ndo wali gani huoKiporo Cha wali ulopikwa Kwa maziwa ya Ng'ombe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]