Hivi ni mimi ninayekula chakula kwa Speed au nyie Wenzangu mnawezaje kutumia nusu saa kwenye kula tu?

Hivi ni mimi ninayekula chakula kwa Speed au nyie Wenzangu mnawezaje kutumia nusu saa kwenye kula tu?

Wakati nakua ndugu zangu home walikuwa wananitania kuwa nina friji mdomoni, chai ya moto sijui nini napiga fasta bila makeke😅😅. Sipendi kabisa kupoteza muda kwenye kula, breakfast yangu huwa nakula huku naendesha gari to ofisini, naona kukaa na kula ndio niondoke ni kupoteza muda. Au nimefika ofisini alafu mara kidogo sijui ndio niende kula breakfast ni kuharibu consistence ya mambo yangu.

Kuna siku Trafic kanisimamisha asubuhi, nafungua kioo anaona niko kwenye mchakato wa kuichakaza huku naendesha, alivyoona akaniambia mzee naona una haraka hata chai unanywea kwenye gari? Nikamwambia ndio afande I’m really late aisee……..akaniambia kimbia kajenge taifa kaka…….nikasepa huku natafuta mihogo yangu😂😂😂
 
Wakati nakua ndugu zangu home walikuwa wananitania kuwa nina friji mdomoni, chai ya moto sijui nini napiga fasta bila makeke😅😅. Sipendi kabisa kupoteza muda kwenye kula, breakfast yangu huwa nakula huku naendesha gari to ofisini, naona kukaa na kula ndio niondoke ni kupoteza muda. Au nimefika ofisini alafu mara kidogo sijui ndio niende kula breakfast ni kuharibu consistence ya mambo yangu.

Kuna siku Trafic kanisimamisha asubuhi, nafungua kioo anaona niko kwenye mchakato wa kuichakaza huku naendesha, alivyoona akaniambia mzee naona una haraka hata chai unanywea kwenye gari? Nikamwambia ndio afande I’m really late aisee……..akaniambia kimbia kajenge taifa kaka…….nikasepa huku natafuta mihogo yangu😂😂😂
🤣🤣🤣🤣 Unatisha sana, hamna kupoteza muda Et kwenye kula tu
 
Kuna maslay Queen hao,ukiwaalika wanaagiza misosi ya gharama,halafu hawaimalizi yote, wanakula kidogo wanaacha.

Sasa wakiwa wanatumia vijiko,kukitoa kijiko kwenye sahani mpaka mdomoni na kukirudisha tena kwenye sahani anatumia dk 3.
Na anabakisha
 
Kumbe tupo wengi!! Kuna muda nilianza kujilazimisha kula taratibu nikashindwa.

Nina mpenz wangu saivi ndo kanizoea mara ya kwanza alikua hanielewi hii tabia. mimi nikienda ugenini napata shida sana maana kula taratibu au kula huku mnapiga story siwezi. Kwahyo mimi kula ugenini nakwepa sana

Mimi natafuna chakula mara 3 au 2 tu na kumeza, niliendaga sehemu kutibiwa kienyeji nilikua naumwa nilipata shida sana kwenye chakula pale, jamaa wanakula taratibu balaa, yaani Tonge moja ugali au wali linabembelezwa dakika.

Mimi hata kama sina haraka yaani labda nakula alafu nikimalize nilale lkn nakula fasta fasta yaani nilishashindwa kula taratibu
 
Mimi naweza kula Nimesimama yaan ilimradi tu nikimbizane na kitu fulani.
Mimi ni multitask yaan naweza nikala huku nafanya shughuli zingine 3/4 ingawa kiafya haishauriwi na sipendi kula kitu kimoja yaan napenda kula vitu vingi kwa wakati mmoja ambayo pia kiafya haishauri yaan sio vizuri kuchanganya carbohydrates na proteins at the same time namaanisha sio unakula wali na ndizi au ugali na ndizi ugali/wali utawahi kumeng'enywa Ila ndizi itachelewa na itabaki juu kwa hio urahisi kuvimbilwa kwa muda fulani,

All in all ili niwe nimeshiba basi ni lazima Nile chakula at least plates 2 au sinia moja zima hapo ndio najihisi kushiba apart from that najihisi njaa mda wote, hua napenda kushiba haswa jambo ambalo pia kiafya halishauriwi, kiufupi sipendi njaa yaan nachukia kukaa kaa na njaa au kula kula ovyo ovyo nipo tayari nile mlo mmoja nishibe full sio natoka kidogo nimeona mhindi ninunue sijui nmeona mshkaki nmetamani aah hio hua siipendi nikila nakula haswa, ingawa kiafya unashauriwa ule kiasi tu usishibe kupitiliza maana chakula kingine kinakua hakifanyiwi kazi pia mwili huchukua mda sana kumeng'enywa chakula km haufanyi kazi ngumu hivyo itajuchukua mda kupata Choo

Nitakuja kuendelea sijamaliza..
 
Kumbe tupo wengi!! Kuna muda nilianza kujilazimisha kula taratibu nikashindwa.

Nina mpenz wangu saivi ndo kanizoea mara ya kwanza alikua hanielewi hii tabia. mimi nikienda ugenini napata shida sana maana kula taratibu au kula huku mnapiga story siwezi. Kwahyo mimi kula ugenini nakwepa sana

Mimi natafuna chakula mara 3 au 2 tu na kumeza, niliendaga sehemu kutibiwa kienyeji nilikua naumwa nilipata shida sana kwenye chakula pale, jamaa wanakula taratibu balaa, yaani Tonge moja ugali au wali linabembelezwa dakika.

Mimi hata kama sina haraka yaani labda nakula alafu nikimalize nilale lkn nakula fasta fasta yaani nilishashindwa kula taratibu
🤣🤣🤣🤣Et tonge linabembelezwaa
 
Mimi banaa, nmekulia kwenye huu ustaharabu wa Kila mtu na Sahani yake.

Lakini napo ilikua inanibidi kumwambia mwanandugu tuchanganye Msosi tule fasta fasta , sio kwamba lengo lilikua nikumpiga KO kama ambavyo wengi wasomaji mwaweza kudhania, la Hasha, lengo ilikuaga ni Ili tuwahi kumaliza Chakula ,Kuna wakati nilikua naamua kumuachia mtu Chakula. Ipo hivi, sipendi kutumia muda mwingi wakati wa Kula yaan najihisi

Napoteza muda, kile kipindi cha ukuaji na usomaji wa shule, nilikua namambo mengi mnoo, mpiraa, kucheza na watoto wenzangu, Kusoma, yaaan Kuna wakati nilikua hata Naskip Msosi, tabia ya kuskip Msosi hata Leo ninayo, yaan ikitokea tuu Nina Ubize mwingi au Nina jambo ambalo linahitaji utulivu wa akili, niwe kazin au Nyumban, aiseee kama Nimeamka nalo Asubuhi , basi ni mpaka nitakapolimaliza vizuri ndio Sasa nikumbuke kula, hapo chai sijanywa, cha mchana sijala.

Kipindi nasoma Sekondari na Hadi Chuo, nilikua kama Nina kazi za kitaaluma, aiseeee Chakula kinakua nje kwanza ya ratiba zangu , ni mpaka nimalize kazi hizo na tena Kwa Njaa Ile, ndio nilikua nikizifanya Kwa umakini sana na vinakaa kichwan sana...Nikija kwenye kula, basi nakula chapuchapu, niwahi kumaliza nifanye mambo mengine!

Mimi naweza kula Nimesimama yaan ilimradi tu nikimbizane na kitu fulani.

Nashukuru Wife wangu ananijua, maana tulitoka naye mbali, ila hata yeye Kila siku lazima nimuache mezani , yeye anajilisha taraaaaatibuuuu. Mimi siwezi.

Sasa Bwana nikiwa ugenini kasheshee bin kasheshee, yaani hapo ili nitumie muda mrefu, inanibidi Nile huku napiga stori vyauongo na kweli. Nile huku natumbua macho kwenye TV na Kujifanya fanya Sina taimu na Msosi kumbe hapo unakuta nazuga tu na nataman muondoke Mara Moja ,Nile chap ,mrudi nikute nimamaliza🤣🤣

👉Sijihisi kushiba. Ebwana eeehhh nikila taratibu taratibu nakua Sijihisi kushiba, yaaan najihisi tumbo langu halipokei kitu kabisaa, Kooo halipitishi kitu kabisaa, na ikitokea Ivo kwenye mazingira Fulani. Basi nitafanya namna niende Mahali nikapige Msosi upya!

Ile tunasema tafuna Chakula kwanza kiwe lojolojo ndio umeze, eeeeehhh hapo Mimi ndio naonaga Napoteza muda, Chakula kikiwa kinywan nakigeuza Moja, mbili ,tatu, ili mradi nimekivunjavunja, basiiiiiiiii namezaa!

Sasa kweli wali, wali jaman niutafune kinywani Kwa muda mrefu,?? Ili iweje ? Wenyewe tu tu tupunje tudogotudogo , wali ni pa paa paa meza, kwanza ukitafuna tafuna sanaaa matokeo yake ndo kutafuna Mawee uanze kulaumu mpishi!

Kuna Siku nmetoka na Bidada wangu Mmoja Boss fulan ivi, basii nikaagiza Nyama ya Mbuzi kilo ya kukaanga na ndizi mkaango na Juice fresh, yeye nikamuagizia Kilo ya Kitimoto na mapombe yake, sasa Mwanangu, Yule Bidada ni Boss alafu Ana cheo Cha kuchaguliwa.

Wakuu nikawa najifanya kula taratibu taratibu , uzalendo ukanishinda nikamchana Laivu, Oyaaa Mimi kula taratibu SIWEZI, ngoja nikipigee chapchap , sema ni vile ma Bidada mabonge hayanaga shida, yenyewe ni kuchekacheka tu basi 🤣🤣 nikala Kwa speed yangu!

Siku hizi sijipi shida, Pesa yangu, tutoke out au ndio Niko mwenyewe, kwann nisile navyotaka?
Wewe kama mm nakula kwa kasi ya 4g kuna muda hadi huwa nashtuka kimeisha bila hata kujua.
Ilakiafya ni mbaya na inachangia kuwa bonge kama usipotafuna chakula vizuri.
 
Mimi ni multitask yaan naweza nikala huku nafanya shughuli zingine 3/4 ingawa kiafya haishauriwi na sipendi kula kitu kimoja yaan napenda kula vitu vingi kwa wakati mmoja ambayo pia kiafya haishauri yaan sio vizuri kuchanganya carbohydrates na proteins at the same time namaanisha sio unakula wali na ndizi au ugali na ndizi ugali/wali utawahi kumeng'enywa Ila ndizi itachelewa na itabaki juu kwa hio urahisi kuvimbilwa kwa muda fulani,

All in all ili niwe nimeshiba basi ni lazima Nile chakula at least plates 2 au sinia moja zima hapo ndio najihisi kushiba apart from that najihisi njaa mda wote, hua napenda kushiba haswa jambo ambalo pia kiafya halishauriwi, kiufupi sipendi njaa yaan nachukia kukaa kaa na njaa au kula kula ovyo ovyo nipo tayari nile mlo mmoja nishibe full sio natoka kidogo nimeona mhindi ninunue sijui nmeona mshkaki nmetamani aah hio hua siipendi nikila nakula haswa, ingawa kiafya unashauriwa ule kiasi tu usishibe kupitiliza maana chakula kingine kinakua hakifanyiwi kazi pia mwili huchukua mda sana kumeng'enywa chakula km haufanyi kazi ngumu hivyo itajuchukua mda kupata Choo

Nitakuja kuendelea sijamaliza..
Mkuuu haya masuala ya Afya saa ingine hata kuyatekeleza ni kazi ,

Sasa unikute nawapa ushauri watu wa Ulaji 🤣🤣
 
Je unakula kias gani labda kama ni wali je nusu unamaliza Mkuu ? Maana Kuna wengine hawependi kula Sana na wapo speed anakula Vijiko vitatu.
 
Mimi banaa, nmekulia kwenye huu ustaharabu wa Kila mtu na Sahani yake.

Lakini napo ilikua inanibidi kumwambia mwanandugu tuchanganye Msosi tule fasta fasta , sio kwamba lengo lilikua nikumpiga KO kama ambavyo wengi wasomaji mwaweza kudhania, la Hasha, lengo ilikuaga ni Ili tuwahi kumaliza Chakula ,Kuna wakati nilikua naamua kumuachia mtu Chakula. Ipo hivi, sipendi kutumia muda mwingi wakati wa Kula yaan najihisi

Napoteza muda, kile kipindi cha ukuaji na usomaji wa shule, nilikua namambo mengi mnoo, mpiraa, kucheza na watoto wenzangu, Kusoma, yaaan Kuna wakati nilikua hata Naskip Msosi, tabia ya kuskip Msosi hata Leo ninayo, yaan ikitokea tuu Nina Ubize mwingi au Nina jambo ambalo linahitaji utulivu wa akili, niwe kazin au Nyumban, aiseee kama Nimeamka nalo Asubuhi , basi ni mpaka nitakapolimaliza vizuri ndio Sasa nikumbuke kula, hapo chai sijanywa, cha mchana sijala.

Kipindi nasoma Sekondari na Hadi Chuo, nilikua kama Nina kazi za kitaaluma, aiseeee Chakula kinakua nje kwanza ya ratiba zangu , ni mpaka nimalize kazi hizo na tena Kwa Njaa Ile, ndio nilikua nikizifanya Kwa umakini sana na vinakaa kichwan sana...Nikija kwenye kula, basi nakula chapuchapu, niwahi kumaliza nifanye mambo mengine!

Mimi naweza kula Nimesimama yaan ilimradi tu nikimbizane na kitu fulani.

Nashukuru Wife wangu ananijua, maana tulitoka naye mbali, ila hata yeye Kila siku lazima nimuache mezani , yeye anajilisha taraaaaatibuuuu. Mimi siwezi.

Sasa Bwana nikiwa ugenini kasheshee bin kasheshee, yaani hapo ili nitumie muda mrefu, inanibidi Nile huku napiga stori vyauongo na kweli. Nile huku natumbua macho kwenye TV na Kujifanya fanya Sina taimu na Msosi kumbe hapo unakuta nazuga tu na nataman muondoke Mara Moja ,Nile chap ,mrudi nikute nimamaliza[emoji1787][emoji1787]

[emoji117]Sijihisi kushiba. Ebwana eeehhh nikila taratibu taratibu nakua Sijihisi kushiba, yaaan najihisi tumbo langu halipokei kitu kabisaa, Kooo halipitishi kitu kabisaa, na ikitokea Ivo kwenye mazingira Fulani. Basi nitafanya namna niende Mahali nikapige Msosi upya!

Ile tunasema tafuna Chakula kwanza kiwe lojolojo ndio umeze, eeeeehhh hapo Mimi ndio naonaga Napoteza muda, Chakula kikiwa kinywan nakigeuza Moja, mbili ,tatu, ili mradi nimekivunjavunja, basiiiiiiiii namezaa!

Sasa kweli wali, wali jaman niutafune kinywani Kwa muda mrefu,?? Ili iweje ? Wenyewe tu tu tupunje tudogotudogo , wali ni pa paa paa meza, kwanza ukitafuna tafuna sanaaa matokeo yake ndo kutafuna Mawee uanze kulaumu mpishi!

Kuna Siku nmetoka na Bidada wangu Mmoja Boss fulan ivi, basii nikaagiza Nyama ya Mbuzi kilo ya kukaanga na ndizi mkaango na Juice fresh, yeye nikamuagizia Kilo ya Kitimoto na mapombe yake, sasa Mwanangu, Yule Bidada ni Boss alafu Ana cheo Cha kuchaguliwa.

Wakuu nikawa najifanya kula taratibu taratibu , uzalendo ukanishinda nikamchana Laivu, Oyaaa Mimi kula taratibu SIWEZI, ngoja nikipigee chapchap , sema ni vile ma Bidada mabonge hayanaga shida, yenyewe ni kuchekacheka tu basi [emoji1787][emoji1787] nikala Kwa speed yangu!

Siku hizi sijipi shida, Pesa yangu, tutoke out au ndio Niko mwenyewe, kwann nisile navyotaka?
Kumbe umeoa
 
Back
Top Bottom